Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Wasiojitambua hawawezi kujua umuhimu wa madhabahu ya Arise & Shine.Kama bado hujakutana na muujiza wa madhabahu Ile Basi lazima uhisi Ni maigizo.Mimi Ni shahidi namba 1 wa madhabahu Ile.Kwa sababu nimeshuhudia na Ni hakika nimepona,na ndugu zangu wawili pia..tulifunga Safari toka mkoani Hadi kawe. Mateso yote,shida zote,magonjwa yote yaliyowashinda waganga nguli zaidi ya 23,tena kutokea mikoa 6 tofauti,tukiwa tumetumia gharama kubwa zaidi ya million 6 kutafuta uponyaji...hatimaye yote yaliisha ndani ya dakika chache mno!!!Sasa unaanzaje kuniambia nisimuelewe???KWA HIYO IWE MWAMPOSA NI MGANGA,IWE NI MCHAWI KONKI,IWE NI MSHIRIKINA MIMI SIJUI...NINACHOJUA MIMI NILIPONYWA NA SHIDA ZANGU ZOTE ZILIKWISHA PALE TENA BILA GHARAMA YOYOTE!!
 
Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?

Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Sinema. Usanii. Utapeli.
Na sisi tuache kufikiri utajiri waja Bure Bure. Kweli serikali itasaidia ila na sisi TUJISAIDIE Kwa kujuwa ujinga na upumbavu huo...
 
Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?

Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Hawa manabii wa uongo wa kina Rolinga, mwamposa, suguye na genge zao watatumbukiza wengi kuzimu.
 
Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?

Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha wanyolewe hadi mavyuzii.
Miujiza ya kupika ile
Wacha Mwamposa ale kiulaini mashamba DAR hakuna zaidi ya wajinga ndio wapo kwa wingi.
 
Wasiojitambua hawawezi kujua umuhimu wa madhabahu ya Arise & Shine.Kama bado hujakutana na muujiza wa madhabahu Ile Basi lazima uhisi Ni maigizo.Mimi Ni shahidi namba 1 wa madhabahu Ile.Kwa sababu nimeshuhudia na Ni hakika nimepona,na ndugu zangu wawili pia..tulifunga Safari toka mkoani Hadi kawe. Mateso yote,shida zote,magonjwa yote yaliyowashinda waganga nguli zaidi ya 23,tena kutokea mikoa 6 tofauti,tukiwa tumetumia gharama kubwa zaidi ya million 6 kutafuta uponyaji...hatimaye yote yaliisha ndani ya dakika chache mno!!!Sasa unaanzaje kuniambia nisimuelewe???KWA HIYO IWE MWAMPOSA NI MGANGA,IWE NI MCHAWI KONKI,IWE NI MSHIRIKINA MIMI SIJUI...NINACHOJUA MIMI NILIPONYWA NA SHIDA ZANGU ZOTE ZILIKWISHA PALE TENA BILA GHARAMA YOYOTE!!
Zilipona mkuu ulipoendaa sku mojaaa tuu
 
Waambie hawo wafuasi wake waache kuishi Kwa hisia watumie akili
 
Wasiojitambua hawawezi kujua umuhimu wa madhabahu ya Arise & Shine.Kama bado hujakutana na muujiza wa madhabahu Ile Basi lazima uhisi Ni maigizo.Mimi Ni shahidi namba 1 wa madhabahu Ile.Kwa sababu nimeshuhudia na Ni hakika nimepona,na ndugu zangu wawili pia..tulifunga Safari toka mkoani Hadi kawe. Mateso yote,shida zote,magonjwa yote yaliyowashinda waganga nguli zaidi ya 23,tena kutokea mikoa 6 tofauti,tukiwa tumetumia gharama kubwa zaidi ya million 6 kutafuta uponyaji...hatimaye yote yaliisha ndani ya dakika chache mno!!!Sasa unaanzaje kuniambia nisimuelewe???KWA HIYO IWE MWAMPOSA NI MGANGA,IWE NI MCHAWI KONKI,IWE NI MSHIRIKINA MIMI SIJUI...NINACHOJUA MIMI NILIPONYWA NA SHIDA ZANGU ZOTE ZILIKWISHA PALE TENA BILA GHARAMA YOYOTE!!
Kwakweli wanaomuita mwamposa tapeli hawajui tu,

Mwenyewe nina shuhuda,mdogo wangu kapona na alitapika vitu vya ajabu funguo nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom