TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,712
- 10,209
Halafu mtu akifa anageuka kuwa mzimu, kesho mnaenda kumuomba alete mvua, huu upuuzi tumeupata wapi? Mfu anapata wapi Nguvu za kuleta mvua?
Halafu eti msipitambika na kuipa mizimu pombe inakuja kuwaadhibuHamna kitu kama iko bwana.. 🤣🤣
Kumbe unajua inatoa adhabu pia, basi elewa inaleta mvua, baraka na neema sio kwa waafrica tu hata races nyingine hufanya hivi..Halafu eti msipitambika na kuipa mizimu pombe inakuja kuwaadhibu
Inategemea na aina ya kifo cha mtu, sio kila anae kufa anakuwa mzimu ( ancestor spirit). Mizimu kuleta mvua yes, ni roho zile zina access spiritual portal ambazo kama zipo chini ya principalities wa eneo ilo ambao ni side yao.Halafu mtu akifa anageuka kuwa mzimu, kesho mnaenda kumuomba alete mvua, huu upuuzi tumeupata wapi? Mfu anapata wapi Nguvu za kuleta mvua?
Mizimu haina uwezo wa kuadhibu mtuKumbe unajua inatoa adhabu pia, basi elewa inaleta mvua, baraka na neema sio kwa waafrica tu hata races nyingine hufanya hivi..
Go deep sir, mwaga madiniInategemea na aina ya kifo cha mtu, sio kila anae kufa anakuwa mzimu ( ancestor spirit). Mizimu kuleta mvua yes, ni roho zile zina access spiritual portal ambazo kama zipo chini ya principalities wa eneo ilo ambao ni side yao.
Unaelewa nini ukisikiaa wakisema kuna laana za ukoo?Mizimu haina uwezo wa kuadhibu mtu
True kabisaYANI MWAFRIKA AKIPATA ELIMU ANAKUWA KIUMBE HATARI SANA NIMEAMINI
Mfu hawezi leta mvuaKumbe unajua inatoa adhabu pia, basi elewa inaleta mvua, baraka na neema sio kwa waafrica tu hata races nyingine hufanya hivi..
Taunzie hapa kwanza. Mizimu ni nini?Halafu mtu akifa anageuka kuwa mzimu, kesho mnaenda kumuomba alete mvua, huu upuuzi tumeupata wapi? Mfu anapata wapi Nguvu za kuleta mvua?
ajabu zaidi mvua nayo inayokujaHalafu mtu akifa anageuka kuwa mzimu, kesho mnaenda kumuomba alete mvua, huu upuuzi tumeupata wapi? Mfu anapata wapi Nguvu za kuleta mvua?
Usipotoshe Imani za watu.Imani potofu.
Nakumbuka kijijini kwetu Massanza Kona, zamani ilikuwa wilayani Magu mwaka 1984, kulikuwa na njaa kali, tulitambika na kuiita mizimu itusaidie kwa nguvu zote, hatukupata msaada wowote, hadi tilipoletewa msaada wa mahindi ya Melika ndio ikawa nafuu yetuajabu zaidi mvua nayo inayokuja
Mkataa asili ni mtumwaHalafu mtu akifa anageuka kuwa mzimu, kesho mnaenda kumuomba alete mvua, huu upuuzi tumeupata wapi? Mfu anapata wapi Nguvu za kuleta mvua?