Mizania ya haki; Kile alichopaswa kufanya Makamba jr

umeona sasa bro JM? kosa lako kubwa ni kuibuka na kusema "serikali ya awamu ya nne ilikuwa ni ya kuleanaleana" mzee wa msoga si unamjua kuwa anajua majungu kuliko mkuu wa nchi mwingine yeyote kupata tokea nchini. Sasa umemchokoza naye amechokozeka ohooooo.....utaisoma namba bro wangu...coz ili ubaki kwenye uwaziri unahitaji ujipange kisawa2 kujibu hoja za kimange bila hivyo pasaka utasherekea bumbuuuuuuliiiiiiiii kama mbunge. reference kwa ombeni semfue!!!!!!
 
9238e9bbe945e16083d6298943955f24.jpg
Nimemtaja yeye kama mhusika mkuu kutokana na nyazifa zake kisiasa, nafasi yake katika jamii na historia yake kwenye uwanja wa siasa na maamuzi mengi yaliyotokana na yeye...kwenye hii skendo iliyoko kwenye hatua za tuhuma yeye ndio muathirika mkuu...kwahiyo busara uvumilivu mkubwa akili iliyo sharp na werevu vilihitajika sana kipindi hiki
Hii ni vita yenye pande nyingi na wapambe wengi...mbinu bora zinahitajika ili kuweza kushinda vita
Vyovyote vile iwavyo kuna kufahamiana kwa karibu kati ya watatu hawa January Mwamvita na muitaliano na kwa vyovyote kulikuwa na makubaliano fulani fulani yaliyohusisha pesa nyingi (za rushwa?)ahadi za upendeleo kwenye mambo fulani nk nk
Kwa kulifahamu hili na zile tambo za bibie Kimange...kwamba ana lundo la ushahidi wa kila aina, Makamba hakupaswa kujibu lolote kwasasa...angekaa kimya akinote kila kitu yakiwemo malumbano ya mitandaoni, angesubiri walau kwa siku kadhaa aone kimange anajua kiasi gani
Kuwalipa haraka haraka vijana wa mtandaoni wakanushe kijinga kabisa na yeye kukimbilia kukanusha kumempa kimange credit moja kubwa sana
Kimange anajulikana alivyo mchokonozi na mdaku, hivyo mpaka jana jioni watu walikuwa hawamuamini kivile na hakukuwa na post nyingi...lakini baada tu ya watuhumiwa kuongea na kukiri baadhi ya mambo mjadala ukageuka mwelekeo na post zikaongezeka maradufu....!
Makamba kama kiongozi aliyekuwa msaidizi wa rais (nafasi kubwa sana hii) alipaswa kuwa na subra katika hili ili mihemko kwenye mitandao ipoe apate pa kuanzia
Bahati mbaya sana the guilty are afraid hiyo ni kanuni ya maisha...alipaniki kwa kuguswa pabaya bila maandalizi
Wakati ushahidi na ukweli ndio vitaleta mizania ya haki...lakini mpaka tutakapofika huko Makamba atakuwa sio huyu tena....!
e7f4f4799bac872b7325d9ed1eb562cc.jpg
Mkuu,hiyo dili siyo ya watatu...wapo wengi ila mh February alijisahau pale alipodai kwamba "serikali ya awamu ya nne ilijaa kubebana".Kwahiyo Mange anapata data toka kwa waliochukizwa na kauli ya February.Wakati huo huo Mange anasema anatumiwa hizo data.Vilevile hata mtiririko wa utoaji wa hizo clip,ni mpango maalum ilo wahusika wajichanganye kabla Mange hajaachia vitu vya ukweli zaidi kitaalamu.
 
Mkuu, Kuna jipu la ikulu limetumbuliwa nina waraka wake hapa sema ngoja watupie kwanza maana hukawii kuambiwa umevuruga amani. Ila mtangaza wenzake nae tayari bado huyu dogo
Jipu limetumbuliwa wikiendi mwache akaugue mbele kwa presha
 
Hapa ndipo ninapopata shida mimi. Kama JPM aliamini kuwa watu alionao kwenye baraza la mawaziri ndio wazuri na wasafi zaidi ya watu wengine kwenye CCM, sasa hali ikiwa hivi itafika muda atakuja jikuta yuko peke yake maana wasaidizi wake wote watakuja jikuta wana skendo za rushwa na ufisadi. JE TUTAFIKA?
Lakini pia lazima ujue JPM alijifungia ndani muda mrefu sana kuteua hao watu. Kumteua January, Nape, Jenista na wengine mimi ningetumia siku mbili tu. Hapo lazima tuwe na mashaka na umakini wa mheshimiwa rais.
 
du huku nasikia onbeni selifie katumbuliwa nahisi jamaa anafata sasa rushwa ni adui wa haki mwalimu alunifundisha hivyo naogopa sana rushwa you are the next mr desember to vacate our office ..... go and apologize to msoga and ngayyyyiai lomasa edwakgd
 
Mkuu, Kuna jipu la ikulu limetumbuliwa nina waraka wake hapa sema ngoja watupie kwanza maana hukawii kuambiwa umevuruga amani. Ila mtangaza wenzake nae tayari bado huyu dogo
Ila huyo wa ikulu mda wake wakustaafu ulishafika tayari akiingia new president lazima huwa Stoke sasa huyu Yale magazeti kumuandika ilikuwa siku magu akimpuzisha apate ujiko
 
Tatzo la January makamba kakurupuka kujibu pasipo kujua source of information na kwa hali ilivyo.sasa mh Janaury Makamba yampasa kujiuzulu na kukaa pembeni hili kuruhusu uchunguzi ufanyike dhidi yake kabla hajachukuliwa hatua na boss wake
 
Tatzo la January makamba kakurupuka kujibu pasipo kujua source of information na kwa hali ilivyo.sasa mh Janaury Makamba yampasa kujiuzulu na kukaa pembeni hili kuruhusu uchunguzi ufanyike dhidi yake kabla hajachukuliwa hatua na boss wake
cca320d0ca84d7915592b4f877475192.jpg
 
duh! nimesoma weeeh nkarudia kusoma tena hahahaha,,,,,,,,,,∆∆∆∆∆∆ naona kimuye muye
 
I like people like January Makamba who rip off corrupt businessman like that mafioso guy.is a serious lesson to other tycoon to be careful with their money.
 
Mwanzoni mwa wiki hii aliutukana utawala wa kikwete kuwa ulijaa kulindana, wakati yeye alikuwa sehemu ya utawala huo na maovu yake mengi yanajulikana kwa Kikwete....ni mwendawazimu tu ambaye angemwacha dogo atambe
hpo ndio watashika adabu zao.ukiongea upuuzi tu jamaa anachomoa karatasi moja tu kwenye fail lako!!ukionekan ngangari ananyofoa la pilii!!!hahahahh hpo lazima ukae tu.dogo kamaindi akajivua surual watu wamevua na boer kbisaa.haya wacha tuendelee kupata uhondo
 
Back
Top Bottom