Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
Haueleweki hata unachotaka kutuambia, mara unataka kumuombea baba yako mara aende akirudi ndio utoe ushuhuda, hivi ni lini babu wa Loliondo aliwahi kujitangaza kwamba yeye ni mungu? wewe huna cha ulokole wowote, ni mtu tu ambaye umeshakuwa brain washed na wajanja wachache wanaoishi kwa kutegemea fungu la kumi kwa gia ya ulokole, in short wewe ni mjinga tu kama wajinga wengine.
Mkuu mwambie huyu mungu ni mmoja,awe wa babaake ama wake yeye.Je anaweza kuelezea kwa nini wachungaji au mapdre hubariki kwa maji ya bararaka? Yana kemikali yale? Na kwa dua za waislamu je zinafanyaje kazi? Zinaweza kupimwa zile..ama anaona baba yake kujaribu tiba atapoteza nin? Anaweza kucompare nauli na mateso anayopata?