wanaoifahamu vyema hii gari nipeni mawazo na usahuri pia uzoefu wenu hasa kwa matumizi ya hapa Dar na kusafiri nayo mikoani je inafaa na matunzo yake ni vipi ili idumu? Naombeni ushauri na mawazo yenu kwani niko mbioni kuinunua Transmission ni Manual cc 1800 5Doors.
karibuni
Nakushauri usinunue kabisaaaaaaaaaaaaaa! Ni mtumiaji wa hii gari tangu 2007 but from this point nakujuza tu tafuta gari ingine kama rav 4 au nunua Suzuki grand vitara hizi!!! na nimeona sasa hivi zinauzwa bei rahisi but i am warning kama hujalipa hela badili mawazo! kutembea na ulaji wa mafuta hata safari ndefu zote ipo sawa wala haina shida ila kwa ushauri usiipende hii gari hata nukta