- Thread starter
- #421
Watu wa Arusha wanatumia nguvu nyingi kuikuza Arusha wakati hakuna kitu.Binafsi ni nimefika Mwanza mara mbili ,2014 na 2017,wala haikunichukua zaidi ya nusu sa kuelewa Mwanza ni mji mzuri .Mwanza nayoifahamu Mimi au nyingine? Arusha hata daraja la manzese hamna,gorofa zinahesabika .mji mdogo ndo ulinganishe na mwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app