Mjue Samaki Pweza (Jini)

Mkuu maelezo yako hayajitoshelezi....Animalia ndio kitu gani??kwani pweza ananyonyesha??bora maelezo ya Limbani yanajitosheleza!!
Sizinga, tunatofautiana uelewa na ufahamu, kwa kukusaidia zaidi umjue pweza vizuri ebu google.Octopus wikepidia. Jibu utakalipata njoo nalo jamvini
 
Pweza mtamu bana. Hata awe jini nitamla. Wachina wanakula nyoka aje kuwa pweza. Acha hizo wewe. Eti pweza jini, labda kwa wale wanaotoka BARA. Haah haaah ama kweli asojua maana usimwambie maana.
 
Pweza mtamu bana. Hata awe jini nitamla. Wachina wanakula nyoka aje kuwa pweza. Acha hizo wewe. Eti pweza jini, labda kwa wale wanaotoka BARA. Haah haaah ama kweli asojua maana usimwambie maana.

Sijakataza kula...hembu soma last lines utaona!!
 
Amefanana kimaumbile na Ngisi...ni mtamu sana kwa wanaompenda!!Lakini kuna baadhi ya vitu nahisi watu wengi watakuwa hawavijui kuhusu huyu mnyama/samaki pweza!!Kwa wale wavuvi wanalitambua hili...huyu jamaa anavuliwa majini tofauti kabisa na samaki wengine,Wachache/hakuna wanamvua kwa kutumia nyavu..lakini huyu jamaa anvuliwa kwa kutumia 'mdeke'(sindano ndefu kama mshale), akishapigwa kumfuata huyu jamaa chini ya maji inabidi usaule nguo zote,yaani uwe uchi!! ndio unaweza kumkamata...je walijua hili?? Tuendelee...!!Ukishamtoa majini pale nchikavu inabidi uhakikikshe kweli kafa....unambonda sana hadi afe kabisa!!Akiwa m'bichi ukampika..huruhiwi kumweka ndimu kwenye kikaango...ukiweka ndimu tu jamaa anayayuka!!Yanabakia maji tu kwenye chungu...je walijua hili?? Na ndio maana watu wengi/wavuvi..wanamkausha juani.Ukimkausha juani anatoa haruhu kali/mbaya sana...ukiwa kisirani unatapika kabisa, harufu yake mbaya mno...unajua kwa nini?? Nitafutie jibu...nikiweka jibu hapa mnaweza kujinyonga kabisa!!!Sasa tuje kwenye mlo..!!huyu jamaa kwenye kumla kuna mchuzi wake flani mwekundu!! Wengi wanasadiki huu mchuzi ni ''jembe'' kwenye nguvu za kiume....unajua kwanini?? halafu ukimla ana tabia ya kuwasha kwenye lips...

Na ndio maana nikasema huyu jamaa ni jini!! Ila siwaambii msile....hapana!!Ngoja niishie hapo!!
.Aaach!! Jini hana mwili(flesh) kuweza kuliwa kama mlo acha huo uongo wa vijueni..
 
SCIENTIFIC CLASSIFICATION: (Biology Form One)
OCTOPUS FISH
Kingom: Animalia Animalia
Phylum: Mollusca Chortada
Class: Cephalopoda Chondrichthyes (cartilaginous- shark), Osteichthyes (Bonyfish- Herring, pelege)
Order: Octopoda ………..

Kwahiyo Pweza sio samaki, ila yuko kundi moja na Konokono, na kuhusu kuvuliwa na mambo ya ndimu sijui.
 
Hayo mapumbu hapa mjini siku hizi ndio yanapendwa, kumbuka pale sugaray jioni kuna magari yanapaki kwa ajili ya kwenda kula pumbu za mbuzi maarufu kama HASHUA.
Au kwa jina jengine zinaitwa KALEJI. Uongo bwana. Alaatul.
 
