zambez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 2,071
- 255
Hizi ni dalili za kupata katiba ya watanzania tena iliyonzuri sana kwa uma wote wa watanzania.
wa ccm.....sio uma wa watz...
Hizi ni dalili za kupata katiba ya watanzania tena iliyonzuri sana kwa uma wote wa watanzania.
Kwa maoni yako, hutaki Tanganyika kwa sababu hujawi kuiona, lakini wakati huo huo unapendekeza kuvunja muungano kitendo ambacho kitarejesha Serikali ya Tanganyika moja kwa moja ambayo huitaki! Je si vyema ukawa na Serikali hiyo ndani ya muungano?
Hongera Pinda. Watanzania tupo nyuma yako
Mtoto wa digital hayaoni yaliotendeka mpaka sasa kweli wwe unamatatizo muombe Mungu akufunuliewaliokuwepo wamefanya nini toka walipokabidhiwa nchi??? mpaka imefikia hatua ya kutaka katiba mpya, wakati miongoni mwenu kunaealioenda mbali mpaka walifikia hatua ya kupinga hata hoja ya kuwa na katiba mpya??? muombe Mungu akupe "macho" uone.
Hawajui walikotoka watajuaje wanako kwenda ndio maana wataka serikali Tatu ,Nne nk .Pinda tuko nyuma yako tuna kuunga mkono
Apeleke uccm huko
mtt wako hata km aliishi kwa siku moja akafariki hauwez kumsahau
tunataka Tanganyika yetu
Tanganyika ipi unayoijua wewe?
Ni UTOTO wa hali ya juu kupinga mfumo wa serikali tatu!
Tunamuomba Pinda atuambie ni kwa nini hakupencdekeza serikali moja?
Sababu zinazomfanya akane kupendekeza serikali moja ndizo hizo hizo zilizotufanya wengi wetu tupendekeze serikali tatu kwenye rasimu ya mabadiliko ya katiba!!
Kwani Zanzibar huru imekaa miaka mingapi kutoka mikononi mwa wakoloni?
Mbona sasa inataka uhuru kamili na imevunja katiba ya jamuhuri kwa kutengeneza mpaka katiba yake ikijipambanua kuwa ni nchi?Walikuwa wapi wakati yakifanyika hayo?
Serikali tatu HAZIEPUKIKI!
Idumu serikali ya watu wa TANGANYIKA!
Kunashida moja ya watanzania kutotaka kujielimisha na kutafuta ukweli ndiyo maana wengine hubeba jambo hata kama halijui undani wake.
Hapana, siyo utoto bali ni kutofautiana kifikra na mtazamo tu.Ni UTOTO wa hali ya juu kupinga mfumo wa serikali tatu!
Kwa mtazamo wangu uko sahihi na kuboresha zaidi hoja yako ninasema hivi, Kwa nini hatukupewa haki ya kupiga kura ya maoni kwanza kuhusu muungano ambao ndiyo msingi wa katika. Kura ya maoni ("act of popular sovereignty) kuhusu Muungano ndiyo ingeonyesha mwerekeo wa taifa letu katika kipindi cha miaka 50 ijayo.Tunamuomba Pinda atuambie ni kwa nini hakupencdekeza serikali moja?
Hakuna aliyekana kuhusu serikali moja bali wanaogopa hata kulitamka hili neno ambalo ndiyo ulikuwa msingi wa sera la CCM kuhusu Muungano. Viongozi wetu wanasumbuliwa na ulafi wa madaraka kwa sababu kuanzisha serikali moja ni kupunguza ulaji wao.Sababu zinazomfanya akane kupendekeza serikali moja ndizo hizo hizo zilizotufanya wengi wetu tupendekeze serikali tatu kwenye rasimu ya mabadiliko ya katiba!!
Haya ni maneno ya kisiasa ambayo wanasiasa wanaanza kuyatumia kwa manufaa yao. Ukiitimgisha hoja yake utagundua mashimo mengi sana ya kimantiki.Kwani Zanzibar huru imekaa miaka mingapi kutoka mikononi mwa wakoloni?
Hatufahamu kama Wazanzibari wanataka uhuru kamili lakini ukweli ni kwamba, Katiba yao imevunja Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania 1977 wakati huyu huyu Mizengo Pinda akiwa ni Waziri Mkuu.Mbona sasa inataka uhuru kamili na imevunja katiba ya jamuhuri kwa kutengeneza mpaka katiba yake ikijipambanua kuwa ni nchi?Walikuwa wapi wakati yakifanyika hayo?
Serikali tatu haziwezi kupatikana ndani ya serikali ya CCM. Sera ya CCM ni serikali moja kwa maana kwamba, labda CCM ipoteze uhalali wa kuongoza mchi ndiyo serikali tatu zitapatikana!.Serikali tatu HAZIEPUKIKI!
Idumu serikali ya watu wa TANGANYIKA!
Ningemsifu ka ma angeuliza swali hilohilo kwa Zanzibar. Unafiki ni mbaya sana. Anawaogopa?
Ningemsifu ka ma angeuliza swali hilohilo kwa Zanzibar. Unafiki ni mbaya sana. Anawaogopa?
Hili ndilo swali ambalo wanaotaka serikali mbili lazima kwanza walijibu.There is no logic kwenye maneno ya Mizengo Pinda, yeye kama mwanaCCM alikuwa wapi kuzungumza na Wazanzibar ili kutatua hizo shida? hadi leo anakuja kubwabwaja hapa maneno kama hayo? Hata sisi amabao hatukuishi miaka yake hiyo anayosema hatuutaki huo muungano wa serikali mbili kwa sababu kipindi hizo nchi zinaungana hatukuwepo.
Siyo WanaCCM wote wanaotaka serikali mbili kwa hiyo kuweka mwamvuli kwa wanaCCM wote ni kupotosha kihoja.Lakini wanaCCM bwana wanafikiri wao tu ndiyo wana hatimiliki ya kufikiri na sio wenzao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tatizo linakuja pale mnapoanza kulazimishana bila hoja. Na mbaya zaidi huku kulazimishana kunaonekana ni kwa faida ya watu wachache wenye tamaa zao.