Torra Siabba
Senior Member
- Jul 24, 2016
- 105
- 102
Taarifa ya kushikikiwa kwa Mwandishi Aliyce Nyanda
Nimepokea simu nyingi toka kwa waandishi mbalimbali juu ya kutaka kujua kama mwenzetu Mwandishi Aloyce Nyanda anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mwanza.
Ukweli ni kuwa, mwandishi mwenzetu aliitwa na jeshi la polisi na kushikiliwa kwa muda mchache na kuandikishwa maelezo kwenye kituo cha polisi.
Taarifa za ndani zaidi ni kuwa alikuwa anatuhumiwa kwa matumizi ya mitandao ya kijamii.
Baada ya kuandika maelezo aliachiwa ili aendelee na majukumu yake.
Tunaendelea kufuatilia jambo ili kama lina vina saba vya kuminya uhuru wa habari na haki ya kujieleza na pia usalama wake.
Edwin Soko
22.08.2023
Nimepokea simu nyingi toka kwa waandishi mbalimbali juu ya kutaka kujua kama mwenzetu Mwandishi Aloyce Nyanda anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mwanza.
Ukweli ni kuwa, mwandishi mwenzetu aliitwa na jeshi la polisi na kushikiliwa kwa muda mchache na kuandikishwa maelezo kwenye kituo cha polisi.
Taarifa za ndani zaidi ni kuwa alikuwa anatuhumiwa kwa matumizi ya mitandao ya kijamii.
Baada ya kuandika maelezo aliachiwa ili aendelee na majukumu yake.
Tunaendelea kufuatilia jambo ili kama lina vina saba vya kuminya uhuru wa habari na haki ya kujieleza na pia usalama wake.
Edwin Soko
22.08.2023