Wikiliki
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 528
- 139
Kuna ndugu mmoja (Askofu mstaafu wa K.K.K.T) au maarufu kama Doctor anakaa wilaya ya Loliondo mkoa wa Arusha anatibu magonjwa yote sugu kama Ukimwi, kisukari, magojwa ya moyo, mifupa, ini, figo n.k kwa muda mfupi.
Maelfu ya watu kutoka sehemu mbali mbali za nchi,uarabuni,ulaya wanamimini. Binafsi kuna mzee wangu alikuwa na kisukari amepona kabisa.
Bei ya dawa ni shilingi mia tano tu.
=================
MISAFARA YA WAGONJWA KATIKA PICHA
Maelfu ya watu kutoka sehemu mbali mbali za nchi,uarabuni,ulaya wanamimini. Binafsi kuna mzee wangu alikuwa na kisukari amepona kabisa.
Bei ya dawa ni shilingi mia tano tu.
=================
MISAFARA YA WAGONJWA KATIKA PICHA