Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Unanilazimisha sasa? Nishakwambia siji.
Njoo ujifunze kuhusu uwepo wa Yesu, Mungu
Kwamba bila Mungu usingekuwepo, hata unavyomkataa ni kwa sababu ya Rehema na Neema zake upo hai
 
Apostle kuna muujizaa
Nini kimetokeaa?

Mwampopo anaintroduce maji yake baada ya kufungua hotel southern highland
Hatari sana afu wafuasi wake wanaendelea kuwa masikini wakutupwa
 
Mwamposa ni mwizi na janga la Taifa.
Watu wanazipeleka wenyewe usiseme mwizi , mtu katoa wallet yake kakunjua na kalipa kwa hiari 😂

Bana siwashangai watendaji tatizo likikukaba na huna pa kulitua unatafta kila njia , ila kama anafanya sio kwa spirit ya kutibu ni janga
 
Wamama ndo huwaambii kitu wanatoa had nauli wanarud kwa miguu
Wale hawana akili, mmoja wao ni Mwislamu wa Songea huko hata kwenye huu uzi yupo, na alitudanganya siku moja kuwa kuna mtu wake katapika sijui madudu gani
 
Wale hawana akili, mmoja wao ni Mwislamu wa Songea huko hata kwenye huu uzi yupo, na alitudanganya siku moja kuwa kuna mtu wake katapika sijui madudu gani
Inakuuma,yeah tunamshukuru dogo kapona yaani haanguki na juzi j,tatu kanya msumari,


Operesheni ya vuka na chako,,kamata mwizi,

A
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom