Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Arusha ajiunga CHADEMA

Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Arusha ajiunga CHADEMA

Mkuu Chademakwanza, huo ubongo wakutanuliwa kwanza uwepo!, kama haupo utatanua nini zaidi ya mdomo!.
Pasco

Ndio unatanuliwa na Habari aliyoleta Molemo siyo kumuita muongo nipo kwenye mkutano nanina ziara ndefu sana kanda ya kaskazini kuifuta ccm nawananchi wamechoshwa na ccm na sera zake
 
Mkuu Molemo, with due respect, acha uongo wa nchana kweupe!, hizi sensational headlines haziwezi kuisaidia Chadema!.

Japo mimi sio CCM, kama CCM imefanya uchaguzi wake 2012 huyo jamaa aliishapigwa chini, iweje leo miaka miwili baadaye umuandike ni mjumbe wa CCM?!. Mlifanya kajiutafiti japo kadogo kwa nini CCM ilipiga chini uchaguzi wa mwaka 2012!, ama kweli "ganda la mua la jana, chungu aona kivuno!"

Halafu wajumbe wanaoitwa wa Halmashauri Kuu inamaanisha ni wa NEC, hao wajumbe wa Halmashauri za mikoa, hawaitwi Wajumbe wa Halmashauri Kuu, bali wanaitwa Wajumbe wa Halmashauri ya Mkoa!. Umeweka as if ni Mnec wa CCM amejiunga Chadema!.

All and all hongereni Chadema ku plus one huku CCM same minus one!.

Pasco

mkuu pasco huyu mzee anaitwa Francis Ndipapa ole Ikayo (mtoa mada amekosea) namfahamu vizuri anaushawishi mkubwa mno longido sijui kwanini amehama

alikuwa mnazi sana wa ccm ukiona mpaka yeye kahama ujue ccm longido inayo kazi kubwa huyu ndio alikuwa mpinzani mkubwa sana wa laizer (rejea kura za maoni ccm 2010)

twende mbele turudi nyuma ccm imepata pigo
 
Yeye ndio wa kwanza kuondoka CCM? Wala hatakuwa wa mwisho, hana madhara yeyote kwa chama wala wanachama wake!
Hata hivyo CHADEMA si mlisema hampokei 'makapi' kutoka CCM?
Tulichosema Hatuta wanunua wanachama wa ccm kwa pesa sera na msimamo wa chama ndio utawaleta wanaccm chadema umebakia mwenyewe ccm
 
PIGO LIKO WAPI SASA HAPO,mambo mengine vichekesho

Teh teh teh...
Mkuu hujawazoea tu hawa? Bwn. Mpendazoe alipoondoka CCM walisema hivi hivi. Ila mpaka sasa CCM inendelea kuongoza medani za kisiasa Tanzania.
 
Umbeya mtupu..mtu makini hawezi kufanya maamuzi ya kijuha kama haya
 
mkuu pasco huyu mzee anaitwa Francis Ndipapa ole Ikayo (mtoa mada amekosea) namfahamu vizuri anaushawishi mkubwa mno longido sijui kwanini amehama

alikuwa mnazi sana wa ccm ukiona mpaka yeye kahama ujue ccm longido inayo kazi kubwa huyu ndio alikuwa mpinzani mkubwa sana wa laizer (rejea kura za maoni ccm 2010)

twende mbele turudi nyuma ccm imepata pigo
Mbunge wa Longido ni nani?, jee tuhesabu sio tuu Chadema imevuna mwanachama mmoja bali itavuna jimbo la Longido?!.

Pasco
 
Wanafurahia makapi waliosema hawatayapokea. Hamna kitu huko,miaka yote wanaokoteza tu.
 
Mkuu Chademakwanza inapaswa ujifunze kuwa CCM ni chama cha siasa sio SACCOS kama CHADEMA. CCM iliwekeza kwa watanzania. Kwahiyo huyo jamaa yenu hana uwezo wa kuitikisa CCM.
Kweli wamewekeza sana kuwangoa kucha watanzania nakuchukua hela yao kifisadi
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh...
Mkuu hujawazoea tu hawa? Bwn. Mpendazoe alipoondoka CCM walisema hivi hivi. Ila mpaka sasa CCM inendelea kuongoza medani za kisiasa Tanzania.

Rushwa ya kofia kanga na vilemba imeshashtukiwa watanzania wameachana na tabia yamazoea
 
Back
Top Bottom