Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,823
- 233,255
Pole sana Mkuu.Mimi kuna ndugu zangu walikufa.
Ilikuwa wakati wao umefika.
Pole sana Mkuu.Mimi kuna ndugu zangu walikufa.
Halafu wanaomwita tapeli si ajabu hawajawahi kwendaKwakweli wanaomuita mwamposa tapeli hawajui tu,
Mwenyewe nina shuhuda,mdogo wangu kapona na alitapika vitu vya ajabu funguo nk
Ulitaka serikali ifanye nini mkuu?Mbona fimbo zote zafanana?
Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?
Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?
Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?
Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?
Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?
Je, serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
wajinga ndiyo huliwa!...waache watafunweMbona fimbo zote zafanana?
Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?
Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?
Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?
Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?
Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?
Je, serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Mimi si mpagani lakini mkuu.Hakuna kitu nataka ifanye maana yenyewe yanufaika wajinga wakiwa wengi.
Kuliko kusali pale bora awe mpagani ka wewe
Mimi si mpagani lakini mkuu.
Mpagani ana imani za super natural, mimi sina.
Mimi ninachoamini pale pana uponyaji wa kweli kwa wanaoamini maana anayeponya sio mwamposa bali ni mungu kupitia mtumishi wake, pia jiulize kama ni mwizi tusingesikia watu wakishuhudia kila siku kutoka mikoa mbali mbali, wengine mpaka nje ya nchi, ila wenye mioyo migumu na wasioamini kama wewe wapo tangu zamani hata yesu mwenyewe hawakumwamini.Mwamposa ni mwizi na janga la Taifa.
mwamposa amefanya miujiza mingi kuliko ata yesu kwa kipindi kifupi sanaMimi ninachoamini pale pana uponyaji wa kweli kwa wanaoamini maana anayeponya sio mwamposa bali ni mungu kupitia mtumishi wake, pia jiulize kama ni mwizi tusingesikia watu wakishuhudia kila siku kutoka mikoa mbali mbali, wengine mpaka nje ya nchi, ila wenye mioyo migumu na wasioamini kama wewe wapo tangu zamani hata yesu mwenyewe hawakumwamini.
Kanisani siji, na pia si mpagani.Karibu kanisani Jumamosi
Karibu tujifunze, sisi hatutoi miujiza, tunajifunza kumjua Mungu na Yesu kama Mkombozi na Mwokozi wetu.Kanisani sini, na pia si mpagani.
There is no mutual exclusivity.
Jitambue ww hana uponyaji yoyote huyo. wewe ulishamshudia anaumwa akajiombea akaponaMimi ninachoamini pale pana uponyaji wa kweli kwa wanaoamini maana anayeponya sio mwamposa bali ni mungu kupitia mtumishi wake, pia jiulize kama ni mwizi tusingesikia watu wakishuhudia kila siku kutoka mikoa mbali mbali, wengine mpaka nje ya nchi, ila wenye mioyo migumu na wasioamini kama wewe wapo tangu zamani hata yesu mwenyewe hawakumwamini.
Unanilazimisha sasa? Nishakwambia siji.Karibu tujifunze, sisi hatutoi miujiza, tunajifunza kumjua Mungu na Yesu kama Mkombozi na Mwokozi wetu.
Au popote ulipo hata hapo Marekani tembelea SDA church yoyote ile kuanzia saa 9 hadi saa 6 mchana.
Au tembelea Youtube
South Tanzania Conference
Tegete SDA Church
Magomeni SDA Church
Mwenge SDA Church
Morning Star TV
Hope Channel Tz
Fungua tv arise and shine saa tatu usiku kwenye operation komboa familia usikie shuhuda za watu, nadhani utabadili mtazamo wako na utaongeza imani yako nawe siku moja utaanza kuamini.Jitambue ww hana uponyaji yoyote huyo. wewe ulishamshudia anaumwa akajiombea akapona
Kwamba hujui kuwa huyo ni Mganga avaaye suit?Wewe unapata dhambi, unamuhukumu binadamu mwenzio kwa kitu ambacho hauna uhakika nacho,