Mjadala: Wanaume ndio shida au wanawake?

Mjadala: Wanaume ndio shida au wanawake?

Hapa nadhani haujanielewa yaani kwa kifupi iko hivi ninyi mnajiona ni haki yenu kukosea ila sisi tukikosea mnasema tunawalipizia au tunataka usawa na ushindani na ninyi na mnasema tunafanya makusudi yaani ninyi wanaume ndo mnatuona sisi malaika kwamba hatutakiwi kukosea

Mnasahau kwamba na sisi ni binadamu tuna madhaifu ila ninyi hamtaki kabisa tuwe na madhaifu lakini wanaume ndo mnajiona binadamu tena msio na hatia kabisa kwamba hata mkifanya makosa tuwachukulie tu hivyo hivyo na tuwavumilie kwamba mna madhaifu na ndo hulka yenu kufanya makosa hivyo hamtakiwi kubadilika

Basi sasa nimekuelewa ila hapo unaposema eti mwanaume anajiona ni haki yake kukosea ondoa, hakuna mtu mwenye utimamu wake wa akili anayekosea kwa makusudi halafu anajiona yuko kwenye haki, kama yupo basi huyo mgonjwa.

Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba sisi wanaume hatuko tayari kufanyiwa malipizi kwa mistakes ambazo tumezifanya halafu tukakaa kimya. Kumbuka ubaya haulipwi kwa ubaya kwani kufanya hivyo ndio kuubariki ubaya wenyewe uendelee kuwepo, imagine umenikamata nacheat kwa hasira et na wewe unaenda kutafuta bwana wa kucheat nae kama malipizi. Halafu useme eti huko kwenye haki? ni haki gani hiyo? kuna njia sahihi ya kuweza kudeal na situation kama hii tofauti na hiyo.

Pia kitendo cha mimi kukataa kufanyiwa malipizi haimanishii kwamba najiona ni malaika au mwenye kustahili kukosea, kukataa kufanyiwa malipizi ni njia moja wapo ya kuzuia muendelezo wa tatizo! sasa mimi nikikuruhusu unitende kama nikivyokutenda mimi, hivi siku nyingine nikifanya kosa hilo hilo unaweza kunizuia kweli? si ukijaribu kunizuia nitakwambia nenda kafanye tu na wewe hili utulize moyo wako.? kisha cycle itaendelea hivyo hivyo!
 
Sources of problems?? Hey come on... I thought men they are perfect!

ahaha!! you are playin games now! with regarding to this thread men are primary problem while women came to be a secondary problem which is even worse!
 
Oooh...You tried to dodge a bullet!
But the truth is all men are deeply flawed and weak. Remember..."all men" and there's no exception to this.

ahaha!! i knew you made that comment while you ironically refer to what marianah and i have been arguing about severally(utakatifu). As for being flawed yes that’s undeniable truth but talking of weakness i can say at least our weakness is little bit manageable compared to yours!
 
Sasa kama mnajua kuwa ubaya haulipwi kwa ubaya bali unalipwa kwa wema kwanini wanaume ndo vinara wa kulipiza makosa yakifanywa na wake zenu? Haya mnayotaka wake zenu wayafanye (kulipa ubaya kwa wema) mbona ninyi hamtaki kuyafanya?

Sasa si ndo huko kujiona kwamba mna haki ya kukosea? Imagine wewe ukifanya kosa hautaki mkeo akufokee wala akulipizie ila mkeo akifanya kosa wewe ni lazima umuadhibu au umlipizie halafu uko hapa unasema eti ubaya unalipwa kwa wema? Seriously?
Basi sasa nimekuelewa ila hapo unaposema eti mwanaume anajiona ni haki yake kukosea ondoa, hakuna mtu mwenye utimamu wake wa akili anayekosea kwa makusudi halafu anajiona yuko kwenye haki, kama yupo basi huyo mgonjwa.

Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba sisi wanaume hatuko tayari kufanyiwa malipizi kwa mistakes ambazo tumezifanya halafu tukakaa kimya. Kumbuka ubaya haulipwi kwa ubaya kwani kufanya hivyo ndio kuubariki ubaya wenyewe uendelee kuwepo, imagine umenikamata nacheat kwa hasira et na wewe unaenda kutafuta bwana wa kucheat nae kama malipizi. Halafu useme eti huko kwenye haki? ni haki gani hiyo? kuna njia sahihi ya kuweza kudeal na situation kama hii tofauti na hiyo.

Pia kitendo cha mimi kukataa kufanyiwa malipizi haimanishii kwamba najiona ni malaika au mwenye kustahili kukosea, kukataa kufanyiwa malipizi ni njia moja wapo ya kuzuia muendelezo wa tatizo! sasa mimi nikikuruhusu unitende kama nikivyokutenda mimi, hivi siku nyingine nikifanya kosa hilo hilo unaweza kunizuia kweli? si ukijaribu kunizuia nitakwambia nenda kafanye tu na wewe hili utulize moyo wako.? kisha cycle itaendelea hivyo hivyo!
 
Mazoea yana tabu, na hakuna mtu anayejua kuendekeza mazoea kama nyie KE.

Mwanamke ukimfanyia jambo ambalo hakuzoea kufanyiwa siku ya kwanza atakushukuru sana nakukuona wewe ni rafiki mzuri, lakini ukijiroga kumfanyia mara ya pili tayari hapo unakuwa umejitengenezea wajibu rasimi, maana utaamsha ile natural instinct ya SELF-ENTITLEMENT ambayo ni common kwa wanawake wote. Hata kama hapo awali ulimfanyia kwa mapenzi tu bila malipo yoyote siku ukiacha kumfanyia utageuka kuwa adui yake ghafla.


Sasa hata wewe Marianah kama bwana yako aliwahi kukufulia chupi i am pretty sure mpaka sasa hivi atakuwa bado anakufulia sana tu na kwa mitazamo uliyonayo ni lazima uwe umewahi kumuomba na sio lazima iwe kufua chupi inaweza ikawa hata kukupikia/kufanya usafi.

Mwanaume kuleta demokrasia kwa ndani ya nyumba ni kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe. Ni lazima mwanamke atakuona koro tu one day, ngoja nikwambie kitu wewe Marianah ambacho unaweza ukawa haukijui kutokana na mindset uliyonayo.

Kihalisia nyie wanawake hamtakiwi kuwa sawa na mwanaume hata kidogo ndio maana hata mnavyotafuta mume mnataka awe anawazidi urefu,elimu,umri,kipato n.k na ikitokea ukalingana nae kwenye hivyo unavyotaka akuzidi ndani ya moyo wako unaanza kutengeneza dharau fulani hivi automatic bila hata wewe mwenyewe kujua! yaani unajikuta tu haumpi heshima yake bila hata sababu za msingi..kwanini? sababu ni kwamba mwanaume ukilingana nae automatically wewe umemzidi na akikuzidi ndio mmelingana.

Yaani iko hivi;

mwanaume akilingana na mwanamke basi hapo ajihesabu kazidiwa(mwanamke yuko juu yake)

Mwanaume akimzidi mwanamke basi hapo ndio wamelingana(wote wako sawa).

Hivyo basi hata kukiwepo na demokrasia ndani ya nyumba tayari hapo mwanamke ndio mwenye power yaani yeye ndio kiongoz according to natural rule i have vividly explained above! Na wewe mwanamke ukishakuwa na power hakuna usalama tena hapo kwa huyo mwanaume, lazima hiyo ndoa ataiona ni jehanamu ndogo. Kumpanda kichwani kupo tu labda akubali kuishi kibushoke.

Good point. Mkuu
 
Sasa wanaume ndio shida au wanaume kivipi, kichwa cha habari hakiko sawa!
 
Sasa kama mnajua kuwa ubaya haulipwi kwa ubaya bali unalipwa kwa wema kwanini wanaume ndo vinara wa kulipiza makosa yakifanywa na wake zenu? Haya mnayotaka wake zenu wayafanye (kulipa ubaya kwa wema) mbona ninyi hamtaki kuyafanya?

Sasa si ndo huko kujiona kwamba mna haki ya kukosea? Imagine wewe ukifanya kosa hautaki mkeo akufokee wala akulipizie ila mkeo akifanya kosa wewe ni lazima umuadhibu au umlipizie halafu uko hapa unasema eti ubaya unalipwa kwa wema? Seriously?

Kwanini hakuna njia nyingine ya kulipa huo ubaya tofauti na kulipiza?
 
Mkuu congraturation sana... Umeongea fact sana... Nakumbuka me mwenyewe nikimzoesha mke wangu kupika chakula cha usiku alifurahi sana siku ya kwanza... Akaona mwanaume c ndo mimi... Sasa kadri ilivoendelea alichukulia icho kama wajibu wangu na kama kuna siku sijisikii kupika usiku ananuna... Pia akataka niwe namsaidia kazi zingine kama kufua eti hata kudeki....badae nlivoona inakuwa ishu ikanibidi niache kumsaidia hata kazi zingine.... Nafanya tu kwa kubeep.... Kiukweli nilizani namsaidia mke wangu kumbe yy ana demand vingine vingi... Nashindwa hata kuelewa kipi wanawake zetu hawa wanapenda... Kiukweli mwanamke kiumbe complex
Mazoea yana tabu, na hakuna mtu anayejua kuendekeza mazoea kama nyie KE.

Mwanamke ukimfanyia jambo ambalo hakuzoea kufanyiwa siku ya kwanza atakushukuru sana nakukuona wewe ni rafiki mzuri, lakini ukijiroga kumfanyia mara ya pili tayari hapo unakuwa umejitengenezea wajibu rasimi, maana utaamsha ile natural instinct ya SELF-ENTITLEMENT ambayo ni common kwa wanawake wote. Hata kama hapo awali ulimfanyia kwa mapenzi tu bila malipo yoyote siku ukiacha kumfanyia utageuka kuwa adui yake ghafla.


Sasa hata wewe Marianah kama bwana yako aliwahi kukufulia chupi i am pretty sure mpaka sasa hivi atakuwa bado anakufulia sana tu na kwa mitazamo uliyonayo ni lazima uwe umewahi kumuomba na sio lazima iwe kufua chupi inaweza ikawa hata kukupikia/kufanya usafi.

Mwanaume kuleta demokrasia kwa ndani ya nyumba ni kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe. Ni lazima mwanamke atakuona koro tu one day, ngoja nikwambie kitu wewe Marianah ambacho unaweza ukawa haukijui kutokana na mindset uliyonayo.

Kihalisia nyie wanawake hamtakiwi kuwa sawa na mwanaume hata kidogo ndio maana hata mnavyotafuta mume mnataka awe anawazidi urefu,elimu,umri,kipato n.k na ikitokea ukalingana nae kwenye hivyo unavyotaka akuzidi ndani ya moyo wako unaanza kutengeneza dharau fulani hivi automatic bila hata wewe mwenyewe kujua! yaani unajikuta tu haumpi heshima yake bila hata sababu za msingi..kwanini? sababu ni kwamba mwanaume ukilingana nae automatically wewe umemzidi na akikuzidi ndio mmelingana.

Yaani iko hivi;

mwanaume akilingana na mwanamke basi hapo ajihesabu kazidiwa(mwanamke yuko juu yake)

Mwanaume akimzidi mwanamke basi hapo ndio wamelingana(wote wako sawa).

Hivyo basi hata kukiwepo na demokrasia ndani ya nyumba tayari hapo mwanamke ndio mwenye power yaani yeye ndio kiongoz according to natural rule i have vividly explained above! Na wewe mwanamke ukishakuwa na power hakuna usalama tena hapo kwa huyo mwanaume, lazima hiyo ndoa ataiona ni jehanamu ndogo. Kumpanda kichwani kupo tu labda akubali kuishi kibushoke.
 
Hapo tatizo ni la wanawake lakini limeanzia kwa wanaume kwa misingi ifuatayo;

1.Walifanya machaguzi mabaya tangu awali kwa kuoa wanawake waliopoteza haiba ya kike(alpha female) wakitembelea ile dhana isiyokuwa na uhalisia “mwanaume kujiamini” mwisho wa siku wakajikuta wanaishi kwa kuvumlia mwanamke hatimae wakaona ni heri kuuwa ndoa.

2.Kukubali mtu anayetumia hisia(emotion) awe na nguvu sawa au kuliko wewe ya maamuzi ndani ya ndoa, hapo jahazi haliendi na mwisho wa siku lazima lizame tu.

3.kugawana madaraka na mtu ambaye hakuumbwa kushika madaraka hata kidogo, maana hata yeye mwenyewe hajui kutumia hayo madaraka bila kuleta tafrani.

4.kujifanya unaleta diplomasia kwenye mambo yasiohitaji diplomasia hata kidogo na hili ndio mzizi wa yote.


Pongezi kwa wale wote ambao bado wanaishi kwa kufuata mfumo uliowekwa na Mungu tangu dunia inaanzishwa, definitely wao ndio wana enjoy ndoa!
Mkuu kwahyo ndoa haihtaji demokrasia!?
 
Pamoja na upendo kuwa ndio msingi mkuu wa ndoa, wanandoa wote wawili wanahitaji 'maarifa' ili kuweza kumudu maisha ya kila siku ya ndoa. Mnaishi watu wawili mnaotoka kwenye malezi, makuzi, mazingira, uzoefu tofauti hivyo kuna uwezekano siku moja moja kukatokea changamoto au tofauti ndogo ndogo zinazohitaji 'maarifa' ya jinsi ya kukabiliana na kumudu maisha ya ndoa. Wengi wanaoingia kwenye ndoa wanaingia kwa kubahatisha wakiwa hawana abc (maarifa) ya jinsi ya kuishi na kukabiliana na changamoto hizi katika ndoa. Ni sawa sawa na kuendesha gari na kulipitisha katikati ya kina kirefu cha dimbwi la maji ukitarajia utatoka na gari lako likiwa salama - Ni bahati tu, lakini kuna uwezekano mkubwa wa gari kuharibika, hali kadhalika ndoa pia, tunahitaji tuwe na maarifa, taarifa sahihi kabla kuingia kwenye taasisi ya ndoa.

Kwa kuwa wengi hawana 'maarifa' na zinapojitokeza changamoto katika ndoa, badala ya kutafuta ufumbuzi huishia kulalama, kulaumu mwenza, na kusema kwamba ndoa ni balaa, ngumu, nk, kumbe kuna ukosefu wa maarifa. Changamoto nyingi za ndoa zinatatulika lakini lazima waliomo kwenye ndoa hiyo wawe na maarifa. Na kama tujuavyo kama 'huna maarifa ni rahisi kuangamia' - labda iwe bahati tu.
 
Kwanini hakuna njia nyingine ya kulipa huo ubaya tofauti na kulipiza?
Hilo swali tuwaulize ninyi wanaume maana ninyi ndo huwa mnalipiza ubaya kwa ubaya kuliko wanawake yaani wanawake wote wangesema walipize ubaya kwa ubaya kwa waume zao basi ama kwa hakika wanawake karibu wote walioko kwenye ndoa wangekuwa wanachepuka lakini haiko hivyo

Kwahiyo tuwaulize ninyi wanaume kwanini ninyi ndo huwa mnalipa ubaya kwa ubaya halafu mnataka wake zenu ndo walipe ubaya kwa wema? Ninyi kwanini hamtaki kulipa ubaya kwa wema? Yaani ninyi ndo vinara wa tit for tat kwanini? Which means mnajiona mna haki ya kukosea ila wanawake hawana si ndiyo?
 
Basi ni mkeo ndo yuko hivyo na siyo wanawake wote

Halafu kama unaona kuwa ukimsaidia anafaidi sana basi acha kumsaidia
Mkuu congraturation sana... Umeongea fact sana... Nakumbuka me mwenyewe nikimzoesha mke wangu kupika chakula cha usiku alifurahi sana siku ya kwanza... Akaona mwanaume c ndo mimi... Sasa kadri ilivoendelea alichukulia icho kama wajibu wangu na kama kuna siku sijisikii kupika usiku ananuna... Pia akataka niwe namsaidia kazi zingine kama kufua eti hata kudeki....badae nlivoona inakuwa ishu ikanibidi niache kumsaidia hata kazi zingine.... Nafanya tu kwa kubeep.... Kiukweli nilizani namsaidia mke wangu kumbe yy ana demand vingine vingi... Nashindwa hata kuelewa kipi wanawake zetu hawa wanapenda... Kiukweli mwanamke kiumbe complex
 
ahaha!! i knew you made that comment while you ironically refer to what marianah and i have been arguing about severally(utakatifu). As for being flawed yes that’s undeniable truth but talking of weakness i can say at least our weakness is little bit manageable compared to yours!
Ha ha ha ha not really! I haven't seen those arguments.

Yes it's undeniable fact that men are stronger or less weak than women but only Physically.. Remember weakness determined by physical and Mental.

We women we are physically weak compared to men but mentally we are so so strong and here women put men to shame!!.

Y'all don't like confident women, educated women and rich women because as per natural we are mentally good mnahisi vipi kama tukiadd these artificial attributes like education, money, beauty and confidence ...you are 100% sure that you will be defeated by technical knock out (TKO)!!![emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]

Refer Adam in Eden and Samson etc, you will know how much you are mentally weak and you can't help it. Na hamtaweza kuacha kuwa insecure while we are around!
 
Dada me nakubalia kabsa ulichosema hakuna anaeweza kubisha kabsa... Wanawake wapo strong sana mentally... Nafikiri cc wanaume ndo atujui wanataka nn katika maisha lkn katika mawazo yao always they want to be a leader... And am sure, in this battle they are the winners... Nachopredict katika miaka ya 2070 women are going to lead in everything.....

Ukiishi na mwanamke utaona tu ana chopeka taratibu zake vyake taratibu... Na wanaume wengi tupopenda uwa tunajisahau sana tusifocuss the effect za mambo wanayointroduce wanawake katika ndoa au mahusiano.
Ha ha ha ha not really! I haven't seen those arguments.

Yes it's undeniable fact that men are stronger or less weak than women but only Physically.. Remember weakness determined by physical and Mental.

We women we are physically weak compared to men but mentally we are so so strong and here women put men to shame!!.

Y'all don't like confident women, educated women and rich women because as per natural we are mentally good mnahisi vipi kama tukiadd these artificial attributes like education, money, beauty and confidence ...you are 100% sure that you will be defeated by technical knock out (TKO)!!![emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]

Refer Adam in Eden and Samson etc, you will know how much you are mentally weak and you can't help it. Na hamtaweza kuacha kuwa insecure while we are around!
 
Dada me nakubalia kabsa ulichosema hakuna anaeweza kubisha kabsa... Wanawake wapo strong sana mentally... Nafikiri cc wanaume ndo atujui wanataka nn katika maisha lkn katika mawazo yao always they want to be a leader... And am sure, in this battle they are the winners... Nachopredict katika miaka ya 2070 women are going to lead in everything.....

Ukiishi na mwanamke utaona tu ana chopeka taratibu zake vyake taratibu... Na wanaume wengi tupopenda uwa tunajisahau sana tusifocuss the effect za mambo wanayointroduce wanawake katika ndoa au mahusiano.

