Kwani hao wenye uzoefu wametufikisha wapi sasa? Na unapotaja uzoefu kwani ulipatikanaje kama sio kwa kupewa nafasi kama hizi? Wengine wanakuwa wazoefu kwa kupiga hela sio kiutendaji uliotukuka. Bado ninaye tu Magu mpaka kieleweka! Aliselema alija...!
Fuatilia uone kama kuna PST aliyewahi kutoka "nowhere". (Sio tu Tanzania, dunia nzima tafuta sifa za ma PST ndio utaelewa nachosema).
Nyie ndio mlioataka kuaminisha watu nchi ilikuwa "autopilot" sasa leo tunaona kinachoendelea nyie endekeeni kuwa ma-homeboys tu lkn uchumi ushadedi huu.
Muangalie wa kwa jirani zetu hapa chini halafu utajua why pamoja na uwepo wa alshab, bado uchumi wa kenya unanawiri.
DR. KAMAU THUGGE
PRINCIPAL SECRETARY/ NATIONAL TREASURY
Dr. Kamau Thugge is currently the Principal Secretary at the National Treasury. He has previously worked in the Ministry of Finance as head of Fiscal and Monetary Affairs Department, Economic Secretary and as Senior Economic Advisor.
Before joining the Ministry of Finance, he worked with the International Monetary Fund (IMF) as Economist, Senior Economist and Deputy Division Chief.
Dr. Thugge has played a major role in influencing the design of Kenya’s current fiscal decentralization system and has coordinated the formulation of legislation for implementing devolution, including the Public Finance Management Act, 2012; The Commission on Revenue Allocation Act, 2011;
The Independent Officers (Appointment) Act, 2012; The County Government PFM Transition Act 2013; The County Allocation of Revenue Bill 2013; and, The Division of Revenue Bill 2013/2014.
Dr. Thugge is widely published and holds a Bachelor of Arts (Economics) degree from Colorado College, USA; Master’s degree in Economics from John Hopkins University, USA; and a Doctor of Philosophy (PhD) degree in Economics also from John Hopkins University.