Mjadala wa Bunge: Wanahabari, Edwin Soko na Moses Mathew warushiana maneno makali studio za Star TV

Kumetokea kurushiana maneno yasiyo na staha katika studio za Star TV baina ya wageni wawili waliolikwa wamealikwa studio za Star TV za jijini Mwanza ambao wote wawili ni waandishi wa habari. Wageni walikuwa mwandishi Edwin Soko na mwenzake Moses Mathew huku mtangazi akiwa ni Leonard Mapuli.

Chanzo ni kutofautiana kimtazamo ambapo bwana Edwin Soko(mchambuzi) alikuwa akipinga uamuzi wa serikali wa kusitisha matangazo ya TBC1 ya moja kwa moja ya shughuli za Bunge huku bwana Moses Mathew(mwandishi mwandamizi) akionekana kutetea uamuzi huo. Maneno waliyoyatamka si vizuri kuyarudia hapa kwani haitapendeza.

Kwakweli wamerushiana maneno ambayo siyo mazuri kwa dakika kadhaa huku mtangazaji akiwasihi wawe watulivu lakini jazba ilitawala na baadae wakashutumiana kuwa wewe ni wa chama fulani huku mwenzake nae akijibu kuwa wewe ni wa chama fulani.

Binafsi licha ya yaliyotokea, nampongeza bwana Edwin Soko kwa msimamo wake wa kupinga uamuzi wa Serikali kwa kutoa hoja ambazo mimi binafsi naziunga mkono.

=======
MI Tokea Nimeanza Kutazama Kipindi Cha TUONGEE ASUBUHI Cha STARTV, Kwa Zamani, Not Now!! HUYO Mosses Mathew Sijawahi Kumuona Akipinga Jambo Lolote Ambalo Limefanywa Na SERIKALI, YEYE Kwake Ni MAZURI Tu!!!! MARA Nyingi Walikuwa Wanakwazana Na Wachambuzi /Waandishi Wenzake, Kutokana Na Kauli Zake Na Aina Ya Maneno Yake Yenye Dharau Na Kiburi!!! KUMBE Bado Yupo Tu!!!!? Ajitahididi Huenda MAGUFULI Akamuita Na Kumpa Walau Kanafasi Kaulaji, Kama Akina Mpanju!!!
 
Ina Maana Hujaona Mdomo Wa Edwin Soko ULIVYOVIMBA GHAFLA Mkuu? Na Yale Maji Alikuwa Anayaomba Ya Nini? CCM Sisi Kila Sehemu Tuko Namba Moja Tu. Nampongeza KUNAKOTUKUKA Mwandishi Wa Habari Moses Mathew Kwa Kuonyesha Kuwa Zile PUSHAPU Zetu TUNAZIMAANISHA. Na Mtanyooka Tu Mnaojifanya Kushabikia UPINZANI Hata Ktk Mambo Ya Msingi Na Yasiyohitaji UTASHI Wa Kisiasa au Kivyama.

Poor Tz yangu, hao ndiyo wananchi wako
 
MTU akifanyiwa jambo fulani,,unataja neno 'kulikotukuka,,'ukimlaumu mtu unataja neno nmemlaumu 'kulikotukuka'',,tukuka,,tukuka,tukuka, !!hataree
 
Katika Hali Isiyokuwa Ya Kawaida Waandishi Wa Habari Mmoja Akiwa Ni Mwandamizi Moses Mathew Wa Gazeti La Serikali La Daily News Na Mwandishi Mwenzake Mmoja Ambaye Huwa Anajinasibu Kuwa Ni Mchambuzi Wa Habari Comrade Wangu Kabisa Edwin Soko.

Tatizo Lililopelekea Hadi WAANDISHI HAWA WAWILI MARAFIKI Na Ambao Ni WATANI PIA ( KIKABILA ) Ni Baada Ya Wote WAWILI Kuonyesha Dhahiri Kuwa Wanatoka Ktk HOJA ZA MSINGI Kuhusu Mada Ya TBC Kutoonyesha " Live " Matangazo Ya Bunge Ambapo Wawili Hao ILA HASA HASA Comrade Wangu Edwin Soko Kuonyesha Bila Aibu Kuwa ANAUTETEA MNO UPINZANI KWA HATUA ZAO ZA KIPUUZI ZA KUTOKA NJE YA BUNGE ILI KUSHINIKIZA BUNGE KUONYESHA LIVE MATANGAZO YA BUNGE.

Edwin Soko Hakuishia Tu Hapo Baadae Akaenda Mbele Na Kumchana Mwenzie Kuwa Yeye Ni KIBARAKA WA CCM Na Mganga Njaa Tu Hali Ambayo Ilipelekea Mwandishi Moses Mathew Kutaka Kumpa Mtu NGUMI ZA UHAKIKA Ila Mtangazaji Mwongozaji Boniface Mapuri ALIWEZA Kuwazuia Japo Kimtindo Nilimwona Kwa Mbali Kama Vile Edwin Soko AMESHAUMUKA USONI Nahisi Kuna Kangumi Alipigwa Ka Kiaina. Na Mwishoni Mwandishi ALIYENIVUTIA Leo Moses Mathew Akamtaka Mtangazaji Namnukuu "TAFADHALI SIKU NYINGINE UKINIALIKA STUDIO USINILETEE VICHAA KAMA HAWA ".

Ila Kiukweli Edwin Soko Ameyataka Mwenyewe Kwani Yeye Muda Wote Badala Tu Ya Kujenga HOJA Yeye Kazi Ni Kuitetea Tu UKAWA Na Hasa Hasa CHADEMA Na Bahati Mbaya Leo Kakutana Na MWANAMUME Moses Mathew Ambaye ALITAKA KUMWADABISHA.

Binafsi NAMLAUMU KUNAKOTUKUKA Mtangazaji Mwongozaji Kwa Kitendo Chake Cha KUZUIA TUSIONE MPAMBANO ULE MTAMU Na Kama Huyu Mwandishi Edwin Soko ASIPOBADILIKA Na Hii Tabia Yake Ya Kila Anapoalikwa Kufanya UCHAMBUZI Ktk Tv Kwa Kuonyesha MAPENZI YAKE DHAHIRI KWA CHADEMA Kuna Siku ATAKUTANA NA Mtu Mwingine ATAMUHARIBU USO WAKE KABISA Na Labda Nitoe RAI Kwa CHADEMA au UKAWA Kuwa Kama Mnaweza ANZISHENI REDIO Na TV Yenu ILI MTUONDOLEE HIZI SHIDA!

Big Up Sana Moses Mathew Huyo Dogo Hakika Ataenda KUSIMULIA Huko Kwa Akina Mbowe Na Lisu Kwa Discipline ULIYOMPA.
Umetawaliwa na illusions
 
Sekta nzima ya uandishi wa habari ni jipu la kutumbuliwa. Waandishi wa habari wanasahau kuweka balance kwenye habari zao, wanashindwa kutofautisha kati ya taaluma na ushabiki. Hao wawili waliogombana wanawakilisha akili za uandishi wa habari wa kitanzania, shallow mindsets.
 
huyu Matheo sijui matheu ni miongoni mwa mazao ya CCM yanayozidi kujidhihirisha ndani ya miaka 54 ya CCM..
CCM imezalisha mazezeta na mashoga yasiyoweza kujenga hoja na badala yake hukimbilia matusi..
hata maprofesa wa CCM akili ni zilezile ..utawasikia "hiyo mbona hela ya mboga !!" ukimkazia hoja anakuja mwilini.
 
Nimegundua wewe unachuki binafsi na UKAWA na unachuki na UKWELI ni mshabiki wa CCM uliyepoteza fahamu. Bwana Soko alikosea kumtuhumu mwenzie lakini sio sahihi kumuhusisha na UKAWA kana kwamba katumwa.
Katika Hali Isiyokuwa Ya Kawaida Waandishi Wa Habari Mmoja Akiwa Ni Mwandamizi Moses Mathew Wa Gazeti La Serikali La Daily News Na Mwandishi Mwenzake Mmoja Ambaye Huwa Anajinasibu Kuwa Ni Mchambuzi Wa Habari Comrade Wangu Kabisa Edwin Soko.

Tatizo Lililopelekea Hadi WAANDISHI HAWA WAWILI MARAFIKI Na Ambao Ni WATANI PIA ( KIKABILA ) Ni Baada Ya Wote WAWILI Kuonyesha Dhahiri Kuwa Wanatoka Ktk HOJA ZA MSINGI Kuhusu Mada Ya TBC Kutoonyesha " Live " Matangazo Ya Bunge Ambapo Wawili Hao ILA HASA HASA Comrade Wangu Edwin Soko Kuonyesha Bila Aibu Kuwa ANAUTETEA MNO UPINZANI KWA HATUA ZAO ZA KIPUUZI ZA KUTOKA NJE YA BUNGE ILI KUSHINIKIZA BUNGE KUONYESHA LIVE MATANGAZO YA BUNGE.

Edwin Soko Hakuishia Tu Hapo Baadae Akaenda Mbele Na Kumchana Mwenzie Kuwa Yeye Ni KIBARAKA WA CCM Na Mganga Njaa Tu Hali Ambayo Ilipelekea Mwandishi Moses Mathew Kutaka Kumpa Mtu NGUMI ZA UHAKIKA Ila Mtangazaji Mwongozaji Boniface Mapuri ALIWEZA Kuwazuia Japo Kimtindo Nilimwona Kwa Mbali Kama Vile Edwin Soko AMESHAUMUKA USONI Nahisi Kuna Kangumi Alipigwa Ka Kiaina. Na Mwishoni Mwandishi ALIYENIVUTIA Leo Moses Mathew Akamtaka Mtangazaji Namnukuu "TAFADHALI SIKU NYINGINE UKINIALIKA STUDIO USINILETEE VICHAA KAMA HAWA ".

Ila Kiukweli Edwin Soko Ameyataka Mwenyewe Kwani Yeye Muda Wote Badala Tu Ya Kujenga HOJA Yeye Kazi Ni Kuitetea Tu UKAWA Na Hasa Hasa CHADEMA Na Bahati Mbaya Leo Kakutana Na MWANAMUME Moses Mathew Ambaye ALITAKA KUMWADABISHA.

Binafsi NAMLAUMU KUNAKOTUKUKA Mtangazaji Mwongozaji Kwa Kitendo Chake Cha KUZUIA TUSIONE MPAMBANO ULE MTAMU Na Kama Huyu Mwandishi Edwin Soko ASIPOBADILIKA Na Hii Tabia Yake Ya Kila Anapoalikwa Kufanya UCHAMBUZI Ktk Tv Kwa Kuonyesha MAPENZI YAKE DHAHIRI KWA CHADEMA Kuna Siku ATAKUTANA NA Mtu Mwingine ATAMUHARIBU USO WAKE KABISA Na Labda Nitoe RAI Kwa CHADEMA au UKAWA Kuwa Kama Mnaweza ANZISHENI REDIO Na TV Yenu ILI MTUONDOLEE HIZI SHIDA!

Big Up Sana Moses Mathew Huyo Dogo Hakika Ataenda KUSIMULIA Huko Kwa Akina Mbowe Na Lisu Kwa Discipline ULIYOMPA.
 
Tanzania chini ya ccm kila kitu kimekuwa ovyo ovyo, binafsi huwa siwaelewi hawa waandishi wetu, kwanza hawana weledi wa kutosha, wanaendeshwa na wanasiasa, hawaandiki mpaka frani aseme ( utasikia Magufuli kashona jipu) hii ndo aina ya wanahabari nao in short hawana jipya na hawana vya kuandika, mwandishi wa habari anapaswa kuielimisha jamii yake, kuibadilisha jamii, kuielekeza na kuwakosoa viongozi lakini hapa kwetu ni tofauti robo tatu ya waandishi wetu ni wana ccm.
 
Tanzania chini ya ccm kila kitu kimekuwa ovyo ovyo, binafsi huwa siwaelewi hawa waandishi wetu, kwanza hawana weledi wa kutosha, wanaendeshwa na wanasiasa, hawaandiki mpaka frani aseme ( utasikia Magufuli kashona jipu) hii ndo aina ya wanahabari nao in short hawana jipya na hawana vya kuandika, mwandishi wa habari anapaswa kuielimisha jamii yake, kuibadilisha jamii, kuielekeza na kuwakosoa viongozi lakini hapa kwetu ni tofauti robo tatu ya waandishi wetu ni wana ccm.
 
Ina Maana Hujaona Mdomo Wa Edwin Soko ULIVYOVIMBA GHAFLA Mkuu? Na Yale Maji Alikuwa Anayaomba Ya Nini? CCM Sisi Kila Sehemu Tuko Namba Moja Tu. Nampongeza KUNAKOTUKUKA Mwandishi Wa Habari Moses Mathew Kwa Kuonyesha Kuwa Zile PUSHAPU Zetu TUNAZIMAANISHA. Na Mtanyooka Tu Mnaojifanya Kushabikia UPINZANI Hata Ktk Mambo Ya Msingi Na Yasiyohitaji UTASHI Wa Kisiasa au Kivyama.
Halafu kwa akili hizi tutegemee Tanzania ya Magufuli wa CCM kuwa nchi ya uchumi wa kati!
 
Katika Hali Isiyokuwa Ya Kawaida Waandishi Wa Habari Mmoja Akiwa Ni Mwandamizi Moses Mathew Wa Gazeti La Serikali La Daily News Na Mwandishi Mwenzake Mmoja Ambaye Huwa Anajinasibu Kuwa Ni Mchambuzi Wa Habari Comrade Wangu Kabisa Edwin Soko.

Tatizo Lililopelekea Hadi WAANDISHI HAWA WAWILI MARAFIKI Na Ambao Ni WATANI PIA ( KIKABILA ) Ni Baada Ya Wote WAWILI Kuonyesha Dhahiri Kuwa Wanatoka Ktk HOJA ZA MSINGI Kuhusu Mada Ya TBC Kutoonyesha " Live " Matangazo Ya Bunge Ambapo Wawili Hao ILA HASA HASA Comrade Wangu Edwin Soko Kuonyesha Bila Aibu Kuwa ANAUTETEA MNO UPINZANI KWA HATUA ZAO ZA KIPUUZI ZA KUTOKA NJE YA BUNGE ILI KUSHINIKIZA BUNGE KUONYESHA LIVE MATANGAZO YA BUNGE.

Edwin Soko Hakuishia Tu Hapo Baadae Akaenda Mbele Na Kumchana Mwenzie Kuwa Yeye Ni KIBARAKA WA CCM Na Mganga Njaa Tu Hali Ambayo Ilipelekea Mwandishi Moses Mathew Kutaka Kumpa Mtu NGUMI ZA UHAKIKA Ila Mtangazaji Mwongozaji Boniface Mapuri ALIWEZA Kuwazuia Japo Kimtindo Nilimwona Kwa Mbali Kama Vile Edwin Soko AMESHAUMUKA USONI Nahisi Kuna Kangumi Alipigwa Ka Kiaina. Na Mwishoni Mwandishi ALIYENIVUTIA Leo Moses Mathew Akamtaka Mtangazaji Namnukuu "TAFADHALI SIKU NYINGINE UKINIALIKA STUDIO USINILETEE VICHAA KAMA HAWA ".

Ila Kiukweli Edwin Soko Ameyataka Mwenyewe Kwani Yeye Muda Wote Badala Tu Ya Kujenga HOJA Yeye Kazi Ni Kuitetea Tu UKAWA Na Hasa Hasa CHADEMA Na Bahati Mbaya Leo Kakutana Na MWANAMUME Moses Mathew Ambaye ALITAKA KUMWADABISHA.

Binafsi NAMLAUMU KUNAKOTUKUKA Mtangazaji Mwongozaji Kwa Kitendo Chake Cha KUZUIA TUSIONE MPAMBANO ULE MTAMU Na Kama Huyu Mwandishi Edwin Soko ASIPOBADILIKA Na Hii Tabia Yake Ya Kila Anapoalikwa Kufanya UCHAMBUZI Ktk Tv Kwa Kuonyesha MAPENZI YAKE DHAHIRI KWA CHADEMA Kuna Siku ATAKUTANA NA Mtu Mwingine ATAMUHARIBU USO WAKE KABISA Na Labda Nitoe RAI Kwa CHADEMA au UKAWA Kuwa Kama Mnaweza ANZISHENI REDIO Na TV Yenu ILI MTUONDOLEE HIZI SHIDA!

Big Up Sana Moses Mathew Huyo Dogo Hakika Ataenda KUSIMULIA Huko Kwa Akina Mbowe Na Lisu Kwa Discipline ULIYOMPA.
Kuna ile jumuiya ya chadema inaitwa LHRC,watu wamebomolewa mpaka mbunge kawatafutia wakili wao kimya,chadema wamekataliwa kupayuka live LHRC wameibuka,natama hii NGO isambaratike wanatumia hela za wafadhili kisiasa badala ya kusaidia watu.
 
Katika Hali Isiyokuwa Ya Kawaida Waandishi Wa Habari Mmoja Akiwa Ni Mwandamizi Moses Mathew Wa Gazeti La Serikali La Daily News Na Mwandishi Mwenzake Mmoja Ambaye Huwa Anajinasibu Kuwa Ni Mchambuzi Wa Habari Comrade Wangu Kabisa Edwin Soko.

Tatizo Lililopelekea Hadi WAANDISHI HAWA WAWILI MARAFIKI Na Ambao Ni WATANI PIA ( KIKABILA ) Ni Baada Ya Wote WAWILI Kuonyesha Dhahiri Kuwa Wanatoka Ktk HOJA ZA MSINGI Kuhusu Mada Ya TBC Kutoonyesha " Live " Matangazo Ya Bunge Ambapo Wawili Hao ILA HASA HASA Comrade Wangu Edwin Soko Kuonyesha Bila Aibu Kuwa ANAUTETEA MNO UPINZANI KWA HATUA ZAO ZA KIPUUZI ZA KUTOKA NJE YA BUNGE ILI KUSHINIKIZA BUNGE KUONYESHA LIVE MATANGAZO YA BUNGE.

Edwin Soko Hakuishia Tu Hapo Baadae Akaenda Mbele Na Kumchana Mwenzie Kuwa Yeye Ni KIBARAKA WA CCM Na Mganga Njaa Tu Hali Ambayo Ilipelekea Mwandishi Moses Mathew Kutaka Kumpa Mtu NGUMI ZA UHAKIKA Ila Mtangazaji Mwongozaji Boniface Mapuri ALIWEZA Kuwazuia Japo Kimtindo Nilimwona Kwa Mbali Kama Vile Edwin Soko AMESHAUMUKA USONI Nahisi Kuna Kangumi Alipigwa Ka Kiaina. Na Mwishoni Mwandishi ALIYENIVUTIA Leo Moses Mathew Akamtaka Mtangazaji Namnukuu "TAFADHALI SIKU NYINGINE UKINIALIKA STUDIO USINILETEE VICHAA KAMA HAWA ".

Ila Kiukweli Edwin Soko Ameyataka Mwenyewe Kwani Yeye Muda Wote Badala Tu Ya Kujenga HOJA Yeye Kazi Ni Kuitetea Tu UKAWA Na Hasa Hasa CHADEMA Na Bahati Mbaya Leo Kakutana Na MWANAMUME Moses Mathew Ambaye ALITAKA KUMWADABISHA.

Binafsi NAMLAUMU KUNAKOTUKUKA Mtangazaji Mwongozaji Kwa Kitendo Chake Cha KUZUIA TUSIONE MPAMBANO ULE MTAMU Na Kama Huyu Mwandishi Edwin Soko ASIPOBADILIKA Na Hii Tabia Yake Ya Kila Anapoalikwa Kufanya UCHAMBUZI Ktk Tv Kwa Kuonyesha MAPENZI YAKE DHAHIRI KWA CHADEMA Kuna Siku ATAKUTANA NA Mtu Mwingine ATAMUHARIBU USO WAKE KABISA Na Labda Nitoe RAI Kwa CHADEMA au UKAWA Kuwa Kama Mnaweza ANZISHENI REDIO Na TV Yenu ILI MTUONDOLEE HIZI SHIDA!

Big Up Sana Moses Mathew Huyo Dogo Hakika Ataenda KUSIMULIA Huko Kwa Akina Mbowe Na Lisu Kwa Discipline ULIYOMPA.
We unasimuliakikichotikea au unahukumu nani alikua sahihi na nani mwenye makosa??
 
Ina Maana Hujaona Mdomo Wa Edwin Soko ULIVYOVIMBA GHAFLA Mkuu? Na Yale Maji Alikuwa Anayaomba Ya Nini? CCM Sisi Kila Sehemu Tuko Namba Moja Tu. Nampongeza KUNAKOTUKUKA Mwandishi Wa Habari Moses Mathew Kwa Kuonyesha Kuwa Zile PUSHAPU Zetu TUNAZIMAANISHA. Na Mtanyooka Tu Mnaojifanya Kushabikia UPINZANI Hata Ktk Mambo Ya Msingi Na Yasiyohitaji UTASHI Wa Kisiasa au Kivyama.
Kumbe Mathew alikuwa kambini si kuwa mwandishi? Maneno kama haya yatakuja kutugharimu siku yakitokea mambo mabaya kwa nchi yetu. Mi ni muumini wa watu kuongea na kuelewana na si kurushiana ngumi wala kuwapongeza warushaji wa ngumi. Mwandishi wa kikadakada kama walivyokuwa wote wawili hawawezi kutufikisha kwenye demokrasia ya kweli
 
We unasimuliakikichotikea au unahukumu nani alikua sahihi na nani mwenye makosa??

Aliyekuwa Sahihi Ni Moses Mathew Wa CCM Na Aliyekuwa Na Makosa Ya KUTUKUKA Ni Edwin Soko Wa CHADEMA. Je Una Swali Lingine Mkuu?
 
Back
Top Bottom