Mjue Vickie Makani (Mrs. Bob Makani) aliyehitimu shahada akiwa na miaka 74

Majibu yako ni monopole na general na sio dipole, mimi nimejaribu kuwa Specific.

Kumbuka sio kila anayesoma elimu ya kiwango, fulani especially in degree levels, huwa anayo nia ya kutumia elimu hiyo bali wengine hutafuta "prestige" tu kwamba wamepata elimu ya kiwango cha degree.
Sasa Kama sio wote Mimi hainihusu nilikuwa namjibu Mtu aliyeuliza elimu ataitumia wapi
Nimemuelewesha kwamba elimu sio lazima uajiriwe hata kwenye maisha Yetu tutatumia kila siku elimu tuliyonayo
Sasa sielewi unachongangania kubishana ba mm NI kitu gani

Kwani kua sehemu nimesema uongo
Na pia usininilazimishe nifuate unachokisema weewe
Maana naona unatafuta kubishana na Mimi unilazimishe unachokisema

Mimi nimetoa mawazo yangu na were toa mawazo yako kivyako

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nimemuelewesha kwamba elimu sio lazima uajiriwe hata kwenye maisha Yetu tutatumia kila siku elimu tuliyonayo


Mkuu, hapa hapa hatugombani ni masuala ya kuelimishana tu kwa kujenga hoja.

Wewe unashikilia mtu akipata elimu inakuwa ama kwa ajili ya kuajiriwa au kwa matumizi ya kibinafsi pale asipoajiriwa, mawazo yako yanajielekeza katika matumizi sahihi ya elimu na hapo upo sahihi kwani elimu inapotumika inapostahili ndipo manufaa yake huonekana. Lakini sio watu wote husoma na kupata elimu ije iwasaidie hapo baadaye kwa kupitia hiyo elimu (the direct benefit) kwani wengine husoma/hupata elimu kwa ajili ya ufahari (prestige) kwamba na wao wamesoma hadi kiwango fulani cha elimu.

Mimi nilisoma chuo na mwanamama mmoja ambaye kimsingi hakuwa na shida kabisa kimaisha kwani Mumewe alikuwa "well to do" na alikuwa na wadhifa mkubwa na hivyo huyo mkewe alijisomesha kwa ela yake course ya "Engineering for prestige" kwani hakuhitaji kuitumia elimu hiyo popote.

Ndiyo maana nasema hoja yako ni monopole na sio dipole, kumbuka wapo watu wengine husoma for prestige.
 
View attachment 1637238

Vickie Ambwene Joab Kakuyu Makani amehitimu masomo yake katika chuo cha Tumaini kampas ya Dar Es Salaam akiwa na miaka 74.

Huyu ni mke wa hayati Bob Makani na pia mama yake Grace Makani Tarimo, Tume Anthony Makani, Dr. Julie Makani Simba na Richard Kakuyu Makani.
Wamechanganya. Nadhani ni miaka 64, siyo 74. Huyu mtu hawezi kuwa na umri wa miaka 74, haiwezekani. Labda hii picha iwe ni ya zamani, na si ya sasa
 
Sasa Kama sio wote Mimi hainihusu nilikuwa namjibu Mtu aliyeuliza elimu ataitumia wapi
Nimemuelewesha kwamba elimu sio lazima uajiriwe hata kwenye maisha Yetu tutatumia kila siku elimu tuliyonayo
Sasa sielewi unachongangania kubishana ba mm NI kitu gani

Kwani kua sehemu nimesema uongo
Na pia usininilazimishe nifuate unachokisema weewe
Maana naona unatafuta kubishana na Mimi unilazimishe unachokisema

Mimi nimetoa mawazo yangu na were toa mawazo yako kivyako

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Swadakta
 
Back
Top Bottom