pashu
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 361
- 75
Uchama unatoka wapi huku,swala ni wanahabari kurushiana maneno,jenga hojaCCM Tumejitoa Akili Sawa Ila Lakini Si Hata Nyie UKAWA Mnajulikana Kwa Kunya Hovyo au?
Uchama unatoka wapi huku,swala ni wanahabari kurushiana maneno,jenga hojaCCM Tumejitoa Akili Sawa Ila Lakini Si Hata Nyie UKAWA Mnajulikana Kwa Kunya Hovyo au?
Kila siku hao hao! Wakibadili ni Martin nyoni, mansuri jumanne, hao kwa hao students wa st. Aug. au walimu wao basi! Hivi Mwanza hakuna watu wengine hodari ambao star tv inaweza kuwa tumia? Nahisi kuna tatizo hapo
Yeyevni mwandishi wa Daily News..Moses mathew tangu jana akiwa hapahapa startv na kipindi hikihiki cha tuongee asubuhi nilimshusha hadhi pale anapotetea tbc1 kutokurusha vipindi vya bunge live nasapot kauli ya Edwin Soko, huyu mzee ni mp....zi
Uwa sielewi kwa nini moderators wa JF wanaruhusu maneno machafu kama haya na mengine mengi tu yasiyo na utu ambayo yamekuwa yakitolewa na kiumbe hiki mara kwa mara hapa JF. Kuna wakati anaweza kuja na hoja nzuri tu lakini lugha anayotumia siku zote imejaa dharau, majigambo ya kizamani sana, ushabiki egemezi katika itikadi ya kichama na uchafu mwingine mwingi tu. Hii kwa kiasi kikubwa inashusha sana credibility au trustworthiness ya JF.CCM Tumejitoa Akili Sawa Ila Lakini Si Hata Nyie UKAWA Mnajulikana Kwa Kunya Hovyo au?
Huyu edwin Soko ni kabila gani mkuu
kamanda kwani wewe unashabikia chama gani mpaka leo? ?? chadema chama ambacho kimekumbatia ufisadi na mafisadi? ? khaaa. wenzako tumekaa humo sasa hivi tunatafuta uelekeo wa kwenda. hatuwezi kaa chungu kimoja na mafisadi. Dr Slaa alikana na Prof Lipumba. viongozi mahiri na wenye misimamo thabiti. achaneni na waganga njaa na wapiga dili.zindukeni mnaliwa![/QUOTE!]
Hii sio mada yetu hapa!!
naona wametoka musomaKatika Hali Isiyokuwa Ya Kawaida Waandishi Wa Habari Mmoja Akiwa Ni Mwandamizi Moses Mathew Wa Gazeti La Serikali La Daily News Na Mwandishi Mwenzake Mmoja Ambaye Huwa Anajinasibu Kuwa Ni Mchambuzi Wa Habari Comrade Wangu Kabisa Edwin Soko.
Tatizo Lililopelekea Hadi WAANDISHI HAWA WAWILI MARAFIKI Na Ambao Ni WATANI PIA ( KIKABILA ) Ni Baada Ya Wote WAWILI Kuonyesha Dhahiri Kuwa Wanatoka Ktk HOJA ZA MSINGI Kuhusu Mada Ya TBC Kutoonyesha " Live " Matangazo Ya Bunge Ambapo Wawili Hao ILA HASA HASA Comrade Wangu Edwin Soko Kuonyesha Bila Aibu Kuwa ANAUTETEA MNO UPINZANI KWA HATUA ZAO ZA KIPUUZI ZA KUTOKA NJE YA BUNGE ILI KUSHINIKIZA BUNGE KUONYESHA LIVE MATANGAZO YA BUNGE.
Edwin Soko Hakuishia Tu Hapo Baadae Akaenda Mbele Na Kumchana Mwenzie Kuwa Yeye Ni KIBARAKA WA CCM Na Mganga Njaa Tu Hali Ambayo Ilipelekea Mwandishi Moses Mathew Kutaka Kumpa Mtu NGUMI ZA UHAKIKA Ila Mtangazaji Mwongozaji Boniface Mapuri ALIWEZA Kuwazuia Japo Kimtindo Nilimwona Kwa Mbali Kama Vile Edwin Soko AMESHAUMUKA USONI Nahisi Kuna Kangumi Alipigwa Ka Kiaina. Na Mwishoni Mwandishi ALIYENIVUTIA Leo Moses Mathew Akamtaka Mtangazaji Namnukuu "TAFADHALI SIKU NYINGINE UKINIALIKA STUDIO USINILETEE VICHAA KAMA HAWA ".
Ila Kiukweli Edwin Soko Ameyataka Mwenyewe Kwani Yeye Muda Wote Badala Tu Ya Kujenga HOJA Yeye Kazi Ni Kuitetea Tu UKAWA Na Hasa Hasa CHADEMA Na Bahati Mbaya Leo Kakutana Na MWANAMUME Moses Mathew Ambaye ALITAKA KUMWADABISHA.
Binafsi NAMLAUMU KUNAKOTUKUKA Mtangazaji Mwongozaji Kwa Kitendo Chake Cha KUZUIA TUSIONE MPAMBANO ULE MTAMU Na Kama Huyu Mwandishi Edwin Soko ASIPOBADILIKA Na Hii Tabia Yake Ya Kila Anapoalikwa Kufanya UCHAMBUZI Ktk Tv Kwa Kuonyesha MAPENZI YAKE DHAHIRI KWA CHADEMA Kuna Siku ATAKUTANA NA Mtu Mwingine ATAMUHARIBU USO WAKE KABISA Na Labda Nitoe RAI Kwa CHADEMA au UKAWA Kuwa Kama Mnaweza ANZISHENI REDIO Na TV Yenu ILI MTUONDOLEE HIZI SHIDA!
Big Up Sana Moses Mathew Huyo Dogo Hakika Ataenda KUSIMULIA Huko Kwa Akina Mbowe Na Lisu Kwa Discipline ULIYOMPA.
Kumetokea kurushiana maneno yasiyo na staha katika studio za Star TV baina ya wageni wawili waliolikwa wamealikwa studio za Star TV za jijini Mwanza ambao wote wawili ni waandishi wa habari. Wageni walikuwa mwandishi Edwin Soko na mwenzake Moses Mathew huku mtangazi akiwa ni Leonard Mapuli.
Chanzo ni kutofautiana kimtazamo ambapo bwana Edwin Soko(mchambuzi) alikuwa akipinga uamuzi wa serikali wa kusitisha matangazo ya TBC1 ya moja kwa moja ya shughuli za Bunge huku bwana Moses Mathew(mwandishi mwandamizi) akionekana kutetea uamuzi huo. Maneno waliyoyatamka si vizuri kuyarudia hapa kwani haitapendeza.
Kwakweli wamerushiana maneno ambayo siyo mazuri kwa dakika kadhaa huku mtangazaji akiwasihi wawe watulivu lakini jazba ilitawala na baadae wakashutumiana kuwa wewe ni wa chama fulani huku mwenzake nae akijibu kuwa wewe ni wa chama fulani.
Binafsi licha ya yaliyotokea, nampongeza bwana Edwin Soko kwa msimamo wake wa kupinga uamuzi wa Serikali kwa kutoa hoja ambazo mimi binafsi naziunga mkono.
=======
Utahila wa mtu unaonyeshwa na vitu anavyofinya. Haina shaka mnabishana tahila. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika maneno machafu kiasi hicho. Hilo ni tahila achana kubishana nalo.CCM Tumejitoa Akili Sawa Ila Lakini Si Hata Nyie UKAWA Mnajulikana Kwa Kunya Hovyo au?
hivi hiyo credibility au trustworthiness ya jf wewe unaipimaje mkuu? binafsi naona ni kama tu una chuki zako binafsi na huyo mleta uzi kwani kama ni maneno machafu humu tunayaona mengi sana kwa mfano ni jana tu kuna member humu humu tena ni maarufu tu kamtukania tusi kali la mama yake mbona hatukukoona ukijitokeza kukemea lile? au kosa humu jf ni mpaka lifanywe na mleta uzi tu? halafu wewe ni nani wa kuwaelekeza moderators nini cha kufanya? leo kwa mara ya kwanza najitokeza kumtetea mleta mada kuwa mnaojifanya kumlaumu huwa hamtendi haki na kama kweli hawa moderators wakiamua walivalie njuga suala zima hili la sijui lugha au dharau au kashfa nina uhakika kuwa tutakaobaki humu jf hatutazidi hata 500. tuache kuwa wanafiki humu na tukubali kuwa humu tupo changanyikeni. hivi mtu kuambiwa kuwa kanya ni tusi au neno baya? wewe hunyi? au labda nikuulize je una uhakika kuwa huyo aliyelengwa hakunya kweli? ni mara ngapi humu jf watu huja na hadi taarifa za siri za watu maarufu na mashuhuri na wanaziweka hadharani tena zingine zikiwa zinaaibisha lakini maisha yanaenda? peleka huko chuki zako binafsi na mleta mada ila sisi tunavyojua ktk siasa kupigana vijembe vya aina hii ni kitu cha kawaida mno tu.
Ulitaka ashabikie nini?NON SENSE,hadi leo waishabikia CCM??????????????????????????