Amefanana kimaumbile na Ngisi...ni mtamu sana kwa wanaompenda!!
Lakini kuna baadhi ya vitu nahisi watu wengi watakuwa hawavijui kuhusu huyu mnyama/samaki pweza!!
Kwa wale wavuvi wanalitambua hili...huyu jamaa anavuliwa majini tofauti kabisa na samaki wengine... Wachache/hakuna wanamvua kwa kutumia nyavu..lakini huyu jamaa anvuliwa kwa kutumia 'mdeke'(sindano ndefu kama mshale), akishapigwa kumfuata huyu jamaa chini ya maji inabidi usaule nguo zote,yaani uwe uchi!! ndio unaweza kumkamata...je walijua hili??
Hapa ndipo ulipo onyesha kuwa umekopi na kupesti tu, hivi kuna samaki asiyevuliwa majini?

Pweza uishi na kuzaliana maeneo mbalimbali ya bahari, kama vile kwenye miamba au matumbawe, na upenda kukaa kwenye sakafu ya bahari, na ndio maana unapotaka kumvua, unabidi uzamie chini ya maji kwenye makazi yake.

Na si kweli ukitaka kuvua pweza lazima huwe uchi, narudia tena si kweli.
hawaii-fly-fishing-octopus.jpg



Tuendelee...!!

Ukishamtoa majini pale nchikavu inabidi uhakikikshe kweli kafa....unambonda sana hadi afe kabisa!!
Akiwa m'bichi ukampika..huruhiwi kumweka ndimu kwenye kikaango...ukiweka ndimu tu jamaa anayayuka!!
Yanabakia maji tu kwenye chungu...je walijua hili??
Nyama ya pweza ni ngumu, na ndio sababu ya wavuvi, wanapo mvua wanamponda ili kulainisha nyama yake., na si kweli ukimtia ndimu anayayuka, si kweli.

Na ndio maana watu wengi/wavuvi..wanamkausha juani.
Ukimkausha juani anatoa haruhu kali/mbaya sana...ukiwa kisirani unatapika kabisa, harufu yake mbaya mno...unajua kwa nini?? Nitafutie jibu...nikiweka jibu hapa mnaweza kujinyonga kabisa!!!
Samaki yoyote yule ukimkausha juani lazima atatoa harufu, je umewahi kupita maeneo wanapo kausha samaki aina ya Nguru au Papa?

Sasa tuje kwenye mlo..!!huyu jamaa kwenye kumla kuna mchuzi wake flani mwekundu!! Wengi wanasadiki huu mchuzi ni ''jembe'' kwenye nguvu za kiume....unajua kwanini??  halafu ukimla ana tabia ya kuwasha kwenye lips...

Na ndio maana nikasema huyu jamaa ni jini!! Ila siwaambii msile....hapana!!

Ngoja niishie hapo!!
Kuwasha kwa samaki ni dalili ya kuanza kuharibika, na kumuhusisha Pweza na majini, unakosea huyu atabaki kuwa Pweza kiumbe aishie baharini.
 
Hapa ndipo ulipo onyesha kuwa umekopi na kupesti tu, hivi kuna samaki asiyevuliwa majini?Pweza uishi na kuzaliana maeneo mbalimbali ya bahari, kama vile kwenye miamba au matumbawe, na upenda kukaa kwenye sakafu ya bahari, na ndio maana unapotaka kumvua, unabidi uzamie chini ya maji kwenye makazi yake.Na si kweli ukitaka kuvua pweza lazima huwe uchi, narudia tena si kweli.
hawaii-fly-fishing-octopus.jpg
Nyama ya pweza ni ngumu, na ndio sababu ya wavuvi, wanapo mvua wanamponda ili kulainisha nyama yake., na si kweli ukimtia ndimu anayayuka, si kweli.Samaki yoyote yule ukimkausha juani lazima atatoa harufu, je umewahi kupita maeneo wanapo kausha samaki aina ya Nguru au Papa?Kuwasha kwa samaki ni dalili ya kuanza kuharibika, na kumuhusisha Pweza na majini, unakosea huyu atabaki kuwa Pweza kiumbe aishie baharini.
Si unajua tena habari za kuambiwa tena za uongo unazibeba unazileta JF, Chatu Dume ndio kamkimbiza kashindwa ata kujibu
 
The octopus ( /ˈɒktəpʊs/) is a cephalopod
mollusc of the order Octopoda.
Octopuses
have two eyes and four pairs of arms, and
like other cephalopods they arebilaterally
symmetric. An octopus has a hard beak,
with its mouth at the center point of the
arms. Octopuses have no internal or external
skeleton
(although some species have a
vestigial remnant of a shell inside their
mantle), allowing them to squeeze through
tight places. Octopuses are among the most
intelligent and behaviorally flexible of all
invertebrates.

The octopus inhabits many diverse regions
of theocean, including coral reefs, pelagic
waters, and the ocean floor. They have
numerous strategies for defending
themselves against predators, including the
expulsion of ink, the use of camouflage and
deimatic displays, their ability to jet quickly
through the water, and their ability to hide.
An octopus trails its eight arms behind it as
it swims. All octopuses are venomous, but
only one group, theblue-ringed octopuses,
is known to be deadly to humans.[3]
There are around 300 recognized octopus
species, which is over one-third of the total
number of known cephalopod species. The
term octopus may also be used to refer only
to those creatures in thegenus Octopus.
Asante sana mkuu.
Mtu ALIYESOMA biologia na ikapanda utamjua tu.
ASIYESOMA kwake kila kitu ni majini na uchawi-kielelzo cha ujinga na kukosa elimu.
 
hapa nimeona wataalamu wengi wa samaki......nadhanai na mimi pia mtanisaidia kuniondolea huu utata.....hivi nguva ni samaki gani?...huwa yupo kweli?......na je kwamba ni mwanamke ni kweli? hakuna mwanaume wa kinguva?....nina maswali mengi lakini nikijua kama yupo ndio nitaendelea kuuliza...asanteni
 
Ukishamtoa majini pale nchikavu inabidi uhakikikshe kweli kafa....unambonda sana hadi afe kabisa!!
Akiwa m'bichi ukampika..huruhiwi kumweka ndimu kwenye kikaango...ukiweka ndimu tu jamaa anayayuka!!
Yanabakia maji tu kwenye chungu...je walijua hili??

Hii sikweli ni UONGO ,
1. Mimi huwa napika na kumuweka ndimu na pilipili akiwa jikoni na hapotei.
2. Kisayansi pia si kwelikwani huyu ni Nyama na nayama ni Protini na hamna reaction ya nmana hiyo ya Protein(Nyama) na Limao(Acid/alkaline)
 
Haya twende na hoja ya preta basi...mbona mwashupalia na pweza????
 
Amefanana kimaumbile na Ngisi...ni mtamu sana kwa wanaompenda!!
Lakini kuna baadhi ya vitu nahisi watu wengi watakuwa hawavijui kuhusu huyu mnyama/samaki pweza!!
Kwa wale wavuvi wanalitambua hili...huyu jamaa anavuliwa majini tofauti kabisa na samaki wengine,

Wachache/hakuna wanamvua kwa kutumia nyavu..lakini huyu jamaa anvuliwa kwa kutumia 'mdeke'(sindano ndefu kama mshale), akishapigwa kumfuata huyu jamaa chini ya maji inabidi usaule nguo zote,yaani uwe uchi!! ndio unaweza kumkamata...je walijua hili??

Tuendelee...!!

Ukishamtoa majini pale nchikavu inabidi uhakikikshe kweli kafa....unambonda sana hadi afe kabisa!!
Akiwa m'bichi ukampika..huruhiwi kumweka ndimu kwenye kikaango...ukiweka ndimu tu jamaa anayayuka!!
Yanabakia maji tu kwenye chungu...je walijua hili??

Na ndio maana watu wengi/wavuvi..wanamkausha juani.
Ukimkausha juani anatoa haruhu kali/mbaya sana...ukiwa kisirani unatapika kabisa, harufu yake mbaya mno...unajua kwa nini?? Nitafutie jibu...nikiweka jibu hapa mnaweza kujinyonga kabisa!!!

Sasa tuje kwenye mlo..!!huyu jamaa kwenye kumla kuna mchuzi wake flani mwekundu!! Wengi wanasadiki huu mchuzi ni ''jembe'' kwenye nguvu za kiume....unajua kwanini??&nbsp; halafu ukimla ana tabia ya kuwasha kwenye lips...<br><br>

Na ndio maana nikasema huyu jamaa ni jini!! Ila siwaambii msile....hapana!!

Ngoja niishie hapo!!


tutasikia mengi mwaka huu wa magamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom