Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Watu wamemgeuzia jamaa kibao kuw yeye ndiyo tapeli Aisee. Pole sana ndugu dhamira yako itakushuhudia. Mimi naona nia yako labda ilikuwa kutadharisha wengine lakini mambo yamekuwa tofauti. Kiukweli uluchofanya ni hasa hata mimi ningefanya sasa nikutumie pesa ya mzigo na sijaiona wala hatujuani hii ni ngumu. Yaani ilitakiwa jamaa akifika na mzigo unamkash lakini naoana watu wamekugeukia while nia yako ilikuwa nzuri tuu kufanya biashara na member mwenzako. Bado siamini kama nia yako ilikuwa kutapeli kisha ulete hii habari humu.
 
Mwandiko wake tu unajua hamnazo
Ila siamini kama kweli mtu unaweza kufanya kitu serious humu na mtu usiemjua, wakati tunatumia majina fake na avatar fake
Wacha muingizwe mjini tu
 
wengine hawajui maana ya tahadhari na siku zote unajikwaa mara moja wakati wa kwenda ukirudi njia utakuwa unaijua. Pole sana na shukrani kwa ujumbe.
Asante sana mkuu
 
Kiongozi, mimi sipingi kwamba matapeli wapo. Lakini si vyema mtu akiweka tu tangazo lake la biashara anaambiwa tapeli bila kuwa na grounds zozote za kuthibitisha, huko ni kuharibiana biashara. Watu wanahangaika sana na maisha, sasa mtu anapohangaika kupata chochote then wewe una muharibia haipendezi mkuu. Ukisema sema tapeli eleza kwanini ili mwenye macho na aone
Mkuu kwani sijaweka maelezo ya kujitosheleza....
 
Nimesoma mkuu kila kitu! Mi nimestik hapo kwanza...

Na mbaya zaidi wewe nimeona ndie ulieanza kumwita mwenzio tapeli... bila ya kupima kama jamaa nayeye ana imani kiasi gani kwako... ulikurupuka
Nilimwita tapeli baada ya kua hapokei sim yangu na hata ilifikia time akaizima kabisa.
Anyway..... ebu mgoja nikubaliane na wewe
 
duuuh!binadamu tumefika mbali sana,guys 17000tsh inakutoa imani kiasi hcho.
Usiseme Hvyo pesa n pesa Kama kweli hakufanya Haya aje atolee ufafanuz na Pia jamaa Ana haki kudai chake Kama makubaliano ya awali yalivunjwa ukiangalia kwenye post yake huyo ndele Anasema yupo Songea lakin alipowasiliana na jamaa kasema yupo dom kuna Dalila ya utapeli hapa mkuu
 
Watu wamemgeuzia jamaa kibao kuw yeye ndiyo tapeli Aisee. Pole sana ndugu dhamira yako itakushuhudia. Mimi naona nia yako labda ilikuwa kutadharisha wengine lakini mambo yamekuwa tofauti. Kiukweli uluchofanya ni hasa hata mimi ningefanya sasa nikutumie pesa ya mzigo na sijaiona wala hatujuani hii ni ngumu. Yaani ilitakiwa jamaa akifika na mzigo unamkash lakini naoana watu wamekugeukia while nia yako ilikuwa nzuri tuu kufanya biashara na member mwenzako. Bado siamini kama nia yako ilikuwa kutapeli kisha ulete hii habari humu.
Mkuu....
Humu nivyema ukafanya kile unacho kiamini, na ukisikiliza sana mambo na mawazo ya watu humu, utaishia kulia tu.
Kubwa ni kwamba mimi nimefanya kutoa tahadhari kwa wengine
 
Jamaa kweli kweli alitapeliwa, ulaghai umeanza baada ya kutumiwa za nauli akaja na sound eti babu anataka angalau za vifaranga 10.
Hivi kama niwewe ungetumaje mzigo hata nusu ya pesa hujaona?

Kama alikua hamuamini kwanini asimtumie mtu anaemjua huko aliko wakamaliza biashara?
 
Usiseme Hvyo pesa n pesa Kama kweli hakufanya Haya aje atolee ufafanuz na Pia jamaa Ana haki kudai chake Kama makubaliano ya awali yalivunjwa ukiangalia kwenye post yake huyo ndele Anasema yupo Songea lakin alipowasiliana na jamaa kasema yupo dom kuna Dalila ya utapeli hapa mkuu
Nami ndo maana nimesema hvyo cku hz uungwana umepotea.Cjui huyu mwenzetu veep mbna wengine tunafanya biashara za mtandaon.sasa kuna ugumu gan wa mtu kumsafirishia mzgo huku pesa ya transport umesha pewa.
Cku zote uaminifu ni bora zaid ya hyo pesa mtu unayofikir kutapele,coz ukiwa mwaminifu unajiongezea wigo wa biashara yako.
 
Nilivyosoma text conservation yenu nimegunduwa wewe ndio ulitaka kumtapeli mwenzako yani upewe vifaranga 100 kwa shilling 17,000/= tu.

acha kumchafuwa mwenzako hata tukienda mahakamani huu siyo ushahidi wa kuthibitisha umetapeliwa ni wewe ndio ulitaka kutapeli na pesa ya tapeli huwa haina refund.

kwa hiyo kwa kumtumia hiyo elfu 17,000 ulitaka akutumie vifaranga 100?...hahahah wewe ndio ulitaka kumtapeli
biashara za mtandaoni zina term kuu 3
1 tukutane sehemu tufanye hiyo biashara mkono kwa mkono
2. tuma ela nikutumie mzigo unafika mpaka mlangoni(hii inategemea source ikiwa ni mtandao ambao unabeba dhamana au kupitia kwa mtu mnafahamiana na kukiwa na halufu ya utapeli
kwa mfano KUPATANA wanakwambia kabisa NEVER PAY IN ADVANCE coz wao hawabebi dhamana ya pesa yako tofauti na mitandao mingne ambapo wanabeba dhamana ya pesa ikiwa mambo yatakwenda sivyo ndivyo )
3.mpaka mzigo niuone ndo natoa ela.
km mnakubaliiana hivyo ni yeye mwenye budhaa kuwa na chanzo cha uhakika sehemu anapotuma bidhaa inamaana ufike sehemu fulani utakuwepo mzigo uone ukiridhika toa ela
tushatuma sana vitu kwenye basi au malori unaongea na konda au dereva huyo mtu mpokeaji akiuona mzigo na akihakikisha upo sawa anakupa cash ndo unampa mzigo
so alichofanya jamaa hadi kuhisi katapeliwa ni sawa coz walikubaliana ilipwe nauri tu!
mzigo ukifika salama mkononi mwake inalipwa pesa yote ya thamani ya mzigo lkn dr ndele akaanza annoying zisizo na mashiko zilizomuogopesha jamaa mpk akaamua ghairi biashara
ilitakiwa tangu mwanzo wa biashara aweke condition kuwa unalipia nauri na asirimia 25 sio mtu ushatuma nauri na kukubalianaa then unaanza mambo mengne ambayo hayakukuapo katika PACT wakati mwanzo mnaanza biashara
ingawa si vema kumuita TAPERI ila dr ndele alikosea ilitakiwa amjibu chochote jamaa kuliko kukaa kimya sms ajibu simu hupokei
lazima uonekane ni mbabaishaji na tapeli
 
Back
Top Bottom