Mitongozo ya Wanaume hawa inavutiaa sana!

Mitongozo ya Wanaume hawa inavutiaa sana!

Mtongozo wa Mkurya kwa Demiss, weeee dadaaaaaa......ebu kujaga hapa basi. Unajuaga mi nakupenda sana na ukinikatalia tu nakuchapa na hili panga hapa hapa. Ebu vua hiyo chupi yako na lala hapo chini kwenye mchanga, usijali kuungua na jua.
Akikuapapasa anakupapasa na panga hahahaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ahhaaa Demis siku hizi hatuna hizo tena hatuongei sana.. Vinavyotuzunguka vinaongea Zaidi.. usafir mkali, pamba safi na outing za kutosha.. Tunagonga bila hata kutia neno
Usiniambie ila wasukuma wamezidiii
 
Demisss nasubiri mtongozo wa Maasai. Sikumbuki mmasai wangu alinitongozaje but nachojua ananipa pesa tu hata nimesahau mtongozo ulikuwaje [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nasikia wamasai
"Mama yeyooo nipe ile kitu inamesaa mwenzieee"
 
Mnapenda kususaaaa


Wanyakyusa hahaha utasikia, Nakupenda sana Demiss na gule gusura gwako guzuri mweeee gunanichanganya moyoni je, umekubali kuwa na mimi je Demiss?

Mbombo ngafu....
 
Back
Top Bottom