kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,091
Mkanganyiko ni mkubwa
Na christo km nani kwao na huyu ialadaothi na christo nani naniAinsoph au Aeonsoph
Itakua poaworry out
Mmmh.... Sophia si umesema sehemu ya ke ya huyo Mungu wako mkuu...au Sophia ndo kiwakilishi cha hao wengne..??Ntaelezea kwa uzuri baadae. Ila Aeon Sophia na Christo wanaunda " the original holy trinity' Sophia = the Holy Ghost.
Utakua umefanya vema na uligusia lucifer .nitaomba umgusie kwa undan. KdgNtaelezea kwa uzuri baadae. Ila Aeon Sophia na Christo wanaunda " the original holy trinity' Sophia = the Holy Ghost.
Sophia siyo holyghost ni aina ya hekima kwa wanafalsafa wa kigriki. Badae ilichuliwa na agnostic (philosophers) wa mambo ya elimu ya Mungu, ambapo wao walisema sophia ni sehemu ya uuguuke, kama ukivyoeleza ila badae kanisa lilipiga marufu mafundisho ya upotoshaji baada ya mtaguso wa nicea 300 AC, na concept ya trinity ilitumiwa kufundishwa.Ntaelezea kwa uzuri baadae. Ila Aeon Sophia na Christo wanaunda " the original holy trinity' Sophia = the Holy Ghost.
ur still a learnerSophia siyo holyghost ni aina ya hekima kwa wanafalsafa wa kigriki. Badae ilichuliwa na agnostic (philosophers) wa mambo ya elimu ya Mungu, ambapo wao walisema sophia ni sehemu ya uuguuke, kama ukivyoeleza ila badae kanisa lilipiga marufu mafundisho ya upotoshaji baada ya mtaguso wa nicea 300 AC, na concept ya trinity ilitumiwa kufundishwa.
Uni tag katika nyuzi utakazopandishanoted