( ni kupitia mjengwablog
Pichani ni jina la gazeti jipya la ' Kwanza Jamii' linalotarajiwa kuonekana nchini kote kuanzia Machi 31, 2009. Ni jarida la uchambuzi wa masuala yanayohusu na kuigusa jamii. Haya ni pamoja na siasa, uchumi, elimu, michezo na utamaduni. Kuna masuala mtambuka pia kama vile mazingira,jinsia na UKIMWI/VVU.
Jarida hilo litakuwa likitoka kila Jumanne ya wiki.
Katika muda si mrefu kutoka sasa nitawaletea, kupitia blogu hii, majina ya baadhi ya wachambuzi watakaoandikia gazeti hilo. Kwa sasa naandaa bango la ' Kwanza Jamii' nitakalolitundika hapo juu.
/Maggid
Ikwiriri, Rufiji, Pwani.
Jumapili, Machi 15, 2009.
Pichani ni jina la gazeti jipya la ' Kwanza Jamii' linalotarajiwa kuonekana nchini kote kuanzia Machi 31, 2009. Ni jarida la uchambuzi wa masuala yanayohusu na kuigusa jamii. Haya ni pamoja na siasa, uchumi, elimu, michezo na utamaduni. Kuna masuala mtambuka pia kama vile mazingira,jinsia na UKIMWI/VVU.
Jarida hilo litakuwa likitoka kila Jumanne ya wiki.
Katika muda si mrefu kutoka sasa nitawaletea, kupitia blogu hii, majina ya baadhi ya wachambuzi watakaoandikia gazeti hilo. Kwa sasa naandaa bango la ' Kwanza Jamii' nitakalolitundika hapo juu.
/Maggid
Ikwiriri, Rufiji, Pwani.
Jumapili, Machi 15, 2009.