Natania
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 262
- 217
Wakuu heshima kwenu.
Mimi ni mmoja kati ya wamiliki wa Pajero IO, GDI. Kwa ujumla ni gari zuri ila linachangamoto zake ambazo nyingi nadhani zinatokana na mafundi wetu mtaani kutokuijua vizuri gari na wanaishia kusema hayafai (nimewasikia wengi). Sasa ebu tupeane maujuzi hapa, kuanzia kwenye mafundi ambao wanaiwezea vizuri GDI, maduka ya spare na uzoefu mwingine (nasikia kuna wengine wanabadilisha injini na kuweka ya Noah). Lengo la uzi ni kujua matatizo ya GDI na Namna ya kuyatatua.
Toa uzoefu wako (bila kujali upo mkoani ama jijini Dar.
Mimi ni mmoja kati ya wamiliki wa Pajero IO, GDI. Kwa ujumla ni gari zuri ila linachangamoto zake ambazo nyingi nadhani zinatokana na mafundi wetu mtaani kutokuijua vizuri gari na wanaishia kusema hayafai (nimewasikia wengi). Sasa ebu tupeane maujuzi hapa, kuanzia kwenye mafundi ambao wanaiwezea vizuri GDI, maduka ya spare na uzoefu mwingine (nasikia kuna wengine wanabadilisha injini na kuweka ya Noah). Lengo la uzi ni kujua matatizo ya GDI na Namna ya kuyatatua.
Toa uzoefu wako (bila kujali upo mkoani ama jijini Dar.