Mizimu inapata wapi nguvu za kuleta mvua?

Halafu mtu akifa anageuka kuwa mzimu, kesho mnaenda kumuomba alete mvua, huu upuuzi tumeupata wapi? Mfu anapata wapi Nguvu za kuleta mvua?
Inategemea na aina ya kifo cha mtu, sio kila anae kufa anakuwa mzimu ( ancestor spirit). Mizimu kuleta mvua yes, ni roho zile zina access spiritual portal ambazo kama zipo chini ya principalities wa eneo ilo ambao ni side yao.
 
YANI MWAFRIKA AKIPATA ELIMU ANAKUWA KIUMBE HATARI SANA NIMEAMINI
True kabisa

Juzi kuna mzee mmoja nilikua najadiriana nae Jambo, akaniambia tatizo vijana wa siku wanatanguliza sana usomi wao mbele, shida ndio inaanzia hapo, sikutaka kumfukua sana alikua anamaanisha nini ila nmeanza kumwelewa

Mfano juzi wahadhiri wa Chuo kikuu UDSM wanataka kufanya tafiti km uchawi upo au haupo, inaingia akilini kweli? Yaan umesoooma sasa umefika hatua ya kuanza kupingapinga kila kitu unachokiona unapinga tu, ila ukipigwa tukio unakimbilia kwa Mwamposa kukanyaga Mafura

Kuna watu ni sheeebzi type kabisa
 
Back
Top Bottom