Mjomba unalijua hili?

Mjomba unalijua hili?

msumbufu

Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
9
Reaction score
1
Ki-ukweli kaka wengi wanasema mengi kuhusu tabasamu lako na uvivu wako katika kukemea na kufuatilia bila kumuachia pumzi kwa yule unaye mbana, mimi nimefahamu sasa kuwa vyote hivyo ni kutokana na wewe kuwa ndivyo ulivyo nothing to change. kwahiyo tuahidi tusitegemee lingine ilitujue huna jipya mpaka utakapo maliza mafunzo yako ya miaka mitano. dah! shilingi yetu kwisha kazi ila nakumbuka ulijipigakifua na kusema tumeachwa vizuri ktk mengi na yule aliyekutangulia ktk mafunzo hayo ambayo mnapokezana, sasa sijui kama nawe utamwacha vzr ajae kwa madeni haya ambayo hayalipiki kirahisi.
 
We jail the petty thieves and appoint the great ones to public office.
 
nalijua hilo mjomba kuwa hasira za yule mzee alietaka mchumba wake akazalie ikulu bila ndoa huku akisemekana nimke wa mtu ni eti alifukuzwaga ktk kundi zamani, ww ulishawahi kuliona tabasam lake?
 
nalijua hilo mjomba kuwa hasira za yule mzee alietaka mchumba wake akazalie ikulu bila ndoa huku akisemekana nimke wa mtu ni eti alifukuzwaga ktk kundi zamani, ww ulishawahi kuliona tabasam lake?

watu 2po kwa football, then unaleta vipedo vya netball, c ungeuliza kwanza then ndo ufanye maamuzi?
 
nalijua hilo mjomba kuwa hasira za yule mzee alietaka mchumba wake akazalie ikulu bila ndoa huku akisemekana nimke wa mtu ni eti alifukuzwaga ktk kundi zamani, ww ulishawahi kuliona tabasam lake?
Crap!Crap!Crap!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom