Mjadala wa Mafuta na Suala la Muungano

Ni kweli suala hilo liliingizwa kwenye muungano kinyemela, na sio hilo tuu, yako mengine kibao. Tulipo ungano, mambo ya muungano yalikuwa 11, sasa yanakaribia 30. La mwisho kabisa ni la kuifanya Zanzibar mkoa.......................................................................................................................Jamani muungano wa dhati ni kama ndoa. Mkishaungana, mnakuwa kitu kimoja. Hi kwenye ndoa, ili upate kila kitu, lazima uombe?. Vile ambayo ni stahili yako, unaweza kuomba, ama ukachukua, ili mradi usende kusiko.............................................................................................................Dini ya Kiislamu inaruhusu wake mwisho wanne. Inasema kabla hujaoa tena, omba ridhaa ya mke/wake waliopo, unaweza omba ridhaa na ukakataliwa, ukioa kwa nguvu bila hiyo ridhaa bado ndoa ni halali.................................................................................................................Japo ndoa ni muungano wa hiyari, haiwezi kufika mahali mke aliyeolewa akajiamkia tuu na kusema leo sikutaki, naomba talaka yangu. Talaka atoaye ni muoaji sio muolewaji..........................................................................................................Hizi kelele za muungano ni kama ndoa, hapo kuna muoaji na aliyeolewa, inaonekena kuna kelele za kutaka talaka. Kama kweli umetendewa visivyo, talaka itatolewa, lakini kama umetendewa ndivyo, wataka talaka tuu ili uwe huru kufanya mambo yako, unajisumbua bure, talaka hakuna.............................................................................................Kwa mara ya kwanza Juzi, Karume kaomba gesi na mafuta. Hivi hamjifunzi tuu kwa makosa ya Jumbe kutaka kuipigania Zanzibar uhuru wake UN, yalimkuta yapi?.Komandoo kataka badili katiba ili kuondoa ukomo wa miaka 10, yepi yalimkuta?.........................................................................................................Leo Karume anayaomba mafuta yawe yenu, hivi ni mafuta gani hayo?. Mbona hayajapatikana bado?, au hayo mafuta ya kwenye kinibu yataka watoa roho. Hivi kweli ni mafuta ama kuna mengine?. Mesej ya Karume sent...subirini majibu ila msije kulia!


Waliopigania uhuru mara nyingi sio wanaokula matunda ya uhuru.
Kama ndoa hapa basi na iwe ya kisasa kuwa hata mwanamke ana uhuru sawa sio wa kuomba.
Shukurani sana kwa kutufananisha na wake na kwa vile tunajuwa kuwa sote ni nchi tuliokubaliana hivyo ndowa hii ni ile inayopigwa vita, ya jinsia moja. Kwenye ndowa ya jinsia moja hakuna maendeleo kwani hakuna kizazi kwa vile ni kinyume na maumbile.
Great thinkers! my foot kujilinganisha na ndowa ya jamii moja, PASCO umefika mbali sana.
 
Waliopigania uhuru mara nyingi sio wanaokula matunda ya uhuru.
Kama ndoa hapa basi na iwe ya kisasa kuwa hata mwanamke ana uhuru sawa sio wa kuomba.
Shukurani sana kwa kutufananisha na wake na kwa vile tunajuwa kuwa sote ni nchi tuliokubaliana hivyo ndowa hii ni ile inayopigwa vita, ya jinsia moja. Kwenye ndowa ya jinsia moja hakuna maendeleo kwani hakuna kizazi kwa vile ni kinyume na maumbile.
Great thinkers! my foot kujilinganisha na ndowa ya jamii moja, PASCO umefika mbali sana.

++ You are truly one of the greatest thinker...union is like gay marriage :D
 
Ikiwa muungano ni wa masuala 11 tuu!!
Na Tanganyika kujifanya werevu kwa kuongeza mambo kinyemela, ni nani haswa mwenye nia ya kuvunja muungano?

Zanzibar kwa kudai haki zake au Tanganyika kwa kukiuka mkataba huo wa mambo hayo 11?
 
Hata Makubaliano ya Muungano yanavunjwa kinyemela, Kulikuwa hamna cheo cha rais wa Zanzibar wala Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ila Rais wa Zanzibar alikuwa anakuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Kama Mwalimu Nyerere na Mzee Karume walivyo kubaliana. Hili mbona hamuongei? au Nyani haoni kundule ila anacheka la mwenzake?
 
Mafuta, Mafuta ...why Wazanzibari are counting chickens before

they hatch? It seems like these people are operating under the

umbrella of wishful thinking ; by the way , who has told them

that there is substantial amount oil in Zanzibar ? Simply

because there are companies that are doing exploration

doesn't mean that they have won the bingo.
 
Mafuta, Mafuta ...why Wazanzibari are counting chickens before

they hatch? It seems like these people are operating under the

umbrella of wishful thinking ; by the way , who has told them

that there is substantial amount oil in Zanzibar ? Simply

because there are companies that are doing exploration

doesn't mean that they have won the bingo.

So you wanted them to wait its till its too late...unfortunately this is unacceptable nowadays.

You will need to go back to those age to get that!!
 
Badala ya WanaJF kujiandikia kwamba Tanganyika inakiuka Katiba na Makubaliano wa Muungano, ingefaa wanasheria wetu wasome Utaratibu wa Kubadilisha Katiba na Orodha ya Mambo ya Muungano. Wakisha soma waandike ili lika mtu ajue.

Nielewavyo ni kwamba badiliko lolote katika Katiba ya Muungano ni lazima likubaliwe na theluthi mbili ya Wajumbe wa Bunge, na katika hicho kikao ni lazima Wabunge wanaotoka Zanzibar wasiopungua theluthi mbili yao pia wakubali badiliko hilo.

Kama Orodha ya Mambo ya Muungano ni Sehemu ya Katiba ya Tanzania, na wakati wa kuingiza MAFUTA, Katiba ilibadilishwa, ni dhahiri kwamba Wabunge waliotoka Zanzibar walikubali na sio chini ya Theluthi Mbili ya hao Wabunge walikubali.

Ingawa mimi sitaki kusemea Serikali, ni kupotosha kama tunaeneza tamko kwamba Mafuta yaliingizwa KINYEMELA. Bunge letu hata wakati ule wa Chama kimoja lilikuwa linakaa hadharani, na Miswada ilikuwa inachapishwa katika Gazeti kwa Muda wa siku zisizopungua 21. Natumaini utaratibu huo na Kanuni hiyo haijabadilika. Kwa hiyo Katiba haiwezi kubadilishwa kinyemela; na kuingizwa kwa MAFUTA katika ORODHA ya MAMBO ya MUUNGANO hakungeweza kufanywa kinyemela. Wawakilishi wa ZAnzibar walikubali badiliko. Kama hawakuelewa uzito wa uamuzo huo, ni suala jingine na tofauti.
 
Badala ya WanaJF kujiandikia kwamba Tanganyika inakiuka Katiba na Makubaliano wa Muungano, ingefaa wanasheria wetu wasome Utaratibu wa Kubadilisha Katiba na Orodha ya Mambo ya Muungano. Wakisha soma waandike ili lika mtu ajue.

Nielewavyo ni kwamba badiliko lolote katika Katiba ya Muungano ni lazima likubaliwe na theluthi mbili ya Wajumbe wa Bunge, na katika hicho kikao ni lazima Wabunge wanaotoka Zanzibar wasiopungua theluthi mbili yao pia wakubali badiliko hilo.

Kama Orodha ya Mambo ya Muungano ni Sehemu ya Katiba ya Tanzania, na wakati wa kuingiza MAFUTA, Katiba ilibadilishwa, ni dhahiri kwamba Wabunge waliotoka Zanzibar walikubali na sio chini ya Theluthi Mbili ya hao Wabunge walikubali.

Ingawa mimi sitaki kusemea Serikali, ni kupotosha kama tunaeneza tamko kwamba Mafuta yaliingizwa KINYEMELA. Bunge letu hata wakati ule wa Chama kimoja lilikuwa linakaa hadharani, na Miswada ilikuwa inachapishwa katika Gazeti kwa Muda wa siku zisizopungua 21. Natumaini utaratibu huo na Kanuni hiyo haijabadilika. Kwa hiyo Katiba haiwezi kubadilishwa kinyemela; na kuingizwa kwa MAFUTA katika ORODHA ya MAMBO ya MUUNGANO hakungeweza kufanywa kinyemela. Wawakilishi wa ZAnzibar walikubali badiliko. Kama hawakuelewa uzito wa uamuzo huo, ni suala jingine na tofauti.
Hayo ni kweli, kwa bara yamefanyika, ili kubadili kifungu chochote cha muungano, upande wa pili wa Zanzibar ulihitaji kushirikishwa na mabadiliko hayo yanatakiwa yaridhiwe na baraza wa Wawakilishi, jambo ambalo halikufanyika. Kiukweli sisi bara, sio siri jamaa tunawaburuza!.

Tatizo kubwa kuliko yote, mahakama zetu zote zilizopo, hazina uwezo wa kusikiliza issues za Muungano. Hata Zanzibar wakidhulumiwa vipi, hawana popote pa kushitaki.

Mahakama yenye uwezo huo ni 'Constitution Court' mpaka rais wa JMT aridhie kuundwa kwa mahakama hii. Serikali iliyopo ya CCM, inaamini Zanzibar hakuna tatizo kubwa kihivyo kuhalalisha kuundwa kwa mahakama hiyo.
Hivyo Wanzanzibari mnaotaka haki zetu, pigieni chapuo chama kingine kiingie madarakani bara na visiwani, mpewe haki zenu.
 
Mafuta, Mafuta ...why Wazanzibari are counting chickens before

they hatch? It seems like these people are operating under the

umbrella of wishful thinking ; by the way , who has told them

that there is substantial amount oil in Zanzibar ? Simply

because there are companies that are doing exploration

doesn't mean that they have won the bingo.
kama utachunguza sana. Tunachokitaka wazanzibari sio mafuta, mafuta tunaitumilia kama ni ajenda tu tunayoitumia kutetea haki zetu za msingi ambazo kila kukicha zinamezwa kinyemela.There are more to come ndugu, zile enzi za mdebwedo zimekwisha!
 
kama utachunguza sana. Tunachokitaka wazanzibari sio mafuta, mafuta tunaitumilia kama ni ajenda tu tunayoitumia kutetea haki zetu za msingi ambazo kila kukicha zinamezwa kinyemela.There are more to come ndugu, zile enzi za mdebwedo zimekwisha!
Kwa hili nakukubalia, kwa sababu mafuta tenyewe hayajai hata kinibu!.
 
Utangulizi:

Utangulizi wa Mkataba wa Muungano wenyewe unataja sababu kuu ya kuunganisha nchi za Zanzibar na Tanganyika kuwa ni ‘maingiliano ya muda mrefu ya watu wa nchi mbili hizi na mahusiano yao ya kidugu na kirafiki … na … kuendeleza umoja wa watu wa Afrika.'

Lakini miaka 45 sasa baada ya uzoefu wa Muungano huu, Wazanzibari wanajiuliza kweli haya ndiyo madhumuni ya Muungano huu?


Nimekuwa nikiitolea mijicho huo utafiti (hapo chini kwenye picha) na kujionea jinsi Zanzibar inavyodhulumiwa na kupoteza rasili mali na nguvu zake ndani ya muungano.

Hapa katika picha hizo utaona kwamba mafuta asilimia kubwa yapo Zanzibar, ni kituo kidogo na chenye mafuta kidogo ndio kipo Makarawe ni wazi ndio sababu Tanganyika ikakimbilia kwa haraka kuyaingiza mafuta kinyemela ndani ya masuala ya muungano.

Ingelikuwa mafuta yamegundulika bara tuu kama madini mengine, nafikiria tusingelishuhudia nishati hiyo kupenyezwa ndani ya muungano.

Hivyo mzanzibari,stay back and enjoy the show,where Zanzibar will be a looser to another critical resource of hers!

Muungano Oyee :rolleyes:
REF:

pg6.png



Complete PPT hapa
 
Hakuna Oil Zanzibar!!!
Where are your evidence to prove that there is no OIL?
...I thought I just provided with physical data published in January 2010 by the company Nor Energy....

Afterall the point is not the availability of the oil resources, its about Union issues...:cool:
 
wewe nahisi kabisaa unamatatizo tena makubwa, kila siku mafuta mafuta yangekuwepo makampuni yanayohaha duniani katafuta mafuta yangeyaacha???? tatizo lenu nyie wazanibari ni watu mnaoishi kwa kuhisi tu hamtaki kufanya kazi mnawazqa mafuta ambayo bado kitaalamu hayapo ili muwe mnakaa vibarazani bila kujishughulisha mnakera sasa, tumewachoka

KWA TAARIFA ZA KITAALAMU ZILIZOPO HAKUNA MAFUTA YANAYOWEZA KUCHIMBWA KIBIASHARA PEMBA utafiti bado unaendelea ikidhibitika ndo mtu utajua kwamba yapo na yapo ya kiasi gani naona waarabu wanawadanganya fanyeni kazi acheni kulalamika kila kukicha kila siku mnakuja na visababu ambavyo havina miguu

kanchi kenyewe kamegawanyika kama nini shukuruni kama sio Muungano tusingekuwa na nchi inayoitwa zanzibar, nimeishi Pemba mpemba anaona akienda hata tanga tu ni kama mtu kaenda ulaya vile ni zanzibar ipi unayoizungumzia AU NI HAYA MAKUBALIANO YA JUZI TU YANAWAPA KIBURI, unajua kilicho nyuma ya pazia???????

kama maisha yamekusinda kawafuate babu zako Oman tuachie nchi yetu tuishi kwa amani
 
Where are your evidence to prove that there is no OIL?
...I thought I just provided with physical data published in January 2010 by the company Nor Energy....

Afterall the point is not the availability of the oil resources, its about Union issues...:cool:


ninao ushahidi tena wakitaalamu mpaka dakika hii nayoandika hakuna MAFUTA PEMBA YANAYOWEZA CHIMBWA KIBIASHARA HAKUNA,
 
zanzibar ni kama mwanamke mkorofi aliyeolea ambaye kila siku anaandika orodha ya malapulapu aliyokuja nayo kwa mumewe kutoka kwao, na wakati huohuo akisisitiza kuwa mumewe lazima amtunze yeye na familia yake.

tahadhari ni kwamba mume akichoka vijineno vya huyu mwanakmke na akaamua kumtwanga talaka, hata baba yake huyu mwanamke naye atamtwanga talaka mama yake yaani hata familia ya mwanamke itasambaratika. ni kwa msingi huo baba mkwe wa upande wa mume kabla hajafa alimsihi sana mwanawe kumwonea huruma mkewe na familia yake na kujitahidi kumvumulia asije akaisambaratisha na familia ya ukweni!

habari ndiyo hiyo........................
 
zanzibar ni kama mwanamke mkorofi aliyeolea ........................

Naona umefika mbali, nahisi kama hii ndoa Zanzibar akiwa ni mwanamke na ndoa yenyewe ina matatizo yasiyokwisha...hii ni dalili ya mume kuwa senge au ana matatizo ya kusimama :confused:

Mzee umekusudia nini kufananisha muungano na ndoa?
 
Back
Top Bottom