Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?


Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Serikal Yako inakuibia Kila siku umetuliza makalio kimya unaona sawa..anza na kina ssh na kina tra kwanza ndio tujue una uchungu...

USA anaibia Dunia Kila Kona thus why anasurvive na kuwa jinsi alivyo...

Sadaka zote makanisani ni wizi wa hao viongoz wa makanisa dhidi ya maskini wasiojua ukweli...

Kazin kwako sijui kiwandan sijui kampun sijui Kwa mchina sijui halmashauri,,wafanyakazi mnaibiwa na umekaa kimya..ajabu ulivo mnafiki unaona ya kawe tu Kwa mwamposa!!!!!😂😂😂

Nb,,hakuna utajir duniani bila kunyonya na kuibia watu...wajinga lazima waibiwe tuu ndio nature iyo.
 
Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?


Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Utakuta kina viongozi Wakubwa tu wa serikali wapo hapo kuabudu, ndio maana wananchi ni maskin ili Hali nchi ni tajiri
 
Ibada ya kweli ninayoijua mimi ni kuwasaidia yatima, wajane, walemavu na wasiojiweza, Mungu mwenyewe atakubariki.

Lakini ajabu hawa manabii na mitume wa sasa hivi pamoja na kujichumia pesa za kutosha kutoka kwa waumini wao, hutakaa ukasikia wanatoa misaada kwa kundi lolote lile nililolitaja hapo juu,, na hapa ndipo ninaporejea maandiko kwamba " MTAWAJUA KWA MATENDO YAO "
 
Serikal Yako inakuibia Kila siku umetuliza makalio kimya unaona sawa..anza na kina ssh na kina tra kwanza ndio tujue una uchungu...

USA anaibia Dunia Kila Kona thus why anasurvive na kuwa jinsi alivyo...

Sadaka zote makanisani ni wizi wa hao viongoz wa makanisa dhidi ya maskini wasiojua ukweli...

Kazin kwako sijui kiwandan sijui kampun sijui Kwa mchina sijui halmashauri,,wafanyakazi mnaibiwa na umekaa kimya..ajabu ulivo mnafiki unaona ya kawe tu Kwa mwamposa!!!!!😂😂😂

Nb,,hakuna utajir duniani bila kunyonya na kuibia watu...wajinga lazima waibiwe tuu ndio nature iyo.
Usitumie wizi wa serikali kuhalalisha wizi wa Mwamposa. Ubaya hauhalalishi ubaya.
 
Ila kumbuka 'mgonjwa hachagui dawa'. Wengi wanaohudhuria pale ni watu wenye changamoto za kiafya zaidi ya za kiroho.

Sii ajabu siku moja na wewe yakakukuta ikabidi uende pale kutetea uhai wako.
Hata kwa babu wa Loliondo walienda wengi kuliko kwa Mwamposa leo yapo wapi? Acheni kudanganya watu.
 
Dini ni bangi kama nyingine
Hao ni matapeli wasio tumia silaha
 
Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?
Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
uhuru wa kuabudu
 
Mbona ushahidi upo dhahiri. Makaburi ya watu ishirini waliokufa Moshi. Ile damu itawarudia matapeli nyie.
Juzi mechi ya yanga taifa ile final ya kwanza..Kuna watu wamekufa wakipambana kuingia uwanjan..so nao tuseme yanga imewaua Kwa kuwatoa kafara???

Una akili za kimasikini wewe.mtu akijitengenezea channel yake ya ulaji basi roho inakuuma..wivu uo utakuuua..

mm sio mfuasi WA mwamposa ila ukwel jamaaa ni undispute...kushawish watu watoe pesa zao mfukoni sio rahisi..
 
Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?

Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Hao wote wanalipwa kucheza huo utapeli wao mwamposa aingize pesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom