Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Miujiza, Maigizo na Maagizo pale KAWE

Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?


Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Blaza, ile ni biashara blaza, ha ha ha ha!
 
Utasikia wanamuita baba wakiwa na huyo tapeli wanajiona kama wapo karibu na mungu.
Kuna mahali nilienda na Swahiba kushuhudia akitaka kupata huduma.

JAMAA: Mchungaji flani yupo?

MUUMINI: "Una shida na Baba?"

JAMAA: Namuulizia Mchungaji aitwaye hivi.

MUUMINI: "Anaitwa Baba, ukimuuliza kwa namna hiyo huwezikumpata hapa kanisani"

JAMAA: Sawa, kabla hajafika alipokuwa akimsubiri baada ya MUUMINI kwenda kumwita, nilimvuta kwa nguvu JAMAA nikamwambia "tuondoke haraka maana BIBLIA inajieleza anayepaswa kuitwa BABA kiroho ni Mungu pekee"

Kiufupi tu tulisepa mazima na JAMAA alipata huduma ya kiroho kwenye dhehebu jingine kabisa na alipokea majibu kiimani.

Japo si wote ila madhehebu ya Walokole wamejaa Matapeli sana [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Luka 9:60 ;Akamwambia, “Waache wapumbavu wawapumbaze wapumbavu wenzao; bali wewe nenda ukapambane na maisha yako.”
MATHAYO 10:8-10.

[8]Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.

[9]Msichukue dhahabu, wala fedha, wala mapesa mishipini mwenu;

[10]wala mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala viatu, wala fimbo; maana mtenda kazi astahili posho lake.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mbona fimbo zote zafanana?

Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?

Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?

Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?

Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?

Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?


Je serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Mkuu usiaribu biashara za watu basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom