MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,005
Mzee wa msoga ndivyo alivyo huwa anamfukuza mwizi kimyakimya, sasa huyu dogo usalama wake akimbilie kwa watu ili wamsaidie kwa sababu wakiendelea kufukuzana huko porini kimyakimya wakiwa peke yao itakula kwakeHivi hii kitu ya Msoga kweli?