mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Sasa umeniitia hizo porojo? huyo hayuko Halmashauri kuu ya CCM kama alikuwepo basi hata katika historia hayumo. Kasome tena post namba moja, tazama na hiyo miaka iliyoandikwa halafu tazama leo uko mwaka gani? kisha ujione ulivyo punguani kwa kuniitia huu upuuzi.
Faiza wee faiza foxy mwe octobar inabidi nitafute ma dr wamoyo wakupe ulinzi usijije tutoka ukaacha kushudia mafanikio yetu Ukawa Mungu ibariki Tanzani Mungu mbariki bi mkubwa f.foxy.