Zari hajasoma Ila yuko exposed , maisha aliyoishi na wanaume aliotoka nao si mchezo, lazima awe smart , hatokag na vinuka mkojo, domo mwenyewe pesa na umaarufu Ndo vimemvutia zari , huoni sasa hvi anapiga madili and she is ambassador wa makampuni hapa Tz , Ila Ma ex wa domo wengine wote vilaza hakuna aliyenufaika hata tanasha nae hajui kujibeba , now angekua mbali , zari mjanja bwana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila mama Domoo amshukuru mwanae jamani daaah!
Vitoto vyote vya sinza mori vimemla yule mama hataree!
Mi namuona mama Misa ana unafuu coz yy anadanga kama mwanae halafu limama lizuri lile! Sasa mama Domoo kakomaa, sura haina nuru kabisa, ingawa anahonga
Tuliokuwa tunakaa sinza kipindi kile tuliona mengi[emoji849][emoji22][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Lulu aliyemdaganya kukimbilia ndoa bila kutimiza malengo yake sasa atajuta nadhani hataki ni vile majizo ana msupport yeye na familia. Angetakiwa afanye mengi na makubwa wanaume wa kibongo kukuacha utimize ndoto ni ngumu soon tutamsahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kwa ajili ya kucheka humuAlikuwa hajui hana kitu kwa akili yake mbovu shangazi kwa kazi gani ya kudance TZ ukawa tajiri sema alijiegemeza upepo mbaya upite kapata danga anamuona wa nini kaka wa watu
Itamrudia tu anaona mjelajela nje tunamuona kalamba dume ndani ya nyumba kalamba mavi
Hafu nani ka kufundisha kufatilia ubuyu hukuNipo kwa ajili ya kucheka humu
Lulu angetumia ustar wake angefika mbali mno sasa yeye kujiforce kwa mwanaume anaye mdunda ndo nini. Uoga wa maisha ni tatizo kwako, enzi hajakutana na kistuli alikuwa ana damshi hatari sasa hivi kapauka ka mie bwana. Ndoa kwake sio kimbilio zuri kwa sasa don't get married because of problem atajutraa. I thought angekuja na makubwa ila ndo kimya, hawa wanaume kwa kuua ndoto za watu banaHakunaga mwanaume anayependa mkewe afanikiwe kumzid, lulu she is young, beautiful and she is a big celeb, Yule mtoto Ana nyota yake na mvuto wa ajabu , angekua anasafir kidogo kupata exposure angefika mbali, juzi nilimuona kwenye award hiko kinge chake yeye na mobeto hawachekan, lulu sijui anafeli wap, yan yeye ndo angekua powerful kuliko majizo, Sasa yeye kamataman pesa ya majzo kwa sababu ya uvivu wa kutafuta zake coz access zote anazo Yule
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimekutana na huu uzi kama bahati mbaya for the first time nashuhudia kumbe haya maswala yapo na humu, nilijua ni kule kwenye mtandao ambao kila mtu ni celebrity tu!
Nimekutana na huu uzi kama bahati mbaya for the first time nashuhudia kumbe haya maswala yapo na humu, nilijua ni kule kwenye mtandao ambao kila mtu ni celebrity tu!
Sema style ya kuyawasilisha kwa mtindo wa Codes ndio inaniacha hoi sana!
Napita kimya kimya huku nacheka kinomaKaribu mwaya tule ubuyu wa codes si unajua wambeya huishi long time
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee jamaa kumbe mbea tu kama Wit[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Napita kimya kimya huku nacheka kinoma
Hivi na yule jubillant officiall anakuaga na linah mda ote nna waswas naeKijana mwingine hvi alivumaga sana Ila sasa hvi Hana jipya, maana Hana akili, wala kipaji , wanapenda kuwa wote na tunda, Mara nyingi wanadanga wote, sura anayo Ila akili tu ndo hana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ha ha kwahio mzee baba "KRIS....KIUMA(<<)" wahuni wanam smoke mpaka anang'ata godoro!Mwanasaikolojia mkuu mwenye vyeti vyake kama vyote nasikia wanamtaiti mpaka anatafuna godoro kwa utamu
KRIS...KIUMA (<<)Ndo nani uyo mkuu
am better here
Infact nimemiss interpret, ni KRIS....KIUMA (<<)
KRIS...KIUMA (QUOTE]Duh yule mkuu co rahc labda haris kipg ndo anapakuliwa
am better here