Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Arusha ajiunga CHADEMA

Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Arusha ajiunga CHADEMA

Vua Gamba Vaa Gwanda💃💃
 
Yeye ndio wa kwanza kuondoka CCM? Wala hatakuwa wa mwisho, hana madhara yeyote kwa chama wala wanachama wake!
Hata hivyo CHADEMA si mlisema hampokei 'makapi' kutoka CCM?

Kwani huyo kapi? Makapi ni kama wakina Shonza wanaokuwa wamefukuzwa na kukimbilia kwingine na kupokewa kama mashujaa. Mtu aliyejitoa kwa hiari yake atapokelewa tuu.
 
Chama cha Mapinduzi Arusha leo kimepata pigo kubwa baada ya Francis Ole Okayo kujitoa ndani ya chama hicho na kujiunga na Chadema.

Katika mkutano wa ndani unaoendelea muda huu jimboni Longido Okayo amekabidhi rasmi kadi yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.

Mjumbe huyo wa Halmashauri kuu mkoa wa Arusha kati ya 2007-2012 ambaye ana nguvu kubwa jimboni Longido amesema CCM imeshakufa na kinachosubiriwa ni mazishi yake tu Oktoba mwaka huu.

Baadaye jioni mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema anatarajiwa kuwasili kwa chopa mjini Longido kuongoza mkutano mkubwa wa hadhara wa kumpokea rasmi Francis Ole Okayo Chadema

Amani Golugwa na team yake ya kanda ya kaskazini, washamaliza kudownload mikakati yao sasa ni kuelekea mwezi october kama upepe
 
Kazi nzuri ya bananga millya na lema hongereni makamanda
 
Chama cha Mapinduzi Arusha leo kimepata pigo kubwa baada ya Francis Ole Okayo kujitoa ndani ya chama hicho na kujiunga na Chadema.

Katika mkutano wa ndani unaoendelea muda huu jimboni Longido Okayo amekabidhi rasmi kadi yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.

Mjumbe huyo wa Halmashauri kuu mkoa wa Arusha kati ya 2007-2012 ambaye ana nguvu kubwa jimboni Longido amesema CCM imeshakufa na kinachosubiriwa ni mazishi yake tu Oktoba mwaka huu.

Baadaye jioni mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema anatarajiwa kuwasili kwa chopa mjini Longido kuongoza mkutano mkubwa wa hadhara wa kumpokea rasmi Francis Ole Okayo Chadema
Mkuu Molemo, with due respect, acha uongo wa nchana kweupe!, hizi sensational headlines haziwezi kuisaidia Chadema!.

Japo mimi sio CCM, kama CCM imefanya uchaguzi wake 2012 huyo jamaa aliishapigwa chini, iweje leo miaka miwili baadaye umuandike ni mjumbe wa CCM?!. Mlifanya kajiutafiti japo kadogo kwa nini CCM ilipiga chini uchaguzi wa mwaka 2012!, ama kweli "ganda la mua la jana, chungu aona kivuno!"

Halafu wajumbe wanaoitwa wa Halmashauri Kuu inamaanisha ni wa NEC, hao wajumbe wa Halmashauri za mikoa, hawaitwi Wajumbe wa Halmashauri Kuu, bali wanaitwa Wajumbe wa Halmashauri ya Mkoa!. Umeweka as if ni Mnec wa CCM amejiunga Chadema!.

All and all hongereni Chadema ku plus one huku CCM same minus one!.

Pasco
 
Mkuu Molemo, with due respect, acha uongo wa nchana kweupe!, hizi sensational headlines haziwezi kuisaidia Chadema!.

Japo mimi sio CCM, kama CCM imefanya uchaguzi wake 2012 huyo jamaa aliishapigwa chini, iweje leo miaka miwili baadaye umuandike ni mjumbe wa CCM?!. Mlifanya kajiutafiti japo kadogo kwa nini CCM ilipiga chini uchaguzi wa mwaka 2012!, ama kweli "ganda la mua la jana, chungu aona kivuno!"

Halafu wajumbe wanaoitwa wa Halmashauri Kuu inamaanisha ni wa NEC, hao wajumbe wa Halmashauri za mikoa, hawaitwi Wajumbe wa Halmashauri Kuu, bali wanaitwa Wajumbe wa Halmashauri ya Mkoa!. Umeweka as if ni Mnec wa CCM amejiunga Chadema!.

All and all hongereni Chadema ku plus one huku CCM same minus one!.

Pasco

Mkuu Pasco,

Achana na yale yasiyo na msingi coz hata angekuwa mkulima au mfugaji mmoja tu mdogo amejiunga CHADEMA sisi tunafurahia na kushangalia kwa sababu ameona mwanga na utayari wa kujikomboa

Huyu hata kama ni past member wa ngazi ya juu ktk CCM bado ni mtu mzito ktk siasa za eneo lake husika. Tunamkaribisha kwenye chama kubwa
 
Last edited by a moderator:
Tutakomaa nao,mpk kieleweke hakuna rangi wataacha kuona.Vijana tumejipanga kushambulia kila kona ya nchi hii...,hongereni sana watu wa Longido kwa kuutambua ukweli.
 
Haya ndiyo matunda ya ku-decentralize party structure!! ni mashambuli toka pande zote. Hongera kanda ya Kaskazini tupo pamoja sana!!
 
Hongera sana ndugu francis ole okayo!...

Uko sehemu sahihi sana...karibu
 
Ana hofu ya Mungu huyo,kawaacha mashetani na chama chao
 
Mkuu Molemo, with due respect, acha uongo wa nchana kweupe!, hizi sensational headlines haziwezi kuisaidia Chadema!.

Japo mimi sio CCM, kama CCM imefanya uchaguzi wake 2012 huyo jamaa aliishapigwa chini, iweje leo miaka miwili baadaye umuandike ni mjumbe wa CCM?!. Mlifanya kajiutafiti japo kadogo kwa nini CCM ilipiga chini uchaguzi wa mwaka 2012!, ama kweli "ganda la mua la jana, chungu aona kivuno!"

Halafu wajumbe wanaoitwa wa Halmashauri Kuu inamaanisha ni wa NEC, hao wajumbe wa Halmashauri za mikoa, hawaitwi Wajumbe wa Halmashauri Kuu, bali wanaitwa Wajumbe wa Halmashauri ya Mkoa!. Umeweka as if ni Mnec wa CCM amejiunga Chadema!.

All and all hongereni Chadema ku plus one huku CCM same minus one!.

Pasco
Tanua ubongo kabla ujapanua mdomo
 

Attachments

  • IMG-20150221-WA0040.jpg
    IMG-20150221-WA0040.jpg
    85.5 KB · Views: 179
  • IMG-20150221-WA0053.jpg
    IMG-20150221-WA0053.jpg
    105.9 KB · Views: 172
  • IMG-20150221-WA0033.jpg
    IMG-20150221-WA0033.jpg
    110.1 KB · Views: 169
Hahahahahahaha huyo mmoja ata atusumbui uku wanachama CHADEMA 309 Wameamia CCM CHADEMA Kwisha habari yao!
 
Back
Top Bottom