"Tuma na ya kutolea" ni moja ya kauli maarufu sana kwa watumiaji wa pesa kwa njia ya simu!
Kabla ya teknolojia hii ya pesa mtandaoni kuingia; pesa zilikuwa zinatumwa kwa TMO na EMS, etc.
Watu walipanda bus kufuatilia madeni ya pesa zao mkono kwa mkono na kukabidhiana pesa zikiwa cash pasipo kupungua.
Utata ulipo sasa! Nani anaestahili haswa kukatwa au kulipia pesa ya kutolea kati ya mtumaji au mpokeaji?
Mtumaji: Je ni sahihi kutuma pesa bila kuweka ya ziada kwa mpokeaji?
Na wewe mpokeaji: Kwanini uombe ya pesa ya ziada tofauti na mapatano?
TIRIRIKA HAPA
Kabla ya teknolojia hii ya pesa mtandaoni kuingia; pesa zilikuwa zinatumwa kwa TMO na EMS, etc.
Watu walipanda bus kufuatilia madeni ya pesa zao mkono kwa mkono na kukabidhiana pesa zikiwa cash pasipo kupungua.
Utata ulipo sasa! Nani anaestahili haswa kukatwa au kulipia pesa ya kutolea kati ya mtumaji au mpokeaji?
Mtumaji: Je ni sahihi kutuma pesa bila kuweka ya ziada kwa mpokeaji?
Na wewe mpokeaji: Kwanini uombe ya pesa ya ziada tofauti na mapatano?
TIRIRIKA HAPA