Jiwedogo
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 2,811
- 4,099
- Thread starter
- #21
Asante kwa mchango wako mkuu, lakini mimi nimetoa tahadhari tu.Nilivyosoma text conservation yenu nimegunduwa wewe ndio ulitaka kumtapeli mwenzako yani upewe vifaranga 100 kwa shilling 17,000/= tu.
acha kumchafuwa mwenzako hata tukienda mahakamani huu siyo ushahidi wa kuthibitisha umetapeliwa ni wewe ndio ulitaka kutapeli na pesa ya tapeli huwa haina refund.
Na kama umesoma conversations vizuri, utaona muda nilio mtumia jamaa pesa na pia mwisho alikua hapokei simu kabisa
