Miujiza ya madem hususani wa mjini Daslam...

Miujiza ya madem hususani wa mjini Daslam...

Nimependa the way ulivyo-reason mkuu, in law we call it 'logical reasoning'.

Asante kaka, maana yake ni kwamba sisi wanaume tunatakiwa kutafuta sana mkate unaotutosha sisi na wao pia, otherwise tutabaki kwenye kundi ambalo si la kusamehewa, kundi la kulalamika tu na kutopata vitu vizuri kutoka kwao, tunabaki kusema "Wakubwa wanafaidi" kumbe ni kwamba wanafaidi kwa sababu wanatekeleza vizuri adhabu zao.

Kwa maana nyingine ni kwamba, mwanamke atamzalia yule atakayemlisha.
 
Asante kaka, maana yake ni kwamba sisi wanaume tunatakiwa kutafuta sana mkate unaotutosha sisi na wao pia, otherwise tutabaki kwenye kundi ambalo si la kusamehewa, kundi la kulalamika tu na kutopata vitu vizuri kutoka kwao, tunabaki kusema "Wakubwa wanafaidi" kumbe ni kwamba wanafaidi kwa sababu wanatekeleza vizuri adhabu zao.

Kwa maana nyingine ni kwamba, mwanamke atamzalia yule atakayemlisha.

Uwiiii! huu ukweli unanichoma
 
Asante kaka, maana yake ni kwamba sisi wanaume tunatakiwa kutafuta sana mkate unaotutosha sisi na wao pia, otherwise tutabaki kwenye kundi ambalo si la kusamehewa, kundi la kulalamika tu na kutopata vitu vizuri kutoka kwao, tunabaki kusema "Wakubwa wanafaidi" kumbe ni kwamba wanafaidi kwa sababu wanatekeleza vizuri adhabu zao.

Kwa maana nyingine ni kwamba, mwanamke atamzalia yule atakayemlisha.

We jamaa una akili sana. Lazima mwanaume ukomae na uwape ,tena uwaongeze na vijae mpaka vimwagike. Sasa ole wenu mkimbiao majukumu.
 
We jamaa una akili sana. Lazima mwanaume ukomae na uwape ,tena uwaongeze na vijae mpaka vimwagike. Sasa ole wenu mkimbiao majukumu.

Umeona eeh! Kuna pande mbili hapa za wanaume

1. Wale wanaogharamika: hawa wanapata wanawake wazuri, na wala huwakuti wanalalamika, wametulia tu, tena wanawake wanajipeleka wenyewe kwa sababu wanajua kwamba watatekelzewa agizo la Mungu la kutokula kwa jasho, ili mradi wawe tayari kutoa kile kitu mtoto anapatikana kupitia.

2. Kuna wale ambao wameshindwa kutimiza ile adhabu, wanaishia kulalamika tu na kula vitu vizuri kwa macho, na hawa wamekuwa ni mabingwa wa kuibua malalamiko, utasikia mara ooh, madem wana gharama, madem wanapenda hela etc

Kila mtu akifanya homework yake vizuri,, haya malalamiko yataisha.
 
Mshahara wako 270,000

Handbag yako inagharimu 140,000

Unamiliki GX 110...

Hills zako 120,000

Above all,

Unatumia Note 3

Then unaenda kanisani kuomba wkt wewe mwenyewe UNATENDA MIUJIZA!
cc:waigizaji wa kike bongo
 
Teh teh teh!! Mjini mipango,alafu usishindane na akina dada hata siku moja.
 
Hahahaaaaa Mjini akili tu hakuna kutumia nguvu, tunazifahamu Nyota kwasababu Giza lipo!!!
 
Mshahara wako 270,000

Handbag yako inagharimu 140,000

Unamiliki GX 110...

Hills zako 120,000

Above all,

Unatumia Note 3

Then unaenda kanisani kuomba wkt wewe mwenyewe UNATENDA MIUJIZA!
nadhani tuliangalie hili kwa upande mwingine tofauti na watu wanavofikiri.., siku hizi (achana na enzi za mwalimu) watu mishahara midogo lakin mambo makubwa.., inawezekana huyu mdada ni accountant, salesperson wa cmpny fulan,purchasing officer au hata store keeper.., hivi vitengo wanapiga hela knoumer..,

imagine kuna jamaa ni store keeper wa vipuri vya magari hapa kazin kwetu, yupo too local na very innocent lakin msiba ulimuumbua.., kapiga hela mpaka kajenga ghorofa na mshahara wake wa 320,000. mjin mipango, msidhan mdada kumiliki vitu vya bei kahongwa, wengine wanapiga 10% kama wafanyavyo wanaume..
 
Back
Top Bottom