Mnyampaa Ebrahim
Member
- Aug 3, 2012
- 20
- 3
Nina mchumba wangu mjamzito wa miezi mitano anasumbuliwa sana na kiuno sijui chanzo nn coz hata kazi ngumu hafanyi yupo tu nyumbani, any msaada please?
Kiuno kinauma kwa sababu nyonga ilizoea ku-support uzito mdogo kuliko iliopo. Kwa hiyo ni kama kulemewa tu. Pole sana, mpe support itapita.
Ila ukifunga nae ndoa kinaweza kupona,lol
...Mhhhh! Haya bana...mimi nilikuwa silijui hili lakini ni ushauri mzuri sana kwa muanzisha thread.
Kiuno kinauma kwa sababu nyonga ilizoea ku-support uzito mdogo kuliko iliopo. Kwa hiyo ni kama kulemewa tu. Pole sana, mpe support itapita.
Ila ukifunga nae ndoa kinaweza kupona,lol
Abee bibi wa kambo.
shkamooo!
duh, asante King'asiti hata GF wangu kiuno hua analalamika kinauma kwa sababu uzito unaongezeka na kiuno kinashindwa ku support? Lakini ni GF tu hana mimba na suala la sex kwetu halipo
marahaba mjukuu....
nimeupenda ushauri wako... umejaa ukweli mwingi ndani yake
Kama ameongezeka weight hivi karibuni (by 10% is bad enough)shauri ya kupendwa sana na wewe hii inaweza kuwa sababu. Otherwise atahitaji kuonana na daktari wa mifupa, pengine kuna tatizo lililoko serious.
(Au labda nae kiuno chake kina hamu na harusi, try that anaweza kukushangaza hehehe! )
ngoja nimshitue sasa hivi, thanks for the info
Umshtue kumuona daktari ama kumuoa? Lol
Haina neno ni uzito tu wa mtoto,na mwili haukuzoea kubeba mzigo.Hongera you will be a good husband like my husband,yuko very concern na issue za familia,very caring husband,i will love u my hubby till i die,kaka mpende sana mkeo,tunapenda kweli kujaliwa.Barikiwa na Mungu wetu alie hai,ila ndoa muhimu eeh!!!
nilijua weye mwanaume kumbe ni she, loh!
Thanks for ur ushauri mzuri,definitely i do care and luv her so much!!!!!Suala la ndoa ndio lipo njiani inshaallah!!!!Haina neno ni uzito tu wa mtoto,na mwili haukuzoea kubeba mzigo.Hongera you will be a good husband like my husband,yuko very concern na issue za familia,very caring husband,i will love u my hubby till i die,kaka mpende sana mkeo,tunapenda kweli kujaliwa.Barikiwa na Mungu wetu alie hai,ila ndoa muhimu eeh!!!
King'sti uko wapi mda mrefu ujasikikaAfantee bibi. Nna hamu ya kushonesha sare ya harusi, naskia manzese toka barabara ibomolewe vitambaa vya magauni vimeshuka bei.