Mjue mshauri wa Rais Magufuli anayedumaza uchumi

Mjue mshauri wa Rais Magufuli anayedumaza uchumi

Uchumi uta kuwa tukiongeza uzalishaji, tija Na thamani ya Bidhaa Na huduma zetu .
 
Mimi awe waziri Mpango au la mimi nitamlilia raisi tu. Yeye si ndiye mteule wao na aliteua kwa CVS.
 
Mimi nawaza tu, serikali inapokusanya hela ya kodi kutoka kwa wafanyabishara/wafanyakazi au kwa maana nyingine,unakusanya hela iliyopo mitaani na kuipeleka kwenye akaunti za serikali, pamoja na hayo unakaa nazo kwa kubana matumizi, what do you expect?. Mzunguko lazima use ndogo, biashara zidorole na mwishowe hats ile kodi uliyokuwa unakusanya uikose.
 
Kwa maana nyinine ni kwamba unazuia mkondo wa maji uzungukie kwenye shamba lako peke yako ukiamini ndio litazalisha chakula cha kutosha, na kusahau kwamba msimu wa kupanda ukifika huwa unakwenda kuchukua mbegu kutoka kwa hao unaowanyima maji mashambani kwao na mazao yakanyauka kwa ukame! sivyo?
 
Nilipomsikia Dr. Likwelile ameondoka halafu niliposikia aliyepewa nafasi hiyo ya PMG, kisha nilipoangalia cv yake na kubaini ni "very junior" au mtu ambaye hata hajawahi ku-handle financial negotiations zozote na Big financial institutions nikaona ni kichekesho.

Katibu Mkuu hazina ni PST, PMG lakini pia ni CRM wa nchi. Unaweza kumuweka waziri dhaifu lakini si Katibu Mkuu dhaifu. At least hili Hazina halijawahi kutokea isipokuwa this tyme. Na jinsi hazina walivyo wajuzi wa kufanya "tu-silent tu-sabotage" kama utawapelekea "alien", nabaki yangu macho tu.

Wacha tuisome namba.
Kwani hao wenye uzoefu wametufikisha wapi sasa? Na unapotaja uzoefu kwani ulipatikanaje kama sio kwa kupewa nafasi kama hizi? Wengine wanakuwa wazoefu kwa kupiga hela sio kiutendaji uliotukuka. Bado ninaye tu Magu mpaka kieleweka! Aliselema alija...!
 
Kwani hao wenye uzoefu wametufikisha wapi sasa? Na unapotaja uzoefu kwani ulipatikanaje kama sio kwa kupewa nafasi kama hizi? Wengine wanakuwa wazoefu kwa kupiga hela sio kiutendaji uliotukuka. Bado ninaye tu Magu mpaka kieleweka! Aliselema alija...!
Fuatilia uone kama kuna PST aliyewahi kutoka "nowhere". (Sio tu Tanzania, dunia nzima tafuta sifa za ma PST ndio utaelewa nachosema).

Nyie ndio mlioataka kuaminisha watu nchi ilikuwa "autopilot" sasa leo tunaona kinachoendelea nyie endekeeni kuwa ma-homeboys tu lkn uchumi ushadedi huu.

Muangalie wa kwa jirani zetu hapa chini halafu utajua why pamoja na uwepo wa alshab, bado uchumi wa kenya unanawiri.

DR. KAMAU THUGGE
PRINCIPAL SECRETARY/ NATIONAL TREASURY


Dr. Kamau Thugge is currently the Principal Secretary at the National Treasury. He has previously worked in the Ministry of Finance as head of Fiscal and Monetary Affairs Department, Economic Secretary and as Senior Economic Advisor.
Before joining the Ministry of Finance, he worked with the International Monetary Fund (IMF) as Economist, Senior Economist and Deputy Division Chief.
Dr. Thugge has played a major role in influencing the design of Kenya’s current fiscal decentralization system and has coordinated the formulation of legislation for implementing devolution, including the Public Finance Management Act, 2012; The Commission on Revenue Allocation Act, 2011;
The Independent Officers (Appointment) Act, 2012; The County Government PFM Transition Act 2013; The County Allocation of Revenue Bill 2013; and, The Division of Revenue Bill 2013/2014.
Dr. Thugge is widely published and holds a Bachelor of Arts (Economics) degree from Colorado College, USA; Master’s degree in Economics from John Hopkins University, USA; and a Doctor of Philosophy (PhD) degree in Economics also from John Hopkins University.
 
Lini zilisaidia nchi maskini ambayo hata private sector haipo Strong.. Kwanza unajua maana ya fiscal policy?
acha ushamba wewe..unajifanya unajua na wakati hujui kitu.unadhani kwa jinsi awamu ya kikwete supply ya pesa ilivyokua kubwa huku mtaani huyu Magufuli angetumia policy gani kupunguza hizo pesa kwenye mzunguko?unadhani ni policy gani inayotumika kuondoa au kupunguza inflation rate kama sio hiyo?kumbuka pia sera za Magufuli ni kupunguza matumizi yasiyokua ya lazima ya serikali so unadhani angetumia policy gani kama sio hiyo?
 
acha ushamba wewe..unajifanya unajua na wakati hujui kitu.unadhani kwa jinsi awamu ya kikwete supply ya pesa ilivyokua kubwa huku mtaani huyu Magufuli angetumia policy gani kupunguza hizo pesa kwenye mzunguko?unadhani ni policy gani inayotumika kuondoa au kupunguza inflation rate kama sio hiyo?kumbuka pia sera za Magufuli ni kupunguza matumizi yasiyokua ya lazima ya serikali so unadhani angetumia policy gani kama sio hiyo?
Kwahiyo jk anaondoka kulikuwa na inflation?maskini wa mawazo wewe. Kulikuwa na inflation ipi? Ya demand pull, importation, au cost push infation..na je ilifika ikawa hyper inflation km ya zimbambwe..au Kulikuwa na money supply kubwa inayozidi demand ya pesa mtaani?.

Unajua mazingira ya kutumia contraction fiscal policy? Angalia trend kipind cha mwaka 2015- 2016 inflation rate ilikuwa 4.5% -5%. Rate hii ndogo sana kwa inflation wala huihitaji cuting government expenditure. Kipind cha Jk uchumi kulikuwa unaelekea Ku recovery Leo tunarudi nyuma tena.
 
Kama unaipenda sana kenya na Kamau wao mfuate ukaishi nae huko! Watu mlio na ufinyu wa kuwaza mnakwenda na matukio tu bila kuangalia chanzo ni nini! Uchumi wa nnchi hii ulishajikita kwenye tope ktk awamu iliyopita na kinachofanywa na mheshimiwa sana mzee Magufuli na jopo lake lenye weredi wa hali ya juu ni kuinasua nchi hii! Sasa watu kama wewe msiokuwa na upeo wa kuyapambanua mambo kwa upana wake ni ngumu kuona hilo. CV pekee haifanyi kazi, kinachofanya kazi ni utayari wa kutumikia watz kwa uamahiri wenye uadilifu, na kwa taarifa yako hawa unaowaona hawafai kwa kuangalia uzoefu wao wataku'prove' wrong' in just a nearby future! Nyie mnaobwabwaja ktk kipindi hiki cha kuinasua nchi mnakera sana. Ni kweli hali ni mbaya kwa sasa, ni kweli maisha ya watz wengi yamekuwa magumu. Lakini kabla ya kufungua mdomo wako wenye lawama na ufinyu wa kuyapambanua mambo kwa uhalisia wake unapaswa ujiulize tumefikaje hapa ndipo utaona kwa nini hatua zinazochukuliwa na rais wetu na serikali yake ni muafaka kwa sasa ili tuondokane kutoka ktk hali mbaya hii tuliokuwa tumefikishwa na hao wenye uzoefu na CV za kutisha!
Potea ww na CV zako hapa kwetu ni kazi tu...aleselema alija...!
 
Mshauri mkuu wa Magu ni Lipumba ambaye huenda usiku ili kukwepa macho ya watu.
 
Mimi awe waziri Mpango au la mimi nitamlilia raisi tu. Yeye si ndiye mteule wao na aliteua kwa CVS.
Mlilie Lipumba kwani ndiyo mshauri wake mkuu hao wengine ni wapambe wa kawaida.
 
Lipumba ndiyo mshauri mkuu japo wapo wengine akina January,mwakyembe na wenzao.
 
waziri wa fedha na kamishina wa kodi hawajui maana ya VAT..... Tutegemee uchumi utakuwa thubutuuuuuuuu

Ndugu zanguni tuache masihalla; ili nchi yetu ipate maendeleo ya uhakika ni lazima uchumi wa nchi yetu ukue na ili uchumi ukue ni lazima kuwe na uwekezaji. Wenye mitaji yakuwekeza katika sector mbali mbali wanatazama sera za nchi husika na hasa hasa hawapendi nchi zisizokuwa na political stability na sera zinazoeleweka. Katika mambo ya sera zinazoeleweka ndio kuna mambo ya kodi hivyo ni muhimu kuhakikisha kuwa Sera zetu za kodi ni rahisi na zinaeleweka.

Waziri wetu wa fedha nadhani haelewi kuwa ili watu walipe kodi jambo la kwanza hicho kiwango cha kodi kiwe manageable yaani watu waweze kukilipa na pili serikali ihakikishe kuwa kodi inayokusanywa inatumka kwa kutoa huduma kwa wananchi. Mambo hayo mawili yakitiliwa mkazo serikali itakusanya kodi yakutosha kwasababu wananchi hawatakuwa na sababu ya kukwepe kulipa kodi!! Hivi sasa waziri wetu wa fedha anatilia mkazo sana kuongeza viwango vya kodi kama njia ya kuongeza mapato ya serikali kitu ambacho kinawafanya walipa kodi wengi hasa wafayabiashara wakwepe kulipa kodi na hivyo serikali kutokusanya kodi ya kutosha; ni vyema serikali ingepunguza viwango na utitili wa kodi lakini ikapanua uwigo wa walipa kodi kama mbinu mbadala ya kuongeza mapato.

Hizi sera za Mpango za kung'ang'ania kupandisha viwango vya kodi na kuweka utitili wa kodi ndio unaosababisha serikali kutokukusanya mapato ya kuweza kukidhi mahitaji yake na matokeo ya hizi sera mbovu ni kwa serikali kukosa fedha na kulazimika kuanza kukopa hata kutoka kwenye mabenki ya ndani kitendo ambacho kina athari mbaya sana kwa ukuaji wa uchumi wa nchi. Serikali inapoanza kukopa kutoka mabenki ya ndani inakuwa sasa inashindana na wafanyabiashara wa ndani kupata mikopo na matokeo ya ushindani huo ni interest rates za mabenki kupanda na hivyo kusababisha mfumuko wa bei nchini; kitu ambacho hufanya bidhaa tunazozalisha kuwa ghali na hivyo kutohimili ushindani kutoka nchi nyingine.

Sikubaliani kabisa na sera hizi za kupandisha viwango via kodi unjustifiably na kuwa na utitili wa kodi kama mbinu ya kuongeza mapato ya serikali; it has failed na ndio maana serikali sasa inalazimika mpaka kuanza kukopa kutoka mabenki ya hapa hapa nchini!!!
 
Back
Top Bottom