Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Nilivyosoma text conservation yenu nimegunduwa wewe ndio ulitaka kumtapeli mwenzako yani upewe vifaranga 100 kwa shilling 17,000/= tu.

acha kumchafuwa mwenzako hata tukienda mahakamani huu siyo ushahidi wa kuthibitisha umetapeliwa ni wewe ndio ulitaka kutapeli na pesa ya tapeli huwa haina refund.
Asante kwa mchango wako mkuu, lakini mimi nimetoa tahadhari tu.
Na kama umesoma conversations vizuri, utaona muda nilio mtumia jamaa pesa na pia mwisho alikua hapokei simu kabisa
 
Kazi ipo sijui kwanini kuna watu wana tabia ya kuharibu biashara za mitandaoni kiasi kwamba hata tunaofanya aina hizi za biashara tunaonekana waongo.Mkuu pole kwa yaliyokukuta siku ingine chukua tahadhari unapofanya biashara za mitandaoni ni vizur ujue kwanza ofisi ya muhusika ilipo ndo utume hela.
Kwel kabisa anatuharibia na wengine
 
Kazi ipo sijui kwanini kuna watu wana tabia ya kuharibu biashara za mitandaoni kiasi kwamba hata tunaofanya aina hizi za biashara tunaonekana waongo.Mkuu pole kwa yaliyokukuta siku ingine chukua tahadhari unapofanya biashara za mitandaoni ni vizur ujue kwanza ofisi ya muhusika ilipo ndo utume hela.
Mkuu, Ningumu kumtambua mwema na m-baya.
Na katika utafutaji kuna kupata na kukosa.
Pia ili kufanikiwa tunapaswa kuthubutu
 
Nilivyosoma text conservation yenu nimegunduwa wewe ndio ulitaka kumtapeli mwenzako yani upewe vifaranga 100 kwa shilling 17,000/= tu.

acha kumchafuwa mwenzako hata tukienda mahakamani huu siyo ushahidi wa kuthibitisha umetapeliwa ni wewe ndio ulitaka kutapeli na pesa ya tapeli huwa haina refund.
Inawezekana na wewe ni tapeli mwenza!! Huwezi kutetea wizi wa namna hii... Jamaa ni kweli katapeliwa!
Maana aliombwa nauli tu, naye akatuma hiyo nauli. Ila baadae zikaanza 'sound' za kulipia kuku baadhi wakati mwanzo aliambiwa kabisa kuwa hatalipwa pesa ya kuku mpaka wamfikie!....why alibadilika katikati ya mazungumzo baada ya kutumiwa nauli kama siyo tapeli huyu Muuza Vifaranga 'feki'?!?....
 
Kwajinsi unavyo mtetea, napata wasiwasi na wewe mkuu...
Kwani ni wapi nimekwambia naandika ili niaminiwe na wewe? mjinga sana wewe, watu makini hatuwezi kuruhusu watu mchafuwe networking pasipo na ushahidi wa kujitosheleza, usidhani kwa sababu natumia Id fake basi mimi ni ghost, najuwana na watu wengi tu humu na tunafanya mengi, ndio maana wapuuzi kama wewe tunawaelekeza, huna evidence ya kumuita mtu tapeli wakati hiyo text conversation wazi inaonesha wewe ndio tapeli uliyetaka kujipatia vifaranga 100 kwa shilling 17,000/= tu.
 
Hapa inaonesha wazi wewe ndio huijuwi hii dunia, tunafanya mengi global bila kujuwana na watu hao, siyo rahisi kama huna exposure kubwa kuelewa ninachokiandika hapa.
Mkuu, haiwezekani utuaminishe kwamba exposure ni kinga ya kuhalalisha wizi.
Hapa nimekuja kutoa tahadhari ili wengine wasiingie choo cha watoto kama mimi.
Just kumtumia nauli tu ndipo jamaa akamute, ukitazama huyu jamaa alianza kubadilisha maneno katikati ya maongezi ilhali tulisha kubaliana.
Kumbuka nilimuweka wazi kwamba siwezi lipa kabla sijauona mzigo
 
Kwani ni wapi nimekwambia naandika ili niaminiwe na wewe? mjinga sana wewe, watu makini hatuwezi kuruhusu watu mchafuwe networking pasipo na ushahidi wa kujitosheleza, usidhani kwa sababu natumia Id fake basi mimi ni ghost, najuwana na watu wengi tu humu na tunafanya mengi, ndio maana wapuuzi kama wewe tunawaelekeza, huna evidence ya kumuita mtu tapeli wakati hiyo text conversation wazi inaonesha wewe ndio tapeli uliyetaka kujipatia vifaranga 100 kwa shilling 17,000/= tu.
Basi sawa
 
HIVI BADO UNAAGIZA MZIGO KWA MTU USIEMJUA NA UNAMTUMIA PESA??HII DUNIA BADO SANA WATU KUPATA UELEWA
unashangaa hiyo.kuna mmoja huku anaomba ushauri kaambiwa atume hela ameshinda dola laki 2 kwenye mtandao . mi nasema wapigwe tu
 
Inawezekana na wewe ni tapeli mwenza!! Huwezi kutetea wizi wa namna hii... Jamaa ni kweli katapeliwa!
Maana aliombwa nauli tu, naye akatuma hiyo nauli. Ila baadae zikaanza 'sound' za kulipia kuku baadhi wakati mwanzo aliambiwa kabisa kuwa hatalipwa pesa ya kuku mpaka wamfikie!....why alibadilika katikati ya mazungumzo baada ya kutumiwa nauli kama siyo tapeli huyu Muuza Vifaranga 'feki'?!?....
Hivi mtu akikuita shoga na haushiriki vitendo vya ushoga itakuumaje? same to you mimi nakupuuza tu, kunifananisha na matapeli mimi kwangu siyo shida kwa sababu hunijui, na wanaonijuwa wananijuwa mimi mtu wa kariba gani.

kwahiyo kwangu siyo tabu hata kidogo kusimama katika kile ninachoamini eti kitu kuna mtu ananihisi vingine, no way, kwanza mimi siyo wa mikoani na mtu anayeweza kunitapeli mimi ni mtu anayenijuwa tu na atanitapeli kwa njia ya kunikopa na asinilipe basi na si vinginevyo.
 
utapeli umezidi siku hizi, mimi kuna kijana kamtapel mdogo wangu milioni moja, mbaya zaidi binti mwenyewe alikuwa anamega hela ya biashara yangu kidgo kidogo. Na hasira nae...japo kakimbia mji nitampata tu.
 
Back
Top Bottom