a4afrika
JF-Expert Member
- Apr 13, 2012
- 1,397
- 1,356
Una ushahidi? Kwani MTU ni nini hasa? Je, unafikiri MTU ni hili boksi linalofukiwa au kuchomwa moto hata kuliwa na wanyama au kuozeana tu?Mtu au kiumbe chochote kikifa hakiwezi kusikia, kuona, kuhisi wala kujibu chochote.
Kwahiyo kuamini kuwa mizimu inaweza kuleta mvua au kufanya chochote ni Upumbavu na Ujinga.