Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Tunatoa kwa sababu tunaona aibu tunapoombwa . Inabidi tuwaelimishe wanoomba kwanza waone aibu ya kuomba michango ndipo hali hii itaisha maana duh. Nilikuwa na kadi
15 za harusi kwa mwezi Nov. na Dec. Nilitoa mchango 3 na zote nikasusa kwenda kuonyesha kuunga mkono hoja hii.
15 za harusi kwa mwezi Nov. na Dec. Nilitoa mchango 3 na zote nikasusa kwenda kuonyesha kuunga mkono hoja hii.