a.k.a_Mimi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 292
- 113
Ufahali wa bure tu,nyumba ka hotel,uenda anafuga majini
Ufahali wa bure tu,nyumba ka hotel,uenda anafuga majini
Ufahali wa bure tu,nyumba ka hotel,uenda anafuga majini
hvyo hiyo gharama hiyo nyumba ina nn cha zaidi zaidi, au ipo kwenye eneo kubwa sana ndo wamethaminisha pamoja na hyo nyumba?
Sijui ni ushamba ila huwa sipendi vitu complicated.Sasa huo mjengo wote wa nini?
tuache majungu watz, tumwache kwani hela ndo ilivyomruhusu, na wewe hela iliyokuruhusu ni kuendesha kibaby walker(vitz)