Mjue Mungu wa Freemasonry

Mjue Mungu wa Freemasonry

nashindwa kuleta muendelezo sababu nipo busy sana halafu naogopa kuna watu wanaweza kuchanganyikiwa. Kitaani kuna jamaa msabato/mlokole kaokoka mwaka 89 baada ya kumpa ufunuo huu sasa anavuta bangi..
Sababu kuu ni u-busy wako au watu kuchanganyikiwa? Kwa maelezo haya manake muendelezo hamna,si ndio? Msiwe hivyo mkuu! Wewe ni Nani mpaka maandishi yako yafanye watu wachanganyikiwe? Malizia story! Wengine tunasoma kama story tu,kutafanyia kazi ni maamuzi ya mtu mwenyewe!!
LIKUD
 
Kutokuijua Bible ni shida sans yaani unamtukana mtoa mada pamoja na maelezo yaliyoshiba kiasi hiki?? Ama kweli watu wa Mungu wanaagamia Kwa kukosa maarifa

Unajua kusoma kweli ? Hebu soma nilichokiandika maana hakihusiani na mtoa mada ndo maana mnafeli mitihani kizembe
 
nashindwa kuleta muendelezo sababu nipo busy sana halafu naogopa kuna watu wanaweza kuchanganyikiwa. Kitaani kuna jamaa msabato/mlokole kaokoka mwaka 89 baada ya kumpa ufunuo huu sasa anavuta bangi..

Mkuu hapo sasa ni kufanya umma ucheke, kuvuta bangi na mafunuo uliyompa huyo itakua alikua anavuta kimya kimya tu saizi kaamua kujiachia
 
yan kwa maelezo yake ya upuuzi ivi eti ndo ana sema tunaweza kuchanganyikiwaa! 😅😂😂 kwel dunia ipo kasi sana
Yeye kwani amesema anachohubiri Ni FACTS au Ni according to Imani Za freemasons?...kama wao wanaamini nguruwe Ni Mungu inatuchanganyaje Sisi?
 
Yeye kwani amesema anachohubiri Ni FACTS au Ni according to Imani Za freemasons?...kama wao wanaamini nguruwe Ni Mungu inatuchanganyaje Sisi?
Kwa coment zake huko juu anadai kwamba akiendelea huko mbele ety wasomaji wanaweza kudata😅
 
Back
Top Bottom