Miujiza ya madem hususani wa mjini Daslam...

nadhani tuliangalie hili kwa upande mwingine tofauti na watu wanavofikiri.., siku hizi (achana na enzi za mwalimu) watu mishahara midogo lakin mambo makubwa.., inawezekana huyu mdada ni accountant, salesperson wa cmpny fulan,purchasing officer au hata store keeper.., hivi vitengo wanapiga hela knoumer..,

imagine kuna jamaa ni store keeper wa vipuri vya magari hapa kazin kwetu, yupo too local na very innocent lakin msiba ulimuumbua.., kapiga hela mpaka kajenga ghorofa na mshahara wake wa 320,000. mjin mipango, msidhan mdada kumiliki vitu vya bei kahongwa, wengine wanapiga 10% kama wafanyavyo wanaume..

Hilo neno wafuasi wa CDM wakikusikia!
 
Asante kaka, maana yake ni kwamba sisi wanaume tunatakiwa kutafuta sana mkate unaotutosha sisi na wao pia, otherwise tutabaki kwenye kundi ambalo si la kusamehewa, kundi la kulalamika tu na kutopata vitu vizuri kutoka kwao, tunabaki kusema "Wakubwa wanafaidi" kumbe ni kwamba wanafaidi kwa sababu wanatekeleza vizuri adhabu zao.

Kwa maana nyingine ni kwamba, mwanamke atamzalia yule atakayemlisha.

ulikuwa wapi siku zote hukusema haya??humu kila siku wanalialia eti wanawake wanapenda hela...mara nimechunwa sijui baa gani....mara nimeombwa laki....HAWAJUI WAJIBU WAO KUMBE!
 
hapo cha msingi usiulize maswali mengi oooh mbona fulani ana kile ana hichi huwezi jua mipango yake kinachotakiwa uridhike na hali uliyonayo wewe.
 
nadhani tuliangalie hili kwa upande mwingine tofauti na watu wanavofikiri.., siku hizi (achana na enzi za mwalimu) watu mishahara midogo lakin mambo makubwa.., inawezekana huyu mdada ni accountant, salesperson wa cmpny fulan,purchasing officer au hata store keeper.., hivi vitengo wanapiga hela knoumer..,

imagine kuna jamaa ni store keeper wa vipuri vya magari hapa kazin kwetu, yupo too local na very innocent lakin msiba ulimuumbua.., kapiga hela mpaka kajenga ghorofa na mshahara wake wa 320,000. mjin mipango, msidhan mdada kumiliki vitu vya bei kahongwa, wengine wanapiga 10% kama wafanyavyo wanaume..

Well said, mkuu
 
Nimekubali, kweli mujini mipango mkuu!

Ukichunguza sana siri za serikali utakuja mwaga kilio. Mjini hapa kila mtu anaishi kwa mbinu anayoijua yeye. Ukiwa na busara za kuishi na watu vizuri utajua mambo mengi sanaaa. # Best of luck.
 
Amicus umekosea kuorodhesha matumizi hayo vs mshahara wa mwezi,ulipaswa kuorodhesha matumizi hayo vs mapato ya mwezi kwani mapato nje ya mshahara ni makubwa sana kwa mwezi kwa wengine hata mara elfu ndio maana wengi wanayaweza hayo na zaidi tuuuuuuu!!!!!!.Karaghabhaho.
 
hahaha....hatari...ila bwana siku hizi baadhi ya wadada wanajituma....ukute ana miradi yake mingine tofauti na hiyo kazi anayoifanya....kwahiyo ni rahisi kumiliki hivyo vyote...
 
Mmh! hizi thread nyingine hizi ni full comedy…anyway hii ndiyo bongo bwana ukilemaa unaachwa kwenye tope.
 
Mshahara wako 270,000

Handbag yako inagharimu 140,000

Unamiliki GX 110...

Hills zako 120,000

Above all,

Unatumia Note 3

Then unaenda kanisani kuomba wkt wewe mwenyewe UNATENDA MIUJIZA!

mjini watu wanakuja na vichwa vilivyojaa mipango,sio jembe kwani kuna lami hakuna sehemu ya kulima
 
Amicus umekosea kuorodhesha matumizi hayo vs mshahara wa mwezi,ulipaswa kuorodhesha matumizi hayo vs mapato ya mwezi kwani mapato nje ya mshahara ni makubwa sana kwa mwezi kwa wengine hata mara elfu ndio maana wengi wanayaweza hayo na zaidi tuuuuuuu!!!!!!.Karaghabhaho.

U have a point mkuu
 
Ha ha ha mkuu utanivunja mbavu aisee!

yani from breakfast, lunch to dinner.. transport costs, vouchers and so other makorokoroz belongs to people like me!

usicheze na mtaji usioyumba!!

wakati marekani ikilia na mtikisiko wa uchumi..............!

wanawake wanaruka na kushangilia boom peak!
 
Back
Top Bottom