Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Hivi wadau, ule mjengo uliopo opposite na St. Peters (nyuma ya DSTV) ni wa nini?
Kila siku asubuhi nikiwa naenda kazini napita pale, ila mpaka leo sijui ni mjengo wa nini/nani. Maana sichelewi kusikia umechakachuliwa na watanzania tuanze kulipa kama tunavyokaribia kuilipa DOWANS
Kila siku asubuhi nikiwa naenda kazini napita pale, ila mpaka leo sijui ni mjengo wa nini/nani. Maana sichelewi kusikia umechakachuliwa na watanzania tuanze kulipa kama tunavyokaribia kuilipa DOWANS