Mitongozo ya Wanaume hawa inavutiaa sana!

Mitongozo ya Wanaume hawa inavutiaa sana!

Mtongozo wa Mkurya kwa Demiss, weeee dadaaaaaa......ebu kujaga hapa basi. Unajuaga mi nakupenda sana na ukinikatalia tu nakuchapa na hili panga hapa hapa. Ebu vua hiyo chupi yako na lala hapo chini kwenye mchanga, usijali kuungua na jua.
 
Ahhaaa Demis siku hizi hatuna hizo tena hatuongei sana.. Vinavyotuzunguka vinaongea Zaidi.. usafir mkali, pamba safi na outing za kutosha.. Tunagonga bila hata kutia neno
 
Uwiiiiii wanaume wa kichagga wengi hawajui kutongozaaaa though ndo wanaoongoza kwa uzuri,ilaa wanajuaaa kuspoil .....na hela hawatoi cash ni boraa akununuliee chochote ila sio kukupa elaa
Mm ni mchaga wa pekee
 
Demisss nasubiri mtongozo wa Maasai. Sikumbuki mmasai wangu alinitongozaje but nachojua ananipa pesa tu hata nimesahau mtongozo ulikuwaje [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom