Mjue mshauri wa Rais Magufuli anayedumaza uchumi

Mjue mshauri wa Rais Magufuli anayedumaza uchumi

Tanzania tupo kwenye recession? Takwimu inaniambia mwaka 2015 tulikuwa kwa 6% mwaka 2016/17 tunakuwa kwa 7% na hii ni kwa mujibu wa takwimu za ndani na nje ya nchi, sasa hiyo recession inatokea wapi? Au unajiandikia tu maneno bila ya kuelewa maana yake?
 
Kwanza nakubaliana na wewe waziri Mpango abadilishwe nafasi hiyo! sina tatizo na usomi wa hadhi ya doctorate lakini pengine tusitizame title tu na makaratasi (vyeti) tuvuke hapo kama nchi, kwa nafasi za juu kama mawaziri na makatibu wakuu ni wakati sasa tuwe na mfumo unaotizama uwezo wa mtu zaidi ya vyeti na titles!! lakini niwe tofauti kdg na wewe kwamba Mpango hakutuma maombi kuwa waziri wa fedha, lakini nina uhakika hata Rais inawezakana wala hakuwa anmjua Mpango, viko vyombo vimepewa jukumu la kuscout watu ambao watatufaa km taifa hao ndio tuwalaumu kwa sababu hawafanyi kazi yao sawasawa!! ni wavivu..! si kweli ni Mpango tu kati ya watanzania wote aliyeonekana anaweza kuwa waziri wa fedha kwa kipindi hiki..! wenye jukumu hili wakifikiri nje ya box watapata wengi tu na mmoja wao anaweza kutufaa sana. Sikubaliani na wewe pia kuretain watu ambao wamelisaidia taifa hili kwa namna moja au nyingine kama Likwelile alitufaa juzi na jana inatosha tupate wengine. kazi nyeti kama hizo ni vizuri na inafaa kuwa na akiba ya kutosha ya watu kwa nafasi hizo, binadamu tumewekewa ukomo kwa kila jambo, umri, akili, umbo nk hiyo ndiyo principle ya alietuumba, inawezekana Likwelile alitufaa jana likin km tunaendelea kudhani atatufaa na leo tunajidanganya. Kwa hiyo kwa kifupi si Rais wala Mpango wa kulaumiwa, tuwalaumu hao tuliowapa jukumu la kupick team ya kumsaidia Rais, na mara nyingi tu wamefeli assignment hii imeshakuwa kawaida kwao kufeli feli ni kama sasa wanafanya kazi ya uganga wa kienyeji (kupiga ramli) hawana uhakika na wanaowafanyia vetting kama wanafaa au la..pengine kati ya mambo ambayo katiba yetu iyaseme kwa future ya nchi yetu, usaidizi wa Rais uwe na ukomo, Rais anapomaliza muda wake kikatiba wasaidizi wake pia hasa pale ikulu nao wapishe watu wengine wapya! GOD HAS MADE NO SUPERMAN!!!
 
Mtoa mada ungelinda andiko lako kwa data za kitafiti ungesaidia sana kwa wale ambao bado hatuamini kama uchumi unadidimia. Tafiti nyingi zinazotolea na taasisi mbali mbali zinaonyesha uchumi unafanya vizuri.. uchumi unapokua kwa 7% ni kitu chakujivunia, na kama hii kwako ni kuporomoka tuwekee vyanzo vya kitafiti vya taarifa yako.
 
Mi mbona sioni tofauti ya maisha wakati wa mahu na jk, au kwa vile sina hela nimeendelea kuwa sina! Kwa hiyo ku note significant difference inakuwa taabu
 
Tanzania tupo kwenye recession? Takwimu inaniambia mwaka 2015 tulikuwa kwa 6% mwaka 2016/17 tunakuwa kwa 7% na hii ni kwa mujibu wa takwimu za ndani na nje ya nchi, sasa hiyo recession inatokea wapi? Au unajiandikia tu maneno bila ya kuelewa maana yake?
Ebu tupe tafsiri vp recession tunaipima Kwa factors ipi
 
The cold will bite but so will realitY .... JPM is doing it right ..Tulikuwa na Expansional Fiscal policY juz tu hapa na kikwete watu mka laaani sana mkalalamika hata zile ajira za bodaboda mkaziona laana ...Tunataka kuwa na uchumi unaochangiwa na sekta zenYe direct effect na raia wake mfano Tourism tumenunua ndege ..viwanda tumembembeleza dangote abaki tunarahisha usajir wa biashara tumeondoa mianYa Ya rushwa TRA na Brela kwa asilimia karibu na 90% what else do we need ? Mapungufu HaYawez epukika ukizingatia uchumi ni full of assumptions ..lakin hizi sera in the near future tutakuwa somewhere inawezekana kuna mapungufu kwenYe implementation Ya Good Governance lakini sio kwenYe sera za uchumi Tuache witch hunting tuwape wasomi nafasi Ya kufanYa kazi Tatzo la sasa hivi ni Green eYed against professionism
 
For sure,katika hilo mkuu inabidi alifikirie upya kwa maslahi mapana ya Tanzania
 
Raisi hashauriki msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Ebu tupe tafsiri vp recession tunaipima Kwa factors ipi

Recession maana yake kurudi nyuma inatokana na neno recede sasa kama mwaka jana tulikuwa kwa 6% mwaka huu zaidi ya 7% hiyo recession inatokea wapi? Hii inaitwa acceleration na siyo recession!
 
jibu ni moja tu hashauriki, sasa kama mtu hapendi matajiri maana yake anataka kil as mtu awe maskin. umaskin umetawala roho na future idea zake zote
 
waziri wa fedha na kamishina wa kodi hawajui maana ya VAT..... Tutegemee uchumi utakuwa thubutuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom