mkibunga
Senior Member
- Nov 17, 2010
- 196
- 25
hapa kwetu umeme umekatika mwendo wa saa moja basi mturushie maana kilaptop changu kina charge ya masaa matatuNashukuru lakini tuombe umeme usikatike, maana siku hizi unakatika bila taarifa.TANESCO CHOKA MBAYA.