Mizengo Pinda Waziri mkuu!

Mke wake alishafariki.

No wonder anavaa suti ya jacket and vest on his confirmation day.

But then again after workin in Ikulu for decades jamaa bado hajui kupanga vitu tu? Shows you his learning curve if not his presentability, not to be trivialized as cosmetics in today's world.
 
Bangusilo una undungu na Dr Msabaha, am curious.....!!
Habari Yafoo ushirombo, .........nangsha , any way nafikiri utagundua kwa salamu kama nina undugu au la, ila tunao, undugu wetu ni kuwa tulikuwa na mtetea hatuna jogoo ikawa tunachukua jogoo wa kina msabaha kwa ajili ya kutagisha mtetea wetu kijini, hapo ndipo undugu akaanza
 

Sasa Nimpe pongezi Vladimir Putin wa Tanzania na hivi ndivyo vya muhimu livyosema katika hotuba yake.

Tufuatilie haya na kuilazimisha Seikali ifuate kauli hizi.
 

Bangusilo,

Nimependa sana hii avatar yako- na kila mtu akiangalia anakumbuka aliyosema Msabaha!
 
Sasa Nimpe pongezi Vladimir Putin wa Tanzania na hivi ndivyo vya muhimu livyosema katika hotuba yake.

Tufuatilie haya na kuilazimisha Seikali ifuate kauli hizi.

Hapo umenena,Kweli huyu anaweza kuja kuwa Putin, but he should bring fortune to the millions, and Boris whould leave sooon
 
mwafrika wa kike!! Spare my ribs....hahahah sidhani kama kutakuwa na ugomvi jamani nimejiuliza tu nani atakuwa ameharibu kura? kuna mwingine alihisi mbunge wa Monduli maana bado yuko kwenye shock....

Bon week end

Kura za hapana zimejulikana ni kina nani!

Moja ni Rostam Azizi, na nyingine ni.......

Mbunge wa Monduli hakupiga kura ila kura yake kaipiga Mama Kilango Malecela just for a show!

Bon Week End nawe pia!

Mkjj ameandaa bonge la bash weekend hii kusherekea ushindi dhidi ya Lowasa..... wote karibuni!
 
"wakamPeleka Kwa Spika Wakamuuliza Wewe Ni Richmond hakujibu Neno. Spika Akaomba Muongozo Ndipo Lowassa Akasema Najiuzulu Wabunge Wakapiga Kelele Wakisema Asulubiwe Spika Akasema Mpelekeni Golgota Yapata Saa 11 Wakamsulubisha Kulia Karamangi, Kushoto Msabaha, Karamangi Akamwambia Umefanya Usanii Mwingine Jiokoe,wewe Basi Na Sisi Pia. Lowassa Akalia Kwa Kimasai Oongai Papalai Yaani Rais Mbona Umeniacha?, Kisha Akakata Roho
 
hapa wametoa galasha na wametuletea jokeli,mimi hapa wameniacha hoi bin taabani.
Sasa tule na JK mwenyewe kwani ndio anakaribisha mashambiulizi kutoka kila kona
 

Wewe Bangusilo umenifanya nicheke sana leo, yaani u made my day still laughing as I type. Hilo jina lako, avatar na huo mstari ulioumwaga hapo really made me laugh...

U are entertainer mate Im calling it a day...........
 
.

Kuna post kadhaa zangu na wengineo waliotabiria kuwa the next PM will be Mhe PINDA...vilevile kuna post yenye CV yake....jamaa ni intelligent hard working and honest....tuombe Mungu asije akabadilika maana tusisahau kuwa power inalewesha.
 

ha ha ha ha....

hii ni kali.... nakuambia basi tu jamani ile picha ya kipanya pia leo ilikuwa kali sana.....

Mkuu Bangusilo.... ingawa sijui wale wanazi wa kidini watasema nini lakini huu mfano hata mimi ume-make my day.!
 
Yup,

the same guys ingawa huyu mzee ametoka huko na "kuingia kwenye siasa" kwa hiyo hana connection zaidi na ambacho kimekuwa kinaendelea kuanzia mwaka 1994 huko usalama wa matumbo ya wakubwa serikalini oooopppppssss usalama wa taifa!

-----------------------------------------------------------------

Yes, ooooooooopppppssss is what you should say, because you probably don't have all the facts about the new PM. well, here's the 411....

Ana sifa zifuatazo:

1. Anatoka sehemu iliyotulia kisiasa, CCM haina vurugu kule na hakuna wajanja wengi.
2. Amefanya kazi serikalini siku zote, ana shahada moja (better than Sumaye).
3. Hadhaniwi kuwa na political ambitions, as you can see until 2000, he has never been an elected official. Ila anaweza kubadilika kama alivyofanya Sumaye.
4. Hana makundi, hana washikaji, yupo yupo tu.
5. He is loyal and could be disciplined too.
6. he may consider JK's appointment of him as a PM to be a "favor", hence he may pay it back by being a "Yes Sir" man. He may do as he is told, and from what we see right now, JK is determined to "clean" his dirty closets.
7. Hana historia ya kupenda fedha na biashara kama alivyokuwa Lowassa.
8. Will be easy to control as he does not have a the "power" weapon that comes with money, popularity, etc.

Ben aliwahi kumpa siri JK hivi karibuni kuwa afanye kama yeye alovyofanya wakati wake....achague mtu ambaye "hatakupa shida". Upo hapo?

Again, ooooooppppsssss!
 
Hivi mafisadi wote wakiondoka, JF tutafanya nini? JF inaweza kufa.

Tusiwalani sana mafisadi maana wakitoweka, hapa JF patabore kweli kweli.

Mafisadi ni ndugu zetu na wanaipandisha JF. Kunaweza kuwa na conflict of interest hapa, JF hawataki mafisadi waondoke, maana kijiwe chetu kitapoa.

Nawikilisha hoja!
 


Duh, hii kali kweli,sina mbavu!

Hongera mheshimiwa Mizengo, tunakuangalia kwa macho matatu!!
 

Haya ni maneno yako na una right ya kuyasema na kuyasimamia na ukimaliza unaweza kupelekea nyumbani wayasome! get it?
 


Duh!

Bangusilo kweli hii kali mweh!
 
Lets hope ameona yaliyomkuta mwenzie yeye atakuwa makini ila anoanekana ni mtu makini tatizo as we all knw system nzima imeoza it needs a major revamp. lets see kwanza hlo baraza la mawaziri
 
Haya ni maneno yako na una right ya kuyasema na kuyasimamia na ukimaliza unaweza kupelekea nyumbani wayasome! get it?

-----------------------------------------------------------------

Hovyoooooo!
Dada acha uswahili....Unaingiza malani hapa JF unafikiri tuko mtaa wa Kongo? Hapa ni JF, jamani tustaarabike. Peace🙂!
 

Mhh,

ina maana unataka kusema kuwa Mkjj atakosa kazi sasa maana Lowasa ameondoka.....lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…