Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,193
- 10,919
KuolewaHow watoto wake ulio walist kwann wamepishana majina???
KuolewaHow watoto wake ulio walist kwann wamepishana majina???
Ataitumia kuboresha Maisha yake na ya watoto na wajukuu wake.Sijui hio elimu ataitumia wapi
Aiyaiyah kuolewa ntarudi nyumbani kutembea.How watoto wake ulio walist kwann wamepishana majina???
Kwani elimu huwa iinatumika wapi?
Nyie ndio wale wanaofikiri elimu iinatumika kwenye ajira pekee
Mtu ana miaka 74 mzima was afya ashindwe kutumia elimu yake aliyoipata?
Au hujui kwamba elimu haina mwisho na elimu inatusaidia kupambana na mazingira Yetu kila uchwao
Utoto shida sana
Elimu ni ya kujiongezea “ skills set” katika maisha; sio lazima kuajiliwa kama unavyowaza wewe msokile!!Sijui hio elimu ataitumia wapi
Nani alikudanganya kwamba elimu haina mwisho!!??Kwani elimu huwa iinatumika wapi?
Nyie ndio wale wanaofikiri elimu iinatumika kwenye ajira pekee
Mtu ana miaka 74 mzima was afya ashindwe kutumia elimu yake aliyoipata?
Au hujui kwamba elimu haina mwisho na elimu inatusaidia kupambana na mazingira Yetu kila uchwao
Utoto shida sana
Nakukumbusha tu, Joe Biden ana miaka 78 na ni raisi wa taifa kubwa duniani.Sijui hio elimu ataitumia wapi
Jina lake kamili ni mohamed nyanga makani,sasa alikuwa mla nguruwe maarufu,ndipo ajawa anasema mniite bob makani,ni mzaliwa wa ukenyenge kule shinyangaBob Nyanga Makani
Huoni wenye majina ya kike ndio yamebadilika? Jiongeze
Alikuwa Nurse si mwanasheria.Huyu mama ni mwanasheria. Sema kaamua kusoma . Hongera mama Misuka.
Wewe unamsema mke wa pili wa Makani. Huyu wa kwanza ni mwanasheria.Alikuwa Nurse si mwanasheria.
Naamanisha mmewe huyo mama,ni ukoo wa chifu makaniKwao Ibadakuli
Kwa wale wenzangu na miye msiomfahamu mama huyu toka zamani, kaka yangu Bob alioa jembe.View attachment 1637238
Vickie Ambwene Joab Kakuyu Makani amehitimu masomo yake katika chuo cha Tumaini kampas ya Dar Es Salaam akiwa na miaka 74.
Huyu ni mke wa hayati Bob Makani na pia mama yake Grace Makani Tarimo, Tume Anthony Makani, Dr. Julie Makani Simba na Richard Kakuyu Makani.
Nina uhakika ninachosema, alikuwa Chief Nurse Muhimbili.Wewe unamsema mke wa pili wa Makani. Huyu wa kwanza ni mwanasheria.
Sasa kwa nini Bob alimwacha na akaenda kuoa mchaga dada yake Mtei ?Kwa wale wenzangu na miye msiomfahamu mama huyu toka zamani, kaka yangu Bob alioa jembe.
Tenajembe zuri.
Toka miaka ya sabini nami nilipenda nioe mwamke mzuri wa kinyakyusa kama huyu.
Tatizo nilikuwako kanda ya ziwa.
Huyu Viki alikuwa mzuri, bomba, beutiful, na figure ambayo ilikuwa inapendeza sana.
Halafu alikuwa ile black beuty, hakuna kujichubua.
Uzuri wa jongoo.
Sijui mtoto wake yupi amerithi.
Sijamuona miaka sasa.
Siwezi jua, nyumba zinaficha mengi.Sasa kwa nini Bob alimwacha na akaenda kuoa mchaga dada yake Mtei ?