HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,361
- 94,539
Natuma ya kutolea kama ni biashara vinginevyo inaenda kama ilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama unalipa deni?Natuma ya kutolea kama ni biashara vinginevyo inaenda kama ilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah
AiseeeEnyi watoza ushuru msitoze zaidi ya kile kinachostahili.
Msiwaze mle nini au mnywe nini, hayo yatajisumbukia yenyewe.
Omba 12k , ukitoa upate 10kHahah nikikuomba elfu 10 huoni kwamba ukinitumia kama ilivyo nitapata 8 ambayo kama lengu lilikuwa ninunue kitu bas pesa itapelea
Hili jambo linategemea namna mlivyopeana hela.Pesa ya kutolea anayestahili kughalamia ni yule anayetuma.
Assume nimekuomba elfu 10 au any amount...sasa ukituma that excatly amount of money basi kimsingi sitopata iyo amount intended.
Pia assume labda nakudai elfu 50, ukituma na yakutolea basi inakua freshiiiii napata 50 yangu net.
Okay...fanya basi mimi ni mwanao, inabidi utume nauli maana nasoma ukooooo Naliendele ndani ndani nije home shule imefungwa. Tuma na yakutolea basi ili nipate nauli kamili na niweze kufika home.
Hayo ni mawazo yangu tu...mawazo tu na si JIWE GIZANI.
Melvine
Binafsi situmi pesa ya kutolea. Nikikutumia pesa na ikaingia kwenye simu yenye jina lako naamini hiyo pesa tayari ni yako. Ukiamua kuitoa iwe cash ni maamuzi yako hivyo unawajibika kwa maamuzi hayo. Otherwise endelea kuiacha kwenye simu maana ni yako.
Akili nzuriOmba 12k , ukitoa upate 10k
Haya nikikuita uje uchukue cash si utatumia nauli kuja? Sasa si ni yaleyale bora nikutumie ukatwe mwenyeweHili jambo linategemea namna mlivyopeana hela.
Kama mlipeana mkono kwa mkono cash, lipaneni pia mkono kwa mkono cash. Ikishindikana tuma na ya kutolea ili mwenzio akatoe hela yake kamili.
Kama ulitumiwa kwenye simu, tuma pia kiasi ulichotumia ama chenye na ya kutolea au la kutokana na mtumaji wa mwanzo alivyotuma.
Wakati unaniita nije nichukue cash, je nilikupa kwa mtindo upi?(nilikuletea au nilikutumia)Haya nikikuita uje uchukue cash si utatumia nauli kuja? Sasa si ni yaleyale bora nikutumie ukatwe mwenyewe