Shabaash!! Well said mkuu.

Sisi wanawake tuna akili sana hata kumzidi mwanaume na ndiyo maana mababu walipendekeza kwamba mwanaume aoe mke aliye mdogo kwake kiumri ili angalao akili ziweze kuendana na mwanaume aweze kuwa kiongozi wa familia.

Mimi hapa mwanaume niliyelingana nae umri Au wale tuliosoma pamoja (age mate) tukikaa pamoja hata story zake naziona ni zakitoto toto yaani haziandani na mimi HUU NI UKWELI SITII CHUMVI.
Niliwahi kuuliza nikaambiwa wanaume wanachelewa kupanuka akili au kwa lugha ya mtaani "kujanjaruka" tofauti na watoto wa kike.

Kwa akili zetu mababu wakaona hatuna haja ya kwenda shule kusoma maana tukisoma tutafanya mapinduzi sana, ambayo ndiyo haya unayoyaona sasa hivi tunavyowapa tabu wanaume ni kutokana na elimu tulizoziongeza kwenye akili zetu za asili.

Na wanaume wanaogopa wanawake ambao wamesoma sana kwa sababu wanajua watakuwa na akili sana na itakuwa ngumu kumtawala. Hivyo najaribu kuelewa wanaume wanaoogopa kuoa wanawake wasomi.

Na miaka inayokuja kama ulivyotabiri, hii dunia wanawake tutakuwa na nguvu sana sana, maana jamii zote zinapeleka sasa wasichana shule. Na tayari na sisi tumeanza kuingiza visheria vyetu kwenye maisha ya ndoa Tara tibuuuu kidogo kidogo mpaka mje mshtukee sisi ndiyo tunakuwa "Head of households" Nani alaumiwe?????
Lizarazu amesema nyie wanaume ndiyo chanzo cha tatizo.
 
Lkn #cute b. Mnataka nn hasa ktk ndoa au mahusiano. Nakuona ww unaweza toa jibu sahihi hapa... Mana wengine awawi wawazi kipi hasa wanaitaji katika ndoa na mahusiano
Shabaash!! Well said mkuu.

Sisi wanawake tuna akili sana hata kumzidi mwanaume na ndiyo maana mababu walipendekeza kwamba mwanaume aoe mke aliye mdogo kwake kiumri ili angalao akili ziweze kuendana na mwanaume aweze kuwa kiongozi wa familia.

Mimi hapa mwanaume niliyelingana nae umri Au wale tuliosoma pamoja (age mate) tukikaa pamoja hata story zake naziona ni zakitoto toto yaani haziandani na mimi HUU NI UKWELI SITII CHUMVI.
Niliwahi kuuliza nikaambiwa wanaume wanachelewa kupanuka akili au kwa lugha ya mtaani "kujanjaruka" tofauti na watoto wa kike.

Kwa akili zetu mababu wakaona hatuna haja ya kwenda shule kusoma maana tukisoma tutafanya mapinduzi sana, ambayo ndiyo haya unayoyaona sasa hivi tunavyowapa tabu wanaume ni kutokana na elimu tulizoziongeza kwenye akili zetu za asili.

Na wanaume wanaogopa wanawake ambao wamesoma sana kwa sababu wanajua watakuwa na akili sana na itakuwa ngumu kumtawala. Hivyo najaribu kuelewa wanaume wanaoogopa kuoa wanawake wasomi.

Na miaka inayokuja kama ulivyotabiri, hii dunia wanawake tutakuwa na nguvu sana sana, maana jamii zote zinapeleka sasa wasichana shule. Na tayari na sisi tumeanza kuingiza visheria vyetu kwenye maisha ya ndoa Tara tibuuuu kidogo kidogo mpaka mje mshtukee sisi ndiyo tunakuwa "Head of households" Nani alaumiwe?????
Lizarazu amesema nyie wanaume ndiyo chanzo cha tatizo.
 
Back
Top Bottom