Kuna mahali nilienda na Swahiba kushuhudia akitaka kupata huduma.
JAMAA: Mchungaji flani yupo?
MUUMINI: "Una shida na Baba?"
JAMAA: Namuulizia Mchungaji aitwaye hivi.
MUUMINI: "Anaitwa Baba, ukimuuliza kwa namna hiyo huwezikumpata hapa kanisani"
JAMAA: Sawa, kabla hajafika alipokuwa akimsubiri baada ya MUUMINI kwenda kumwita, nilimvuta kwa nguvu JAMAA nikamwambia "tuondoke haraka maana BIBLIA inajieleza anayepaswa kuitwa BABA kiroho ni Mungu pekee"
Kiufupi tu tulisepa mazima na JAMAA alipata huduma ya kiroho kwenye dhehebu jingine kabisa na alipokea majibu kiimani.
Japo si wote ila madhehebu ya Walokole wamejaa Matapeli sana
Sent from my CPH2387 using
JamiiForums mobile app