Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Wenye matatizo zaidi ni sisi wakristo tunaopondana sisi kwa sisi.
Sijamponda mtu mie nimemwambia ukweli tu.

Na hawa matapeli lazima wamabiwe ukweli kama waabudu sanamu
 
Eee kwa hio ni tapeli
Ulishaona magongo ya vilema wote yanafanana?

Ulishawahi shuhudia mtu mwenye mapepo?

Wale wote pale waigizaji

Kuna watu wengi hutoka pale wakiendelea kuumwa na kuamua rudi hispitali.


Ni swala la muda tu yote yatajulikana
 
Hajanasa bado ngoja apigwe kimbora asiende choo mwezi mzima
Kampelekeeni hii taarifa na afanye analoweza.

Yesu alishasema hao ni matapeli watakuja kwa jina lake kumbe ni watu wa shetani
 
Ulishaona magongo ya vilema wote yanafanana?

Ulishawahi shuhudia mtu mwenye mapepo?

Wale wote pale waigizaji

Kuna watu wengi hutoka pale wakiendelea kuumwa na kuamua rudi hispitali.


Ni swala la muda tu yote yatajulikana
Yeye haangalii hayo yeye anaangalia maokoto as long as miamala inasoma upone usipone yeye haimuhusu hajakuita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom