Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 6,106
- 12,273
Kusema kweli Tanzania tuna safari ndefu kwenye miundombinu
Tanzania ukiachana na main roads, barabara nyingi bado ni za vumbi especially mitaani wanakokaa watu. Hata miji mikubwa kama Mwanza na Mbeya, barabara ni changamoto. Mji unaokua kwa kasi kama Kahama bado uko nyuma kwenye barabara. Dar yenyewe ina mitaa mingi ya barabara vumbi, kuna maeneo mengi hatapitiki nyakati za mvua. Ikifika kiangazi barabara zinajaa mchanga. Tuna safari ndefu sana
Reli ziko chache mno, usafiri wa treni bado uko nyuma, nadhani tuna reli nne tu na tatu ni MGR bado. Ya kati, Tazara na ya Kaskazini. Halafu treni za MGR zenyewe zimechakaa sana, zipo kama treni za 1900s
Hii SGR ni hatua nzuri, natarajia tutaongeza treni nyingine miaka ya usoni, kama tuko serious
Tanzania barabara zetu zimejaa michanga, mitaro mingi iko open matokeo yake watu wanatupia taka humo ndani. Ukijumlisha na mchanga unaoingia mitaroni, unakuta hadi mitaro inaota nyasi.
Na hapo barabara zina mashimo kibao
Drainage system nayo ni very poor. Msimu wa mvua ukifika ni mafuriko kuanzia Dar, Mwanza, Arusha, Morogoro yani Tanzania nzima
Hakuna pavements kwenye business districts nyingi, ni mchanga tu ndio maana michanga inajaa barabarani na kuziba mitaro
Neighborhood za Tanzania nyingi zina completely ZERO infrastructure. Yani unakuta tu ni ardhi na nyumba za watu basi, hakuna lami, hakuna pavements, hakuna drainage system za maana, hata zilizopo zimeachwa tu wazi, hazifunikwi, uggh
Mpaka leo miji kama Dodoma, Dar, Arusha na Mwanza haina metro railways licha ya kuwa na wakazi laki 6 hadi mamilioni 😏
Miji mingi Tanzania ni michafu. Hakuna dustbin mitaani, watu wanatupa tu taka hovyo, yani hii nchi imejaa takataka za plastiki everywhere. Mazingira machafu ndio maana kuna kipindipindu cha mara kwa mara kama cha Mbeya kilivyofyeka watu 2024/2025 kwa miezi 5 mfululizo
Neighborhood za Tanzania hazina streetlights, usiku barabara ni giza tu
Our development is slow na tuna zero commitment kwenye kuendeleza miundombinu kwenye makazi ya watu.
Kila siku unasikia uchumi unakua na bado mitaani barabara za vumbi, mitaro imejengwa tu kienyeji na ipo open, mitaa michafu, hakuna street lights....
Hapo ni mjini tu, ukiingia vijijini ndio kabisa utakata tamaa
Miundombinu Tanzania bado sana. Moja ya vitu vinafanya Watanzania kuwaza kukimbilia nchi za watu ni pamoja na miundombinu mibovu ambayo hakuna anayejali.
Especially miundombinu inayohusu makazi ya wananchi.
Achana na hiyo inayoenda kujengwa maporini huko
Tanzania ukiachana na main roads, barabara nyingi bado ni za vumbi especially mitaani wanakokaa watu. Hata miji mikubwa kama Mwanza na Mbeya, barabara ni changamoto. Mji unaokua kwa kasi kama Kahama bado uko nyuma kwenye barabara. Dar yenyewe ina mitaa mingi ya barabara vumbi, kuna maeneo mengi hatapitiki nyakati za mvua. Ikifika kiangazi barabara zinajaa mchanga. Tuna safari ndefu sana
Reli ziko chache mno, usafiri wa treni bado uko nyuma, nadhani tuna reli nne tu na tatu ni MGR bado. Ya kati, Tazara na ya Kaskazini. Halafu treni za MGR zenyewe zimechakaa sana, zipo kama treni za 1900s
Hii SGR ni hatua nzuri, natarajia tutaongeza treni nyingine miaka ya usoni, kama tuko serious
Tanzania barabara zetu zimejaa michanga, mitaro mingi iko open matokeo yake watu wanatupia taka humo ndani. Ukijumlisha na mchanga unaoingia mitaroni, unakuta hadi mitaro inaota nyasi.
Na hapo barabara zina mashimo kibao
Drainage system nayo ni very poor. Msimu wa mvua ukifika ni mafuriko kuanzia Dar, Mwanza, Arusha, Morogoro yani Tanzania nzima
Hakuna pavements kwenye business districts nyingi, ni mchanga tu ndio maana michanga inajaa barabarani na kuziba mitaro
Neighborhood za Tanzania nyingi zina completely ZERO infrastructure. Yani unakuta tu ni ardhi na nyumba za watu basi, hakuna lami, hakuna pavements, hakuna drainage system za maana, hata zilizopo zimeachwa tu wazi, hazifunikwi, uggh
Mpaka leo miji kama Dodoma, Dar, Arusha na Mwanza haina metro railways licha ya kuwa na wakazi laki 6 hadi mamilioni 😏
Miji mingi Tanzania ni michafu. Hakuna dustbin mitaani, watu wanatupa tu taka hovyo, yani hii nchi imejaa takataka za plastiki everywhere. Mazingira machafu ndio maana kuna kipindipindu cha mara kwa mara kama cha Mbeya kilivyofyeka watu 2024/2025 kwa miezi 5 mfululizo
Neighborhood za Tanzania hazina streetlights, usiku barabara ni giza tu
Our development is slow na tuna zero commitment kwenye kuendeleza miundombinu kwenye makazi ya watu.
Kila siku unasikia uchumi unakua na bado mitaani barabara za vumbi, mitaro imejengwa tu kienyeji na ipo open, mitaa michafu, hakuna street lights....
Hapo ni mjini tu, ukiingia vijijini ndio kabisa utakata tamaa
Miundombinu Tanzania bado sana. Moja ya vitu vinafanya Watanzania kuwaza kukimbilia nchi za watu ni pamoja na miundombinu mibovu ambayo hakuna anayejali.
Especially miundombinu inayohusu makazi ya wananchi.
Achana na hiyo inayoenda kujengwa maporini huko